The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,089
- 117,701
Labda jamaa wakati anapewa namba alikua njema,ila siku hizi kapigika na hatakiwi tena.Wakati unampa namba mbona hukuja kusema humu.
Kama No ulitoa we ishi nae Hilo ndio chaguo lako.
😀 😀
Labda jamaa wakati anapewa namba alikua njema,ila siku hizi kapigika na hatakiwi tena.Wakati unampa namba mbona hukuja kusema humu.
Kama No ulitoa we ishi nae Hilo ndio chaguo lako.
Hivyo nanua nikiwa bar au post pale jionSawa,, vipi viatu na saa unavyo😌😌
Haina shida niko tayari hata kwenye uvungu wa moyoEti zimejaa tayari,, sikuona😃😃
Utaleta wewe mwenyewe au utamtuma nyoka ?Kua na amani mzigo unaletewa hadi mlangoni 😃
Ahhah sio mimi kabisa 🤣🤣Ndio wewe huyo kijana?🤣
Kabisa aisee,ameturahisishia mitego ya kumtega.Na saa na viatu,,, hawezi kuchomoa kabisa 😂😂😂
Umeshamkosa mrembo wetu mpaka hapo😃😃 ,,,Hivyo nanua nikiwa bar au post pale jion
Jamani😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Haina shida niko tayari hata kwenye uvungu wa moyo
Ila ngoja nikapendeze kwanza maana viatu vimetoboka dole gumba liko nje na hii ni sababu ya kukataliwa
Kwakweli 😂😂Kabisa aisee,ameturahisishia mitego ya kumtega.
Vile uko smart unakataliwa?Ahhah sio mimi kabisa 🤣🤣
Au hutuhitaji wazee?Jamani😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Amani Itawale...Mkoani hawana hulika ya appointment. Ni kuvizia anatoka kisimani au shambani au anaenda kusaga. Ikiwezekana unafuata huko huko anapochunga ng'ombe.
Kwa hiyo hao wanakuomba dakika kumi ni wanaume wa mikoani waliokuja kutafuta maisha mjini. Wamekuona unafanana nao.
Yaani wweacha tuVile uko smart unakataliwa?