Master sempaya
Member
- May 9, 2023
- 96
- 138
unajua watu wa mikoa hasa dada zetu huu mjin mnaukurupukia sana wengine wao hajastarabka umetoka porini huko unakuja na mbwembweMkanda avae wa ovyo chupi ndo atakuwa nayo mkuu??
unajua watu wa mikoa hasa dada zetu huu mjin mnaukurupukia sana wengine wao hajastarabka umetoka porini huko unakuja na mbwembweMkanda avae wa ovyo chupi ndo atakuwa nayo mkuu??
Safi kabisa,nafurahi kukuona hapa.Habari yangu ni njema. Mambo?
Jamani Hannah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ukisema wanaume wa dar unakosea hilo ni gume gume lako na namba ulisha mpa ukitu jumuisha wote unakosea kwanza nikiwa na namba zako sina mda wa kuomba appointment ....... kwanza tutake radhi sikuhizi hatuombi namba za madem kama nina haraka nampa bisness cadi ....... case closedUnakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Ahhahahah sema hiv wanaume wachanikaUnakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Hao ni mabodaboda wenuUnakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Kwani Chanika ni India au Dar?Ahhahahah sema hiv wanaume wachanika
Nimecheka sana aisee 🤣Si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkanda uvae wa masai buku 3 na utanunua boxer ya elfu 12 kweli??Una ugomvi wewe na hao wanaume wa Chalamila sio bure kwa michano hiyo [emoji23][emoji23]
Nimenunua mkanda mpya na viatuUnakutana na mwanaume wa dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana.anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua.
Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe?? Au lini utanipa muda.
Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Labda tupo group moja la mtaa au kanisani??kuna watu namba zao unazipata tu mkuu.halafu mimi no yangu sio siri sana cause nafanya businessKwani siku uliyompa namba alikua kavaaje mpaka ukashawishika na kumpa namba?
Mpakani mwa dar dar mwisho kibamba mbagalaKwani Chanika ni India au Dar?
😀 😀
Kwahiyo tatizo lilikua ni mkanda aliokua kauvaa au wewe ndio hukua na muda?Mkanda uvae wa masai buku 3 na utanunua boxer ya elfu 12 kweli??
Akikujibu nitag 😂Kwani siku uliyompa namba alikua kavaaje mpaka ukashawishika na kumpa namba?
Sasa km anataka akushikishe mtinyama hasira za nini mwanadada? Bado unatafuta?Nyie wa dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani?? Kwanza kama anakoenda kachelewa je??
Bonge la dharau yaani, kesho mnakuja kulilia ndoa hapa jukwaani.Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
🤣🤣🤣🤣🤣Nimenunua mkanda mpya na viatu
Naweza kupata dk 10 tuongee mama?