karonga
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 774
- 1,272
Sawa miss mautamu[emoji3590][emoji3590][emoji3590]Ndo ujue kuna watu kuwagegeda sio rahisi.
Sawa miss mautamu[emoji3590][emoji3590][emoji3590]Ndo ujue kuna watu kuwagegeda sio rahisi.
Ungekuwa na shughuli we mwenyewe usingekuwa hukuUnakutana na mwanaume wa Dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana, anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.
Mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua. Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa Dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe? Au lini utanipa muda.
Nyie wa Dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani? Kwanza kama anakoenda kachelewa je?
Ndio hivyo Ila anakwambia hana K sasa Miss gan hana K?Miss mautamu kama yote[emoji12][emoji12][emoji12]
Si ashakuambia ujjongeze hujaelewa nini tena hapo au wewe sio wa daslamu. Kama anapiga miguu yote una chengine cha kuuliza?Ndio hivyo Ila anakwambia hana K sasa Miss gan hana K?
DUUH yaan anapigwa rimming?Si ashakuambia ujjongeze hujaelewa nini tena hapo au wewe sio wa daslamu. Kama anapiga miguu yote una chengine cha kuuliza?
Usilazimishe tufanane mkuuUngekuwa na shughuli we mwenyewe usingekuwa huku
Jamani naheshimu walimu sana.wapi nimesema mwalimu??Namba umempa mwenyewe,kakusimamisha umesimama,na kwa akili yako ukamsikiliza for the whole 10 minutes,Baada ya hapo ukaona jibu ni uje umchambe mwalimu wa watu humu jamvini,Ukapimwe Akili MKuu.
Kuna mwanaume bado anavaa chupi zama hizi? [emoji51]Umesahau kutaja chupi aliovaa [emoji23]
Hakuna vitu vigumu kukumbuka kuvinunua kama mkanda,pensi,shuka,soksi na vestSijamuhukumu mtu.kwani mkanda sh ngapi mkuu??jipende kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani naheshimu walimu sana.wapi nimesema mwalimu??
Ngoja waje
Ivi alikuwa ticha kumbe [emoji23][emoji23][emoji23], alivyosema tu kuhusu mkanda na kiatu hata mimi nilijua ni mwalimu tena walivyoongezea chupi nikakonfemNamba umempa mwenyewe,kakusimamisha umesimama,na kwa akili yako ukamsikiliza for the whole 10 minutes,Baada ya hapo ukaona jibu ni uje umchambe mwalimu wa watu humu jamvini,Ukapimwe Akili MKuu.
Hivi kwer boda boda anachachafya apo apo hbr kwisha😆😆Acha kudeal na maboda boda, magentlemen wapo wengi tuu.
Mchezo unaweza kuimaliza bhr ikaendelea kutrendy😎Si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]
UOlewi tena tunalisubiri bandiko lako humu ukifika 40 something 'natafuta mume ambae anapumua tu......' alafu mbaya zaidi anakuja yuleyule ulimchenga stendi anakuja tena kukuimbisha.. MUNGU FUNDIImenikumbusha juzi nimekaa mahali mawasiliano pale akaja huyo mkaka pale nimekaa tumesalimiana vizuri ikaishia hapo kwangu.Akaanza kuniongelesha na mimi nikawa namjibu politely ila sikuwa interested na kutongoza kwake na nikamwambia kabisa hapana akawa kama amekubali akaanzisha mada nyingine tukawa tunaongea vizuri tu yaani angeweza kuwa rafiki haswa, nikasema kumbe ana kitu huyu nilijudge vibaya maana ananyoosha na kuchangia mambo vizuri mpaka nikampa namba hapo hapo akarudisha kutongoza upyaa mara nataka kukuoa,nakupenda mimi namuangalia tu yaani haya yote ni within 30 minutes of meeting me nikaamka nikawa naondoka maana alianza kuharibu mambo tena.Nimefika home anapiga eti umefika mke wangu[emoji849][emoji849]nikasema tu heee nikakata na kublock namba juu
Wenye akili fupi km mleta mada unaweza ukawanasa alafu ukamla kavu kavu siku hio hio sababu hatumii condom Ila usisahau kashasema hana K-MA kwa hio utajua mwenyewe jiongeze utakula niniMkanda na saa vya kwangu ni bei kubwa ila nilinunuliwa na dada siku ya harusi yake kama kaka bibi harusi , kumbe naweza nasia warembo![]()
![]()
![]()
Hayo ni mawazo yako .siwezi kukupinga kwenye akili zako.👉kwanza sina k
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenye akili fupi km mleta mada unaweza ukawanasa alafu ukamla kavu kavu siku hio hio sababu hatumii condom Ila usisahau kashasema hana K-MA kwa hio utajua mwenyewe jiongeze utakula nini
Ndo hapo sasa.mjikumbushe sisi tunawazoom.tuHakuna vitu vigumu kukumbuka kuvinunua kama mkanda,pensi,shuka,soksi na vest