Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
Inasoma ngap hapo mda HUU hujafika 40 usiongopeMileage zimesoma haswaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inasoma ngap hapo mda HUU hujafika 40 usiongopeMileage zimesoma haswaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo wanawake wana tamaa sana sahivi.. amini na kuambia katika hao mnao waona wapo rafu kuna wanaume huko wanajielewa na wanajua wanachokifanyaAisee kwanini mtu aende kote huko kisa mke jamani
Ngoja nipime kwanza nitakuambia mkuuInasoma ngap hapo mda HUU hujafika 40 usiongope
Alooo unapima na nini?Ngoja nipime kwanza nitakuambia mkuu
Kwa upande wangu mimi yule mtu hakuwa rafu ila sikuona chemistry yoyote kati yetu ila kitendo cha mtu mmekutana mara ya kwanza tena hata saa moja alijapita anaanza kusema nakupenda sijui nataka kukuoa mara mke wangu huu ni uongo wa wazi kabisaTatizo wanawake wana tamaa sana sahivi.. amini na kuambia katika hao mnao waona wapo rafu kuna wanaume huko wanajielewa na wanajua wanachokifanya
Hiki kipimo tunakijua sisi wanawake[emoji23][emoji23][emoji23]Alooo unapima na nini?
Sasa km kakupenda ulitaka akwambie nini we wa wapi? Au ulitaka akwambie umpe lipa namba?Kwa upande wangu mimi yule mtu hakuwa rafu ila sikuona chemistry yoyote kati yetu ila kitendo cha mtu mmekutana mara ya kwanza tena hata saa moja alijapita anaanza kusema nakupenda sijui nataka kukuoa mara mke wangu huu ni uongo wa wazi kabisa
Emu nione hicho kipimo kikojeHiki kipimo tunakijua sisi wanawake[emoji23][emoji23][emoji23]
Uongo wote wa mwanaume lengo akupake jashoKwa upande wangu mimi yule mtu hakuwa rafu ila sikuona chemistry yoyote kati yetu ila kitendo cha mtu mmekutana mara ya kwanza tena hata saa moja alijapita anaanza kusema nakupenda sijui nataka kukuoa mara mke wangu huu ni uongo wa wazi kabisa
Sema jamaa hakuwa na gari. Daah yaani siku hizi mmekuwa wabaguzi........kisa fedha.Unakutana na mwanaume wa Dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana, anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.
Mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua. Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa Dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe? Au lini utanipa muda.
Nyie wa Dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani? Kwanza kama anakoenda kachelewa je?
Na usipokubari kupigwa jasho mapema utapigwa jua likiwa limezama beyond 40Uongo wote wa mwanaume lengo akupake jasho
Kuna wanaume ni wa kweli direct, unakuta kasha vurugwa hivyo akikutana na mwanamke anajilipua kabisa hataki kuzungushwa mwaka , maana wadada mnatuweka benchi alafu kitumbua unampa mtu wa hovyo kabisa...Kwa upande wangu mimi yule mtu hakuwa rafu ila sikuona chemistry yoyote kati yetu ila kitendo cha mtu mmekutana mara ya kwanza tena hata saa moja alijapita anaanza kusema nakupenda sijui nataka kukuoa mara mke wangu huu ni uongo wa wazi kabisa
Kuna kupenda na kutamani mkuuSasa km kakupenda ulitaka akwambie nini we wa wapi? Au ulitaka akwambie umpe lipa namba?
Kwani wewe by the way unajionaje amekutamani au nmekupenda ?Kuna kupenda na kutamani mkuu
Nakubaliana na wewe asilimia zoteUongo wote wa mwanaume lengo akupake jasho
Zote ngap 1?Nakubaliana na wewe asilimia zote
Miss Natafuta , Acha kutafuta mabwana stand za mabus na sokoniUnakutana na mwanaume wa Dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana, anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.
Mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua. Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa Dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku fulani dada naweza kupata muda niongee na wewe? Au lini utanipa muda.
Nyie wa Dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani? Kwanza kama anakoenda kachelewa je?
Acha kudharau kazi za watuAcha kudeal na maboda boda, magentlemen wapo wengi tuu.
Am sorry Mr.Boda.Acha kudharau kazi za watu