Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
K+8 = 10Ndo hapo sasa.mjikumbushe sisi tunawazoom.tu
Tafuta thamani ya K
.....
K+8 = 10Ndo hapo sasa.mjikumbushe sisi tunawazoom.tu
Sasa ndugu yetu, wanaume wa Dar hatujitambui hizi Hotel zote hapa Dar es Salaam ni mbwa wamejenga sio!Unakutana na mwanaume wa Dar njiani. Upo zako hai hai kufanya mambo yako ya maana, anakusimamisha dada salamu ehee naomba dakika 10 tukae mahali tuongee.
Mind you ana no yako na hata unapoishi anapajua. Hapo ukimzoom mkanda aliovaa na viatu na saa unajua tu huyu ana deni songesha na mpawa.
Niwashauri wanaume wa Dar maana mkoani ni wastaarabu wanaomba appointment kabisa siku flani dada naweza kupata muda niongee na wewe? Au lini utanipa muda.
Nyie wa Dar unakutana na mtu umsimamishe unajua mtu ana shughuli gani? Kwanza kama anakoenda kachelewa je?
Naona unajikunia nazi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume walio serious kuoa, hawapo smart sana..
Wadada mlijue hilo.
Wengine wanavaa rafu ili wakupime upo real au na wewe ni slay queen
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Jamani 😃😃😃😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙌K+8 = 10
Tafuta thamani ya K
.....
Mimi nipo mkoani.. ila siwezi tongoza mwanamke wa kizazi hiki cha nyoka nikajiweka open sana..Naona unajikunia nazi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda kama una maokoto ya kupunguza ujazo mkuu , huku ukitumia hiyo mbinu yako kupata jiko la milele amina.Mimi nipo mkoani.. ila siwezi tongoza mwanamke wa kizazi hiki cha nyoka nikajiweka open sana..
Lazima nijiweke rafu kidogo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sawa nitakutag kabisa mkuu nikiweka bandiko la qualification ya kupumua tuUOlewi tena tunalisubiri bandiko lako humu ukifika 40 something 'natafuta mume ambae anapumua tu......' alafu mbaya zaidi anakuja yuleyule ulimchenga stendi anakuja tena kukuimbisha.. MUNGU FUNDI
Mkifikia wa anae pumua tu msiache kusema wakuu.Sawa nitakutag kabisa mkuu nikiweka bandiko la qualification ya kupumua tu
Ndio nitakuja tena kukupigisha sounds unielewe enzi hizo ushachoka balaaSawa nitakutag kabisa mkuu nikiweka bandiko la qualification ya kupumua tu
Ndiyo hivyo mkuu., Jiko la milele lazima utumie mbinu ambazo siyo atractive kidogo..Labda kama una maokoto ya kupunguza ujazo mkuu , huku ukitumia hiyo mbinu yako kupata jiko la milele amina.
Mmmh kuwa smart ni hulka tu ya mtu mkuu awe muoaji awe mpitaji kuna watu wapo rafu na ni wapitiaji tuMimi nipo mkoani.. ila siwezi tongoza mwanamke wa kizazi hiki cha nyoka nikajiweka open sana..
Lazima nijiweke rafu kidogo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna wengine wapo rafu makusudi kwa nia ya kusaka mke wa kudumu naye maana wanawake siku hizi wanatamaa mbaya sana. tena wanaume wengine wanafikia mbali sana anaacha nyumba yake aliyo jenga yenye kila kitu anaenda kupanga geto anaweka gorodo chini na vindoo ndoo na kajiko alafu anakuambia anataka kukuoa.. sasa ni wewe kuchagua moja.Mmmh kuwa smart ni hulka tu ya mtu mkuu awe muoaji awe mpitaji kuna watu wapo rafu na ni wapitiaji tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sitasahauMkifikia wa anae pumua tu msiache kusema wakuu.
Haswaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sitasahau
Aisee kwanini mtu aende kote huko kisa mke jamaniKuna wengine wapo rafu makusudi kwa nia ya kusaka mke wa kudumu naye maana wanawake siku hizi wanatamaa mbaya sana. tena wanaume wengine wanafikia mbali sana anaacha nyumba yake aliyo jenga yenye kila kitu anaenda kupanga geto anaweka gorodo chini na vindoo ndoo na kajiko alafu anakuambia anataka kukuoa.. sasa ni wewe kuchagua moja.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mileage zimesoma haswaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio nitakuja tena kukupigisha sounds unielewe enzi hizo ushachoka balaa
[emoji23][emoji23]
Binti umenivurugia timetable yangu.
Ratiba yangu inaonyesha Leo mida ya saa Tisa ndio ningeanza kutafuta vitu vya kunichekesha. Sasa naona saa sita hii umeharibu mambo. Nimejikuta nacheka licha ya kujitahidi kujizuia[emoji125][emoji125]