Laiti ungejua huyu mwanaume ameniacha wapi namsubiria kumbe yupo huku anachati.Haujajibu swali langu kaka shemeji.
Mama P anajua kwamba kuna siku unageuza dirisha mlango?
cute b ukuje huku.
Ijibu Tena kama Ni Kweli umeshaijibiaTumeshajibu mara nyingi sana hili jitahidi kusoma comments
I did long long ndiyo nini?Teehhhh...
I did long long.... Maelezo inabid nkupe pm
Nilikuwa nashangaa anavyoniunga mkono kuhusu kupanda daladala. Nikaona ngoja nimchomee utambi hawezi kumisanifu mimi.Laiti ungejua huyu mwanaume ameniacha wapi namsubiria kumbe yupo huku anachati.
Hiyo ya daladala labda kipindi akiwa anasoma.

Ila kuna siku anapanda daladala.Nilikuwa nashangaa anavyoniunga mkono kuhusu kupanda daladala. Nikaona ngoja nimchomee utambi hawezi kumisanifu mimi.![]()


.Pm kutoa maelezo ya ziadaI did long long ndiyo nini?
Pm?
Umeniita jina tamu hadi nimefurahi.Haujambo mtoto mzuri
Kwenda zakoNilitakiwa nisemeje mama p? Pm kutoa maelezo ya ziada

. Kwani ulitaka kusemaje?Napenda maana najiona kabinti kumbe nishazeekaKumbe unapenda kuitwa hivyo, mimi mzima wa afya


.Niende wapi sasa?? Pm auKwenda zako. Kwani ulitaka kusemaje?
Niambie kwa kiswahili nikufundishe.
Nenda pm uone.
Kupitia dirishani tunaweza sisi tuIla kuna siku anapanda daladala.
Ila siyo kwa kupitia dirishani.

Mbona ameshaweka kambi huku pm.Kwenda zako. Kwani ulitaka kusemaje?
Niambie kwa kiswahili nikufundishe.
Nenda pm uone.

Basi sawa.Mkuu, why are you so bitter? Mimi najivunia sana kuwa mwanamke na sijawahi kujichukia na hayo unayosema usukumani wanafanya asilimia 80 ya wanawake hii Tanzania wanaishi kwenye hayo maisha ni vile tu hatujuani. Nikiwa naumwa tumbo la bleed siwezi kumpisha kwenye siti aisee la sivyo humo kwenye gari yatakuwa mengine