Wanaume wa Dar buana...!

Wanaume wa Dar buana...!

Mkuu pengine ana haraka
kwanza mi na desturi moja, sikupishi kwenye siti hata uwe babu kizee.hivi kama huku mkoani mtu anaona gari limejaa nyuma kuna gari nyingine tupu kwanini ulazimishe kupanda gari lililo jah,kufa na tabu zako.
 
Mimi huwa napisha saana tuu, ila hata asante sijawahi isikia! Lakini sababu najali yule aloko tumboni huwa wala sijali mimi!

Kama wamo humu mkipishwa muwe mnasema asante basi!!

Kuna siku nilimpisha baba mmoja akanilipia nauli na chenji akaniachia!
Nilipokuwa kama wewe nilikuwa napisha sana, sasa hivi mimi mwenyewe nimezeeka nahitaji kupishwa
 
Kama elimu ya darasani inaweza kukufanya ukaelewa na kufeel anachopitia mtu mwingine hata kama wewe hujawahi kupitia kwa nini wewe usiweze kuvaa viatu vyake? Kwani huko darasani ninyi hamuendi?
Kuna mambo mengi tu yanayoweza kukuonyesha! Mfano kuzaa! C lzm uzae lkn unaweza hata ukaona kiumbe kingine kinavyozaa! Cc wanaume tutaona huruma kwa jinsi tunavyoona! Lkn mwanamke utaona Huruma kwa mambo mawili, kwanza anavypteseka pili unajiambia mwenyewe kwamba hata wewe utakuja kuzaa hivyo! Bc hapo ndipo utakapohickia huruma! Lkn cnyinyi
 
Wanawake huwa mnachukiana sana,ingawa kwa nyakati hizi pia kuna baadhi ya me wanakuwa na hizo tabia
 
Kuna mambo mengi tu yanayoweza kukuonyesha! Mfano kuzaa! C lzm uzae lkn unaweza hata ukaona kiumbe kingine kinavyozaa! Cc wanaume tutaona huruma kwa jinsi tunavyoona! Lkn mwanamke utaona Huruma kwa mambo mawili, kwanza anavypteseka pili unajiambia mwenyewe kwamba hata wewe utakuja kuzaa hivyo! Bc hapo ndipo utakapohickia huruma! Lkn cnyinyi
Hivi kwanza kwa nini naongea na mtoto ambae ndio kwanza anabalehe. Umesomeka kijana
 
Wanawake ni kweli hampendani kabisa,hiyo ni kweli kabisaaa..

Hata wewe ungekuwa karibu usingemsaidia
 
Habari ya weekend wakuu,

Leo bwana kwenye daladala ya huku kwetu gomz kimetokea kisa kimoja.

Aliingia kwenye daladala mama mwenye mtoto na siti ya mbele kabisa karibu na mlangoni alikaa m'baba kwa kumuangalia anaweza kuwa yupo mid/late 40s.

Kando yake alisimama mwanaume mwingine wa makamo yaleyale, basi yule aliyekaa akasimama kumpisha yule mama akae.

Aliposimama akaanza kumwaga povu (kumbe alikuwa ameambiwa na yule aliyesimama kuwa amsaidie mtoto ).

Wacha ateme povu eti ooh wanawake hampendani, mwenzenu anaingia mnashindwa kumpisha kwa sababu gani? Mwenzie akawa anamtuliza, walikuwa hawajamuona si unaona gari imejaa?

Ye kakomaa hamna walikuwa wamemuona wanawake wana roho mbaya sana, yaani hawapendani kabisa.

Kusema kweli yule mama aliyeingia na mtoto mimi sikumuona maana nilikuwa nimejilalia zangu usingizi, na hata ningemuona nisingempisha bali ningempokea mtoto.

Ila yule baba mimi kanishangaza sana, ni kwa nini anadhani sisi wanawake ndio tunatakiwa kupisha?

Kwanza yeye alikuwa jirani kabisa pale kwa hiyo badala ya yeye kupisha alitaka atokee mwanamke aliyekaa nyumba ndio apishe?

Niwaulize ninyi wanaume, hivi akiingia mama mwenye mtoto au mjamzito anayetakiwa kuwa wa kwanza kunyanyuka kwenye siti ni ninyi au sisi?

Yaani sisi tunabeba mimba miezi tisa, tunalea hadi watoto wanafikia umri wa kujitegemea eti inapotokea tupo huru yaani hatuna mimba wala mtoto wa kunyonyesha bado tuna wajibu wa kuwapisha wenzetu walio katika hali hizo?

Kweli leo nimejua kuwa ni shughuli pevu kuzaliwa mwanamke Afrika, nadhani wanawake wa Afrika tuna mbingu yetu spesho maana sio kwa kazi hii tuliyonayo.

Nilitaka nimtolee uvivu yule mwanaume ila nikaamua nikae kimya maana nilikuwa na my uncle mmoja naheshimiana nae na anajua mimi siongeagi kabisa nikaamua kuilinda image yangu
Hebu tuoneeni huruma

NB: Hapa nazungumza na wale ambao huwa wanapisha sio wale makauzu
Wanawake wa kiafrica tuna mbingu yetu special

Mimi huwa napisha mzee au mgonjwa
Lkn mtu akiwa mzima wa afya walahi simpishi..Ila km Ana mtoto nitamsaidia kumbeba
Mtoto wa kiume kung'ang'ana kwenye siti Hali Kuna wamama wamesimama Ni uzembe
 
Hahaha mm napisha watoto primary tena wakiwa wanatoka shule tu na nauli nawalipia unamkuta kakauka mdomo balaa yani kachoka kichiz mijitu mzima nshankata,
Bora hata hao. Sasa mtu mzima anaona gari limejaa anapanda. Mimi sipishi tena ukute ndiyo nimepigania siti.
 
Wewe labda hujawai kaa gongo la mboto au mbagala au labda unakaa mkoani hujui changamoto ya usafiri ilo gari unalosubiri halijajaa utalipatia wap? We sema hupendi usumbufu lakini iyo ya kusema eti"Daladala imejaa, unapanda huku ukijua una nguvu na uwezo wa kusimama. Kwanini nikupishe?" you are trying to defend your selfishness.
Well, kwa hiyo daladala imejaa na unajua uwezo wa kusimama hamna utapanda tuu? Ninachosema ni kwamba gari imejaa na umeiona na ukaamua kupanda maana yake una uhakika una uwezo wa kusimama kupishwa kwenye siti ni huruma ya mtu tuu.
Naishi dar mwaka wa 22 huu.
 
Wanawake wa kiafrica tuna mbingu yetu special

Mimi huwa napisha mzee au mgonjwa
Lkn mtu akiwa mzima wa afya walahi simpishi..Ila km Ana mtoto nitamsaidia kumbeba
Mtoto wa kiume kung'ang'ana kwenye siti Hali Kuna wamama wamesimama Ni uzembe
yaani ni umama wa hali ya juu
 
Hv dada shemej kama hauishi mwisho wa route ya daladala do you expect daladala itafika na free seat?? Kwa hapa town?? Anyway labda kwa mchana
Well, kwa hiyo daladala imejaa na unajua uwezo wa kusimama hamna utapanda tuu? Ninachosema ni kwamba gari imejaa na umeiona na ukaamua kupanda maana yake una uhakika una uwezo wa kusimama kupishwa kwenye siti ni huruma ya mtu tuu.
Naishi dar mwaka wa 22 huu.
 
Back
Top Bottom