Wanaume uwezo umeshuka?

Wanaume uwezo umeshuka?

Kutojiamini, kutaka kukomoa na negative attitude zingine zote.

Hii ndo point ya msingi,mapenzi siku hizi (kwa walio nje ya ndoa) ni kukomoana tu,....
sa sijui nani anamkomoa nani,unakunywa midude yako,mnachubuana huko unapata magonjwa,....

Aku,me kama binti sina mpango nae hata nikifanya fasta kama kuku poa tu
 
Na wewe jitahidi kula vyakula vya kukuongezea hamu ili uweze kufika haraka, Haswa ukizingatia zama hizi za Ukimwi, ukisuguliwa sana unaweza abukiza kirahisi.
Najua hutumii dawa ya penzi.

haha hahaa !!!!!!!!!...dahh umejuaje swahiba?
dawa ya penzi mimi musa?....tokazakooo!!!!!!!!!
 
Nimejiuliza sana hiki kitu na nikashindwa kupata majibu sahihi na nikaona nishee na wanaJamii wenzangu labda kuna jibu ama maelezo sahihi<br />
<br />
Weekend iliyopita kwenye mida ya saa tano asubuhi tulikuwa kwenye Ka-bar maeneo ya home, watu wanakamata supu na kupata mojamoja, mara akaingia jamaa na kuagiza kavaluer nakuanza kunywa kwa fujo, Rafiki yake akaingia na kumuuliza kwa sauti <b>"vipi</b> <b>mtalaam una kazi nini,mbona asubuhi asubuhi?" </b>jamaa akajibu<b> "kamanda we subiri hapohapo"</b><br />
<br />
Baada ya kama dakika kumi akaingia dada mmoja wa haja yaani kama ni namba nane basi ni ile ya ukweli, mara ka-bar chote kakawa kimya na kila mtu akawa anamkodolea macho Yule mdada. Mdada akaenda straight kwa jamaa anayekunjwa Kivaluer na kuchukua fedha na kisha akatoka huku akimwambia jamaa saa saba utanikuta kule. <br />
<br />
Baada ya Yule dada kutoka tu ka Bar chote kakaripuka na maongezi wakimshauri Yule jamaa, <br />
<b>&quot;huyo unatakiwa umpigie KOnyagi kubwa, hapana hiyohiyo valuer na redbull, yaani mimi nikimpata nampigia kitimoto nusu na Valuer mbili, ahaaa mambo yote mchuzi wa pweza na Korosho, ahaa mimi ningepiga safari mix Konyagi&quot; </b><br />
<br />
NIKABAKI NAJIULIZA HIVI KWELI WANAUME HAWANA TENA UWEZO WA KUSIMAMIA KUCHA NA KUMRIDHISHA MWANAMKE BILA BUSTER YA AINA YOYOTE? HIVI UWEZO UMEPOTEA KIASI HICHO AMA NI NINI KINACHOTAFUTWA?
<br />
<br />
We endelea kula kiti moto na mikuku ya kizungu uje uone habari yake kukisha kuchwa
 
Ezan
Ishu watoto wakali kuwa-maintain ni kazi sana, hasa ukichukulia wanahitaji uwekezaji mkubwa hivyo mtu anawekeza na anataka apate faida siku hiyohiyo ili hata kama wameachana awe amerudisha faida(bao saba)

hapo umesomeka
 
Hivi ni nn kimewakuta wakaka wa siku hizi?
Inasikitisha sanasana kuona mpaka wajiboost na makonyagi au valeur
 
Nimejiuliza sana hiki kitu na nikashindwa kupata majibu sahihi na nikaona nishee na wanaJamii wenzangu labda kuna jibu ama maelezo sahihi

Weekend iliyopita kwenye mida ya saa tano asubuhi tulikuwa kwenye Ka-bar maeneo ya home, watu wanakamata supu na kupata mojamoja, mara akaingia jamaa na kuagiza kavaluer nakuanza kunywa kwa fujo, Rafiki yake akaingia na kumuuliza kwa sauti “vipi mtalaam una kazi nini,mbona asubuhi asubuhi?” jamaa akajibu “kamanda we subiri hapohapo”

Baada ya kama dakika kumi akaingia dada mmoja wa haja yaani kama ni namba nane basi ni ile ya ukweli, mara ka-bar chote kakawa kimya na kila mtu akawa anamkodolea macho Yule mdada. Mdada akaenda straight kwa jamaa anayekunjwa Kivaluer na kuchukua fedha na kisha akatoka huku akimwambia jamaa saa saba utanikuta kule.

Baada ya Yule dada kutoka tu ka Bar chote kakaripuka na maongezi wakimshauri Yule jamaa,
"huyo unatakiwa umpigie KOnyagi kubwa, hapana hiyohiyo valuer na redbull, yaani mimi nikimpata nampigia kitimoto nusu na Valuer mbili, ahaaa mambo yote mchuzi wa pweza na Korosho, ahaa mimi ningepiga safari mix Konyagi"

NIKABAKI NAJIULIZA HIVI KWELI WANAUME HAWANA TENA UWEZO WA KUSIMAMIA KUCHA NA KUMRIDHISHA MWANAMKE BILA BUSTER YA AINA YOYOTE? HIVI UWEZO UMEPOTEA KIASI HICHO AMA NI NINI KINACHOTAFUTWA?

Sio swala la uwezo hapo ishu ni kulinda heshima.
Kama mwanamke ndo umekutana nae siku ya kwanza lazima upige uwafunike wote wa nyuma.
Hapo sasa kwenye kujenga heshima lazima utafute vionje kama ukimiz gongo na valuu kisha unaweka na karanga mbichi lazima utajenga heshima kwa huyo mwanamke.
 
ukweli ndo huo banaaa....NGUVU ZIMEWASHUKA UJANJA MWINGIIII HAWNA LOLOTE NADHARIA ZMEWAJAA VTENDO NEHIIIII....wako tofauti na babu zetu zaman..(dont ask me ulijuaje ao mababu...)

mavyakula aya yanawaharibu ..mwanaume daily mnapanga folen wote kwenye chps mayai..no mazoez no wat..wengne sasa akitoka ndani ya gari kafka ofcn chapat 4 nyama furushi akimaliza apo mchana baga,au wali nyama huoooo na bia za kushushia ...jion ikifika ndan ya gari kwa masssawe mbuzi paja na bia za kutosha.....yaan yeye ni kula kulala hana zoez hata kdogo ..sasa apo unategemea nin?

lakin wazee wetu zaman...asubui ni kitu fresh km ni ugali dona na mboga chukuchuku then uyooo shamba...na shamba lenyewe lipo km 10 toka home anatembea ( jogng iyo) kafika shamba kaz nzito (ni zoez tena ilo) anarud tena home km 10 ... akirud home bas km ni pombe basi pure azna kemikali mbege sjui dengua ,ulanzi...kisusio chake mboga za majan ...sasa apo unategemea nin?mtu anakuwa very strong..LAKIN MFUMO WA MAISHA YA SASA NI TAFAUUUT kabsa ..matokeo yake ndo ayo mtu kufanya mazoez inabd awe amekata shauri toka moyon la sivyo matokeo yake ndo ayo...full kunywa konyagi..pweza...lasivyo mtarimbo doro km si doro 1minute mtarimbo.....WANAUME FANYEN MAZOEZ KDG YATAWASAIDIA ..MAISHA ya ofcn bar home yatawakost...mahaus boy full kufanya kaz zote...POLEN.


M NOT READY FOR BATTLE...aman aman km nimekukwaza nipotezeee me love u...

Wanaume wa siku hizi mmmmmmmmmmmh! Kijana mdogo perfomance zero
 
mazoezi, mazoezi hatuna na kupaniana kwingi saaana kunaharibu
 
mazoezi, mazoezi hatuna na kupaniana kwingi saaana kunaharibu

You said it well,,,
Watu wanaona raha sana kufuga matumbo kama wana mimba afu
baada ya mda ndo kuanza kulilia madawa na mapombe,kudadeki kateni mafutaaaaaa!!!!!!!
 
You said it well,,,
Watu wanaona raha sana kufuga matumbo kama wana mimba afu
baada ya mda ndo kuanza kulilia madawa na mapombe,kudadeki kateni mafutaaaaaa!!!!!!!

Hahahahaha mzee hujui mademu wa kibongo bongo wanapenda wenye matumbo makubwa eti ndo wenye mshiko
 
mazoezi, mazoezi hatuna na kupaniana kwingi saaana kunaharibu


Hapa nakubaliana na wewe mkuu mazoezi hatuna
Mtu anakaa ofcn kuanzia asubuhi mpaka jioni na kiti cha kuzunguka anatoka anaingia kwenye gari anaenda bar kupata nyama choma na bia akitoka hapo anaenda home kulala hapo unatarajia nini
Na hiii ni kuanzia jumatatu mpaka jumamosi na hata jumapili kwa wengine hakuna hata kutembea kidogo
 
Demu anakujia na wapambe 3 huku na huku wamekukamua laki 2 kwa nini na wewe usimnywee Viagra

Kaka hapo unakuwa hujamkomoa, kumbuka umetumia extra energy 'kumkomoa' kwa akili yamwanaume utaona umemkomoa kumbe ndo kwanza umejiumiza ww, hayo ma pombe/viagra yanama side effect kama kuumwa kichwa, kuchoka saana next day, pressure na kujisikia kujihisi homa nk nk.. haujui yy ni sugu kiasi gani? au kufanya vile ndio kwanza umemridhisha yeye, sababu amefika kigoma... tusifanye kukomoana kwani hasira za mkizi.....
 
hata siwaelewi wanaume kwani mnafanya mapenzi ili iweje?
 
Hahahahaha mzee hujui mademu wa kibongo bongo wanapenda wenye matumbo makubwa eti ndo wenye mshiko

Hili ndo tatizo kubwa kabisaaaa,ndo maana hata vyuoni
wanafunzi utawakuta wana jishika matumbo mda mwingi,eti wanafuga "kitambi"

Sasa ina maana gani?wakuone unahela (may be yes/no) afu baadae wakudharau
kwamba jamaa anahela lakini 6*6 ni boya tu,....men

Bora nibaki nilivo,wether ninahela au sina hela lakini nafurahia mambo ya kikubwa,....
Haha,hao wenye matumbo nasikia wanaishiaga kuomba "walambwe corn" haha
 
Back
Top Bottom