wanaume mnashangaza sana hv unafikiriaje eti nitamridhishaje mtu wakati hata huna experience naye.ina maana ujajijua una tatizo na sio wanawake wana tatizo.msitusingizie
aaha wapi uanaume haupimwi kwa ngono bwana mwan aume busara na hekima duniani.sex ni kitu special sio jinsi mnaifanya nyie na ndo maana waganga wamewafanya dili soko limekubaliKwani mwanaume anakuw amwanaume bila ile nguvu
Akili anabaki nazo ila sio mwanaume tena huyo mbele ya wanaume
Fanyeni mazoezi acheni kujidanganya.
kwanini in the first sight utumie kwanza ulichonacho kwanza then next time ndo uje ujazie?Ndo hapo lazima ujiulize nitafanyaje niongeze ujuzi gani above what i have na gari hilo lina speed ngapi maana huwezi panda mlima wakati hujajua kuw agari yako itaweza kpanda ule mlima au gari yako inaiona dhoofu then unaenda panda kitonga
aaha wapi uanaume haupimwi kwa ngono bwana mwan aume busara na hekima duniani.sex ni kitu special sio jinsi mnaifanya nyie na ndo maana waganga wamewafanya dili soko limekubali
kwanini in the first sight utumie kwanza ulichonacho kwanza then next time ndo uje ujazie?
<br />aku babu kuuuuuuuuuubwa kama ya kwako
eti eeeeh? mi simoWasiojiamini ndo wanaenda kufuata konyagi na valuer ila wale ambao wana natural power hatuhitaji valuer wala konyagi popote ni kambi
unakunywa ili iweje? mi sielewi kwa faida ya nani hapo inakuwa?
nikipata mume nitapractice iyo formular ngoja niisave<br />
<br />
ujuzi wa kujua nini unafanya kwa nini, pia upunguze dharau kama si woga kwa mwenzio, kujituma/kujishughulisha ipasavyo wakati wa ku-do, kutokufika kibo itakuwa historia.
mmmmmmmmmmh si ndo utaachwa kabisa hapo?siku hizi wengi wanaamini ili kuweka heshima shurti ukae juu ya kiuno kwa nusu saa au zaidi..
mmmmmmmmmmh si ndo utaachwa kabisa hapo?
umekaa sana unataka kupangisha na kuhamia au?utaachwa kwamba umekaa mda mrefu au kidogo? lol kama nusu saa kidogo basi tunalo
umekaa sana unataka kupangisha na kuhamia au?
Mkuu mbn umeogopa mapema, Jilie unachokipenda ilimradi unajiamini katika zoezi zima.Mmenifanya leo nisile ndizi choma na nyama choma, nisije kosa usingizi kwa kushindwa zoezi kuu
utaachwa kwamba umekaa mda mrefu au kidogo? lol kama nusu saa kidogo basi tunalo
dah kazi ipo wajenge kabisa ghorofaha ha ha ha haaaaaa lol.. ndio hivyo bana watu wakishapanda hawataki kushuka!
hv kipofu anaeza mwongoza kipofu mwenzake? nyie wenyewe hata kama umekaa masaa 2 hamna kitu mnafanya ina maana gani usihesabu muda hesabu action -results babu eeh sio unakaa unakoroma na kulia kama mbuzi hapo mwee eti nimekaa pale kumbe wapi?Kwa jinsi walivyosugu siku hizi, hata nusu saa ndogo.
Wenyewe hawaoni kuwa hilo ni tatizo.