Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,956
- 6,887
Habari wakuu,
Kama heading inavyoeleza hapo juu, nataka kufanya research binafsi ili nione kama kuna kipya katika matumizi na gharama zetu katika maisha yetu ya kila siku, Nikisema kipya ni kujua kama kuna uwezekano wa watu wanaotumia gharama sana, gharama za kawaida (kati) au kuna za chini kabisa n.k
Nitaanza na mimi, binafsi napenda sana kuwa smart all the time hivyo napenda kuwa on point kila mara so nimekuwa mtu wa kuchagua sana vinyozi na ubaya ninapoishi hamna saloon zile za high level (Barber Shop) hivyo kutokana na hilo huwa kuna kinyozi wangu natokaga mitaa mitatu kumfuata kwaajili ya kazi hiyo, Kutokana na suala hilo la umbali imebidi nijipe ratiba ya kunyoa na full head mara mbili tu kwa mwezi ambapo huwa nalipia 10,000 huku beards na ndevu nikiwa nashave kila baada ya siku 5 hapahapa mtaani ambapo nalipia Tsh. 500 tu.
Kwa hesabu hiyo hapo juu mimi hujikuta natumia Tsh.11,500 - 12,000 kwaajili ya kushave kila mwezi.
Wewe je?
Kama heading inavyoeleza hapo juu, nataka kufanya research binafsi ili nione kama kuna kipya katika matumizi na gharama zetu katika maisha yetu ya kila siku, Nikisema kipya ni kujua kama kuna uwezekano wa watu wanaotumia gharama sana, gharama za kawaida (kati) au kuna za chini kabisa n.k
Nitaanza na mimi, binafsi napenda sana kuwa smart all the time hivyo napenda kuwa on point kila mara so nimekuwa mtu wa kuchagua sana vinyozi na ubaya ninapoishi hamna saloon zile za high level (Barber Shop) hivyo kutokana na hilo huwa kuna kinyozi wangu natokaga mitaa mitatu kumfuata kwaajili ya kazi hiyo, Kutokana na suala hilo la umbali imebidi nijipe ratiba ya kunyoa na full head mara mbili tu kwa mwezi ambapo huwa nalipia 10,000 huku beards na ndevu nikiwa nashave kila baada ya siku 5 hapahapa mtaani ambapo nalipia Tsh. 500 tu.
Kwa hesabu hiyo hapo juu mimi hujikuta natumia Tsh.11,500 - 12,000 kwaajili ya kushave kila mwezi.
Wewe je?