Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Kwani mlikubaliana kuzaa au uliitegesha tu kwa sababu anajiweza ?

2.Kulikua na mpango wowote Wa jinsi ya kupeana matunzo au ndio umetuletea shemeji zako labda tutalitatua?

3.Pole sana mahusiano ni magumu sana ila wanaume tujitahidi hata kama humtaki Mama basi mtoto mjali maana anaathirika kisaikolojia.
 
MIMI MPOLE SANA NAANDIKA TU .ILA NIMEKUMISS ILA KUSUBIRI AUGIST SIWEZI
Awww!! Lawd have mercy!! It gives great joy kusikia mtu unaempenda anakumiss..honestly I miss you too baby boo!

Unajua watu wa kariba kama yangu akina somasoma au john kisomo tuna supa dupa passion na maandishi na kusoma shule bila kuentertain kutiana so linapokuja kwenye suala la sex ni only for reproduction purposes not for leisure and pleasure kama Wamatumbi wengine.

Matter of fact, nilipokua Dar ulikuwa busy mbaaya hata hatukupata muda wa kumating and shaging ila nna mashaka it may take a while si unajua na Mimi nafall tena kwenye category ya mini sponsors ambao sperms huwa zinakuja zikiwa na mkia pekee pasipo kichwa. Ningekuwa sperm donor mbabaishaji..fastaaa! Mapacha!

Lini utakuwa leave kazini nikutumie flight ticket my mating wife tuje tumalize magodoro kadhaa for the pursuits of our beloved daughter? Lol
 
Nakubaliana na ww 100%, lilishawahi kunitokea, mwanamke niliekuwa nae kwenye mahusiano bahati mbaya alipata ujauzito wang, nikakubali kugharamia ujauzito mpaka anajifungua mwaka 2002 kila mwezi nilikuwa natoa tshs50, 000/=, baada ya kujifungua ndo mtihani ulipoanza, ukituma tshs100, 000/= baada ya siku tatu unaambiwa hela imeisha, ukihoji imetumika vp anakuwa mkali kwelikweli, ukumbuke mwaka 2003 tshs100, 000/= ilikuwa ni pesa kubwa unaweza nunua kiwanja au shamba, ikafikia kipindi nikamwambia siwezi ongeza pesaila nitatuma hiyohiyo tshs 100,000/= mungu wangu nilichambwa balaa, "kati ya wanaume na ww unajiona mwanaume? kwanza mtoto sio wako", hiyo kauli iliniuma nikaamua kusitisha utoaji wa pesa, ndo matusi yakazidi mi kimyaa sijibu chochote, ikapita miaka10 nikapata taarifa kuwa mwanao anapata shida sana kijijini analima vibarua ndo apate kula, dah roho ikaniuma sana nikajiuliza mmm niko dsm nafanya kazi, naishi vizuri, nakula vizuri naishi kwangu inakuwaje mwanangu apate shida? nikalianzisha sekeseke la kudai mtoto lakini mama mtoto mkali balaa, nikapiga mkwara kama ni mwanangu kweli namhitaji vinginevyo akipata tatizo usinihusishe kwa lolote, akakaa akajifikiria mwisho akasema tuma nauri nikuletee mwanao, nikatuma tshs80000/=toka iringa kuja dsm lakini nayo ikaliwa, nikatulia kimya kama miezi miwili akanitafuta na kunieleza kuwa ile pesa ilitumika kumtibu mama yake kwa hiyo anaomba samahani, nikatuma tena tshs80, 000/=akasafirishwa kijana hadi dsm mpaka ss niko nae home anaendelea na masomo, mida mingine huwa tunavumilia mengi ila baadhi ya wanawake huwa wanajiwahi kulaumu tu bila kujua kuwa chanzo cha matatizo mengine husababisha wao.
Pole sana na hongera kwa uthubutu. mwanamke mpumbavu......?
 
Awww!! Lawd have mercy!! It gives great joy kusikia mtu unaempenda anakumiss..honestly I miss you too baby boo!

Unajua watu wa kariba kama yangu akina somasoma au john kisomo tuna supa dupa passion na maandishi na kusoma shule bila kuentertain kutiana so linapokuja kwenye suala la sex ni only for reproduction purposes not for leisure and pleasure kama Wamatumbi wengine.

Matter of fact, nilipokua Dar ulikuwa busy mbaaya hata hatukupata muda wa kumating and shaging ila nna mashaka it may take a while si unajua na Mimi nafall tena kwenye category ya mini sponsors ambao sperms huwa zinakuja zikiwa na mkia pekee pasipo kichwa. Ningekuwa sperm donor mbabaishaji..fastaaa! Mapacha!

Lini utakuwa leave kazini nikutumie flight ticket my mating wife tuje tumalize magodoro kadhaa for the pursuits of our beloved daughter? Lol
eheheee kumbe wasukuma mnajua kutongoza eeh?
 
Tatizo tulishaongea tukakubaliana kila kitu kuhusu kumlea mtoto. Tatizo ni kwamba baada ya kuongea hayo akapotea na simu hapokei tena. Nilichomwambia tu ahesabie amekufa kwenye maisha ya mtoto wangu. Yani ajue ana mtoto ila asitegemee mtoto atakuja kumjua kama yeye ni baba ake sababu nitamwambia mtoto baba ake alikufa na akiujua kweli kuwa baba yake yuko hai nitamwambia ukweli baba yako hakupendi alikukataa ili asije kuwa kama baba Diamond baadae. Nimemtumia msg kumwambia yote hayo akabaki kimya hata kusema ok kashindwa.
Ya Mungu mengi kama hapokei kwa sababu simu imepotea fanya research upate uhakika kwa, acha maamuzi ya kishirikina
 
Mmezidi mno kutubambika mimba! Mwanamke mmoja unakuwa na wanaume saba kama jike la mbwa, sasa unategemea baba wa mtoto awe nani??
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana.
Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa. Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani? Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.
Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?
KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.
Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.
Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa marekani/dunia.
Pole sana Dada Mimi ni mwanaume
Umenikumbusha vitu vingi sana katika historia yangu ya maisha
 
eheheee kumbe wasukuma mnajua kutongoza eeh?
Aaaaaah! Sio wewe tu, watu kibao wanatuchukuliaga wasukuama kama watu old fashioned, weirds and unsophisticated.

Get it together Miss Natafuta...tuna some flavour zetu murua, tuna miliki very sweet feelings to feel love with some kinky vibes za love..

Afu sio kutongoza tu...sisi ndio tunajua maana ya kupenda..coz kupenda ni kufall and huwezi kufall in love afu ukawa na akili yako yooote yooote nzima nop! You need to be crazy! Sasa ni wasukuma pekee ndo huwa tunakuwa craazy when in love..but people fall and not just get in love..."you can't be in love and be smart " sasa ni kabila letu tu ndo Ngosha anafall in love na mchuchu afu anatoa ng'ombe mia kisa she has some light skin colur..that's falling in love and being crazy in love..ng'ombe mia afu hata haujali wala kuwaza maana tayari ushakuwa mwendawazimu . Ukiona njemba inasema iko in love afu hata mia 650 ya mwendokasi haikupi ujue karagabao hapo. Anyways! Makopa miss wangu upaja kama Zari..aaaaaah!

Kila siku nakwambia my bae I want to love you hard....yaani nataka nikudondoshee moyo deadly..baghosha! Kinhee!?
 
Dada nisamehe tu ila ulivyo andika inaonesha huyo mtoto ulimfanya kitega uchumi chako. Jamaa akakustukia akaweka makufuli mlangoni. Pole sana, hakuna mwanamume mwenye akili timamu awezaye kumwacha mwanaye akiteseka. Hilo la kina sijui Diamond na Obama care haisaidii.
Nikiisha mtupa hata angelikuja kuwa Faru John aliyekuja vuma bila kutarajia. Siangalii nyuma. Maudhi ya mwanamke, ukiyakumbuka saana waweza anguka bafuni bure.

Hayo ni mawazo yako mkuu. Kama angekua kitega uchumi ningeanza nae kwenye mimba. Toka nimepata ujauzito hela pekee aliyonipa ni hela ya kwenda kutolea mimba. Na kuna kipindi nilikua sina hata 100 ila sikuwahi kumuomba hela hata ya kwenda clinic. Hata Mungu ni shahidi kama nilishawaza nitaishi kupitia hela za huyu mtoto. Bora angekua ananipa hata kipindi hicho angesema basi nilizuzuka na hela zake ila sikuwahi kuzuzuka nae. Na hata huu ujauzito niliupata kimaajabu tu.
 
nenda ustawi wa jamii atakuwa anapeleka hela pale wewe unaifata tatizo wanawake wa bongo wanajifanya kumuachi mungu sperm donors .nenda ustawi w a jamii utakula child support kilaiiiini

Na mie nimeamua kumuachia Mungu atadeal na sperm donor na atanisaidia mimi kumlea mtoto katika njia aipendayo. Sijawaza bado kusumbuana nae. Hakuna kitu sipendagi kama kuhangaika na hela za mtu sababu mimi mgumu sana wa kuomba huwa naona mtu anawaza labda namtegemea yeye wakati siwezi mtegemea mtu hata nikilala njaa nakuona hapo unakula sikuombi chief.
 
Na mie nimeamua kumuachia Mungu atadeal na sperm donor na atanisaidia mimi kumlea mtoto katika njia aipendayo. Sijawaza bado kusumbuana nae. Hakuna kitu sipendagi kama kuhangaika na hela za mtu sababu mimi mgumu sana wa kuomba huwa naona mtu anawaza labda namtegemea yeye wakati siwezi mtegemea mtu hata nikilala njaa nakuona hapo unakula sikuombi chief.
huo ni ujinga dear haya yesu alisema aombae apewe
 
Aaaaaah! Sio wewe tu, watu kibao wanatuchukuliaga wasukuama kama watu old fashioned, weirds and unsophisticated.

Get it together Miss Natafuta...tuna some flavour zetu murua, tuna miliki very sweet feelings to feel love with some kinky vibes za love..

Afu sio kutongoza tu...sisi ndio tunajua maana ya kupenda..coz kupenda ni kufall and huwezi kufall in love afu ukawa na akili yako yooote yooote nzima nop! You need to be crazy! Sasa ni wasukuma pekee ndo huwa wanakuwa craazy..that's people fall and not just get in love..."you can't be in love and be smart " sasa ni kabila letu tu ndo Ngosha anafall in love na mchuchu afu anatoa ng'ombe mia kisa she has some light skin colur..that's falling in love and being crazy in love..ng'ombe mia afu hata haujali wala kuwaza maana tayari ushakuwa mwendawazimu . Ukiona njemba inasema iko in love afu hata mia 650 ya mwendokasi haikupi ujue karagabao hapo. Anyways! Makopa miss wangu upaja kama Zari..aaaaaah!

Kila siku nakwambia my bae I want to love you hard....yaani nataka nikudondoshee moyo deadly..baghosha! Kinhee!?
ehehee wewe ni noma acha nilale kesho tutaongea yaani
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana.
Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa. Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani? Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.
Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?
KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.
Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.
Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa marekani/dunia.
Ujumbe wako nimeulewa sana na mm ni runner ila huyo mzazi mwenzangu alinikana ikiwa bado nipo duniani tena kijana kabisa, na mbaya zaidi ananibadilishia tu vidume kwenye dp ya WhatsApp, ukiona anakutafuta basi ujue Dogo anaumwa.
Inaniumiza kama mzazi ila nimeamua kutulia tu siku Dogo akifikia umri wa shule atamleta maana wengine kudharirishwa hatujazoea na wadada mnavyojua kuchonga ngenga (/kuongea maneno ya shombo ) hamjabo.
 
Na mie nimeamua kumuachia Mungu atadeal na sperm donor na atanisaidia mimi kumlea mtoto katika njia aipendayo. Sijawaza bado kusumbuana nae. Hakuna kitu sipendagi kama kuhangaika na hela za mtu sababu mimi mgumu sana wa kuomba huwa naona mtu anawaza labda namtegemea yeye wakati siwezi mtegemea mtu hata nikilala njaa nakuona hapo unakula sikuombi chief.
Maskini! Maandishi yako yameprovoke huruma yangu ya ndani kiaina.

Yaani mpaka nimefeeel your nagging pain and suffering. Vumilia!! Mungu akifunga mlango mmoja wa bahati basi huwa anafungua mingine kadhaa.

I'm very sorry Mzigua90
 
Back
Top Bottom