Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Mimi sibishi bali namshangaa huyo anayejiita mwanaume anayekubaliana na kitu kama hicho.
watu wanatofautiana wapo wanaopenda hivi,kwani hujawahi sikia mtu anamtuma mkewe akabebe mimba nje kutunza heshima ya familia
 
watu wanatofautiana wapo wanaopenda hivi,kwani hujawahi sikia mtu anamtuma mkewe akabebe mimba nje kutunza heshima ya familia
Heshima gani sasa hapo imetunzwa!! Ili nani akuheshimu na ili iweje!! Ndivyo zile akili mliambiwa mtumie zinapoishia?!!!
Nowonder basi!
 
wanawake wengi tunaachia tupate mimba kwa sababu mbalimbali.wengi tunategesha mimba ili kuolewa,wengine tunategesha kwa mwanaume wenye hela tukidhan kuwa nikizaa nae ndo nitakula hela yake vizur.wengine umri umeenda anaamua kuzaa na mwanaume yeyote ilimradi naye apate mtoto wake.kwa wale waopata mimba kwa bila malengo wengi wao huwa niwale wanafunzi wenye umri mdogo ambao hawajui kujikinga.migogoro yote ya kuachiwa mtoto inatokea baada ya malengo ya kupata mimba hiyo kutotimia.wanaume wengi wanapenda raha ya kavukavu lakini wakisikia mimba kwaheri,wako radhi wamchukue mtoto akalelewe na mkewe au mama yake kuliko kumpa mtu aliye zaa nae hela ya matunzo kwa kuwa anajua akitoa hiyo hela na wewe mama mtu utakula hiyo hiyo.jambo lingine kunawanaume wengine wako tayar kuhudumia lakini hayo matumizi yanayoomba kwa ajili ya mtoto ni makumbwa kuliko hata matumizi ya nyumbani kwake na familia yake yenye idadi kubwa ya watu,yaani tunakuwa kama tunawakomesha wanaume kwa kudai matumizi makubwa mwisho wake wanaamua kukimbia au kukana watoto.tujirekebishe tukijiachia kupata mimba tujiandae na kulea na kumtunza mtoto.tusifanye mtoto kama kitega uchumi.hii itatusaidia kupunguza strees,nakuishi kwa amani.
 
Mahusiano ya kimapenzi yakivunjika ujue mwanamke ndiyo tatizo. imeandikwa "mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe"

hii ndiyo kusema kuwa, kama mwanamke umesimama imara hata mwanaume awe chizi kiasi gani atapoa tu.

shida wadada wa siku hz mnadhani kukata mauno, kubugia dushelele na kugawa 071..ndiyo mapenzi. damn shit!!
 
Sio mimi ila yapo,so endelea kutembea na kukua uujue ulimwengu
Dogo unadhani unaongea na mtoto mwenzio!!
Najua yapo na ndio hayo ninayoyashangaa kama ndio wanaume hao basi imbombo ngafu.
 
wanawake wengi tunaachia tupate mimba kwa sababu mbalimbali.wengi tunategesha mimba ili kuolewa,wengine tunategesha kwa mwanaume wenye hela tukidhan kuwa nikizaa nae ndo nitakula hela yake vizur.wengine umri umeenda anaamua kuzaa na mwanaume yeyote ilimradi naye apate mtoto wake.kwa wale waopata mimba kwa bila malengo wengi wao huwa niwale wanafunzi wenye umri mdogo ambao hawajui kujikinga.migogoro yote ya kuachiwa mtoto inatokea baada ya malengo ya kupata mimba hiyo kutotimia.wanaume wengi wanapenda raha ya kavukavu lakini wakisikia mimba kwaheri,wako radhi wamchukue mtoto akalelewe na mkewe au mama yake kuliko kumpa mtu aliye zaa nae hela ya matunzo kwa kuwa anajua akitoa hiyo hela na wewe mama mtu utakula hiyo hiyo.jambo lingine kunawanaume wengine wako tayar kuhudumia lakini hayo matumizi yanayoomba kwa ajili ya mtoto ni makumbwa kuliko hata matumizi ya nyumbani kwake na familia yake yenye idadi kubwa ya watu,yaani tunakuwa kama tunawakomesha wanaume kwa kudai matumizi makubwa mwisho wake wanaamua kukimbia au kukana watoto.tujirekebishe tukijiachia kupata mimba tujiandae na kulea na kumtunza mtoto.tusifanye mtoto kama kitega uchumi.hii itatusaidia kupunguza strees,nakuishi kwa amani.
Kama ni hivyo mnapata dawa yenu, kama mtu ametegeshea, amebeba kisa apate hela za jamaa, aolewe nk, huyo ni mbululaz tu ngoja akili imkae sawa maana hamna namna nyingine.

Hata mimi, mdada angefanya yoyote kati ya hayo angepata dawa yake.
 
Dogo unadhani unaongea na mtoto mwenzio!!
Najua yapo na ndio hayo ninayoyashangaa kama ndio wanaume hao basi imbombo ngafu.
sasa kama unajua yapo na wewe ni jitu zima unashangaa nini,kwani ukikiri kua hujui kitu kuna tatizo?
 
Mahusiano ya kimapenzi yakivunjika ujue mwanamke ndiyo tatizo. imeandikwa "mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe"

hii ndiyo kusema kuwa, kama mwanamke umesimama imara hata mwanaume awe chizi kiasi gani atapoa tu.

shida wadada wa siku hz mnadhani kukata mauno, kubugia dushelele na kugawa 071..ndiyo mapenzi. damn shit!!
Heaven Sent njoo mwanangu uone maajabu ya dunia.
mwanaume akitaka kuzaa na wewe atakwambia tuu.na mtapanga pamoja suala hilo lakini ukiamua mwenyewe mwanamke ujue hilo lako.usilaumu mtu we lea
 
Wanaume akili zao wanazijua wnyw..muhimu pambana lea mwanao .....ktk maadili...apate elimu yA kutosha...huyo baba achana nae....ukilialia sana anafurahia....Kama kakataa tupa kuree ng'ombe haelemewi nA nundu yke bana!!
 
Mwanamke unatakiwa uwe smart pia, usichukue mimba huku ukiwa unamtegemea mtu asiyeeleweka na sio mume... au kuwa na kazi ya kukupa kipato cha kumtunza mwanao kabla ya kuchukua mimba nje ya ndoa.. japo wanaume wana makosa ila mnaweza kupunguza extent ya watoto kulelewa kwenye umasikini kwa kuwa makini

Let say sikua smart mimba ikaingia, bado nitakua nastahili kulea mtoto peke yangu sababu sikua smart kuzuia mimba?
Halafu sio kila mimba inaingia mtu akiwa anajua leo inaingia au leo lazima nimbebee mimba huyu. Nyingine zinaingiaga bahati mbaya hata ukijitahidi vipi kuizuia. Mimi yangu nilihakikisha mwanaume amevaa kinga sababu hatukua serious kiasi cha kusema niwe comfortable nae kumuachia tu bila kinga lakini at the end of the day nilijikuta mjamzito, sasa kwa kuwa nilimuona hatuna future ningeenda kuitoa ile mimba?
Unajua hata mama awe tajiri kama Folorunsho na baba awe kama matonya lakini ile hali ya baba kumnunulia mtoto hata pipi tu huwa inafariji. Kweli kipato changu sio kikubwa kusema kinanitosha kuishi na kusave lakini bado haikua sababu ya mimi kutoa kiumbe kilichoingia sababu sijajipanga ungekua ni ubinafsi.
 
Dada nisamehe tu ila ulivyo andika inaonesha huyo mtoto ulimfanya kitega uchumi chako. Jamaa akakustukia akaweka makufuli mlangoni. Pole sana, hakuna mwanamume mwenye akili timamu awezaye kumwacha mwanaye akiteseka. Hilo la kina sijui Diamond na Obama care haisaidii.
Nikiisha mtupa hata angelikuja kuwa Faru John aliyekuja vuma bila kutarajia. Siangalii nyuma. Maudhi ya mwanamke, ukiyakumbuka saana waweza anguka bafuni bure.
 
Makosa yanaweza kuwa ya mwanamke,mwanaume au wote wawili lakini athari kubwa inakuja kwa mwanamke na mtoto..So wadada muwe makini..Sio kila mlowekaji ni mfuaji..Wengine wanaloweka tu na kuendelea na shughuli zao..

Tatizo nyie wanaume mnapenda kuloeka yakitokea ya kutokea mnatupa lawama sisi as if huwa tunawashika mkono msivae kinga
 
Hii ishu ikishatokea cha msingi ni sapoti kutoka kwa familia yako, ni hiko tu ndiyo kitafanya makosa yaliyotokea usiyajutie sana.

Mwanaume anayesusa mtoto huku wewe uko sawa kwa kila kitu ni utoto umemshika anajiona kuna vitu hajamalizia.

Bora angekua mtoto basi huyu wangu. Ni mkubwa kanizidi zaidi ya miaka kumi. Basi tu hapendi majukumu na hana ubinadamu naona.
 
Back
Top Bottom