Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Mzigua mwenzangu pole sana!
Lea mwanao, Mungu atakupa wepesi!
Kama baba yake hamjali basi hata mimi baba yake wa kambo nitampa mapenzi Kama sio mahaba!!
 
kweli kabisa mkuu mwenyewe najikusanya kabisa kabla sijapiga tukio akitoa fine ni kama bonus tu ila mwanaume sio wa kutegemea kabisa baba yao shetani
hahahahaha eti baba yao shetani,sio hivo! kuna mwanamke unakuta anakuomba mtoto eti umpe mimba atalea tu mwenyewe,sasa jitusu umpe aisee utajuta,utawekewa mabango kila sehemu kua umemzalisha hutoi hata matumizi
 
Pole sana dada. Binafsi nimeshindwa kuelewa hawa jamaa wanakua na roho ngumu namna ngani. Sielewi kwa kwel. Namfahamu mmoja ameelimika kabisa - elimu ya chuo kikuu, na ana kazi serikalini lakini ndo hivyo, kamtelekeza mzazi mwenzake na mtoto.
 
Mwanaume mpaka afanye hivyo kwa kuuachia mtoto wake...basi ujue wewe ni tatizo...tatizo lilianza mwanzo ndio maana hakukuo...ila haujajifunza na kuendeleza ununda mpaka sasa kwenye malezi.
....acha kupiga mayowe-badilika kifikra....speaking from my experience
 
Hili suala la single parenthood linazidi kukua kwa kasi ya ajabu. Tusichokigundua ni kwamba we are raising a generation of young adults that will have so much insecurities kwa sababu ya kukataliwa na wazazi wao au kutokupata malezi ya wazazi wote wawili.

Natamani sana kila mmoja kwa wakati wake atafute movie inaitwa COURAGEOUS by Alex Kendrick , ina fundisho moja na muhimu sana kuhusu nafasi ya baba katika malezi ya wanaye. And this is not just for the single mothers out there, hii ni kwa ajili ya familia zote. Trust me you will learn something very valuable from watching this movie.
courageousartworkpic1.jpg
 
hahahahaha eti baba yao shetani,sio hivo! kuna mwanamke unakuta anakuomba mtoto eti umpe mimba atalea tu mwenyewe,sasa jitusu umpe aisee utajuta,utawekewa mabango kila sehemu kua umemzalisha hutoi hata matumizi
Nawe uloambiwa hivyo ukakubali unajihesabu mwanaume kabisaaa!!! Umekuwa sperm donor we!!
 
ukikimbia mtoto adhabu nitakayokupa huta kaa unisahahu milele... nawaambiaga watu hivi wanaiambia na roho mbaya but not easy in such ... ila dada pole sana muache kuwa na mioyo ya huruma na kususa kama unahakika ni mtoto wake ana anauwezo kifedha chukua hatua mpeleke kwenye vyombo vya sheria ni jukumu lake kulea no matter anakupenda hakupendi hilo halimuhusu mtoto...... hakuna swala la kumuachia Mungu
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana.
Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa. Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani? Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.
Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?
KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.
Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.
Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa marekani/dunia.
Avatar yako tuuu,,,
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana.
Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa. Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani? Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.
Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?
KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.
Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.
Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa marekani/dunia.
Pole sana dada, japo sio vizuri kupotosha. Obama hakuwahi kukataliwa na baba yake. Mzee Obama alishafanya safari nyingi tu kwenda US kumtembelea kijana wake kabla hajafariki, ni dhambi kusingizia asiyeweza kujibu. Rejea kitabu cha Obama "Audacity of Hope".
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana.
Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa. Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani? Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.
Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?
KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.
Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.
Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa marekani/dunia.
Kila mtu ana malengo yake kwenye maisha tena nyie ndo unakuta mnategesha mimba ili muolewe.Mkikataliwa mnaishia kuwalaani wakati chanzo ni nyie.Wewe kama upo tayari kuzaa tafuta aliye tayari sio kumzalia asiye tayari na ukilazimisha kila mtu atabeba msakaba wake utatiwa mimba the rest utajua mwenyewe
 
Back
Top Bottom