Wale Sauti Sol wa Kenya hawakataagi mtoto hata Nerea walimsisitiza awapelekee mtoto wao watamlea..labda jaribu kwao ila hawa wa kibongo ni Pasua kichwa dadangu.
Ila kwa jinsi ninavyotafuta mtoto kwa gharama yeyote..huyo mwanamke atakenizalia si nitamkopea mkopo wa Saccos hapa wizarani ale na mwanangu na apumzike na uchovu wa uzazi..yani ndo maternity leaves yake hiyo..!
Afu napendaga wanawake wenye watoto....they are very easy to start a relationshio with them..yaani hapa nikianza kumcare na kumpenda mtoto kwa kiwango cha dunia basi automatically na mama yake ananipenda and voila! Abracadabra!
Anyways!! Sorry can I adopt her
Mzigua90?