Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Sijawahi kuwa kikwazo chochote kwake kwa anachofanya. Sana sana ananiambiaga napoteza muda kumwambia kaka ake anayoyafanya maana kaka ake mwenyewe Ana yake yanamshinda. .
Nimempa nafasi Afanye anachoona yeye kwake ni sahihi.
Believe me; it will take sometime
Lakini atabadilika, be cool as you do. Hata hivyo wewe una kauli nzuri nzuri unazowashauri watu humu jf, jaribu kuapply sasa kwenye maisha yako halisi hasa kwenye ushauri, kauli nzuri na maneno yenye busara (kama ulivyo) kwa watu wake wa karibu mfano mama yake, dada, kaka, mjomba na hata yeye mwenyewe.

Nikwambie kitu, sisi wanaume ni wadhaifu sana kwenu (hamjui tu), pia jaribu kumchunguza vitu gani hapendi kutoka kwako then mshawishi kwa kumwambia tabia yangu fulani nimeacha kwa sababu napenda mtoto wetu awe na maadili na tabia nzuri (obama wetu wa baadae)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lucky Dube Lyrics

"Children In The Streets"


Sitting by the door
One morning
Looking at the children going to school man, then I thought about the ones in the street
Moving up and down
No where to go
No education
No future
Then I thought about their parents man, why do they suffer so much
If they have parents why
(if you really don't want no children why do you have them, why) [x2]

[Chorus:]
We can fight and overcome
We can stop children from the street[x3]

It's a cold winter man, moving bare footed down in the street man
His father is relaxing in the best bar in town asking them to fill his glass man

His mother is kissing on another man
If you really don't want no children, why do you have them
If you can't care for them why...

[Chorus till fade]
You're missed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuwa kikwazo chochote kwake kwa anachofanya. Sana sana ananiambiaga napoteza muda kumwambia kaka ake anayoyafanya maana kaka ake mwenyewe Ana yake yanamshinda. .
Nimempa nafasi Afanye anachoona yeye kwake ni sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anafurahi sana tu kupata taarifa zako kupitia kaka yake (tena usikute kuna muda anakuulizia), hivyo anavyokujibu anakupima tu kuona kama utakata tamaa au utaendelea kuwa na msimamo.

Mwanamke anapokuwa na msimamo, tunapata nguvu kwamba mtoto atalelewa vizuri leo na hata kesho yupo kwenye mikono salama. Tumia approach nzuri kwenye upeo wako mtoto awe vipi, asomee nini, awe na tabia njema on positive way kwamba mtoto anakumiss sana baba yake

Sisi wanaume kuna ambao hasira zinachukua muda mrefu kuisha ila ukiona kuna mabadiliko anayaonyesha japo kidogo kidogo basi ujue hasira zake zinapungua. Hatushindwi kulea mtoto na kwanza tunajivunia sana tuna mtoto tukiwa maskani vidume ndo sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada, pole.

Dada,

1. 'Wanaume' sio tatizo. 'Wanawake' sio tatizo.
Ni kupishana tu fikra na mazingira. Huyo jamaa ana mawazo, fikra na mazingira yake binafsi yanayompelekea kuwa hivyo. Sio 'uanaume'.

2. Baba zetu wangetukimbia sijui tungekuwa wapi. Wengine tungeishi mazingira magumu. Wengine tungeishi vizuri. Its undeterministic.

3. Wanaotelekeza watoto hawafanyi hivyo kwa kukomoa bali kwa sababu kama woga, tamaa, umaskini na wasiwasi.

4. There is absolutely no such thing as KARMA. Its just easier to live with that idea. The only Bitch on the block is LIFE (as in, the world).

6. Shit happens. It just does.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WANAWAKE WANA MATATIZO SANA

wakati nakuwa nilikuta wazazi wangu wametangana
Nikapata malezi ya upande mmoja ambayo ni ya mama
Kwa kiasi flani mama alijaribu kunijengea chuki dhidi ya baba.........
Na kweli alifanikiwa nilimchukia sana baba
Nikajiapiza katika maisha yangu sitakuja kuruhusu mwanangu apitie maisha niliyopitia........
Mwaka jana mwezi wa nne nilifanikiwa kumpatia ujauzito mwanamke ambaye nimedumu nae katika mahusiano kwa zaidi ya miaka mitano na niliamini ange kuwa mke wangu siku moja
Mkasa ukaanza wakati wa huo ujauzito nimetukanwa matusi ambayo sikuwahi kutukanwa kabla na sitakuja kutukanwa tena
Wazee wakaniambia yamkini mimba yake imekuchukia ishi nae kwa umakini sana............
To shorten story jana kanizalia mtoto wa kiume lakin sina hamu ya kumuona huyo mtoto sina mapenz nae amenitoka moyoni kutokana na maneno machafu ya mama yake
Nilipopata taarifa kajifungua nikamtext kumpa hongera lakin jibu nililopewa lilifanya niamini kile nilichokuwa nakiamini enzi akiwa mjamzito
NB; Nilijitahid kumsupport financially licha sikuwa nikiishi nae
Ila wanawake sisi kwa midomo mmmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto sita jamani? Haoni aibu? Kuna mtu aliniambia hata iweje haitatokea baba akawapenda watoto kama mama anavyowapenda ndio maana ni rahisi wao kukataa watoto na hawajali kabisa. Hata ujilize ugaregare kama kageuka kageuka.
Mimi baba mtoto wangu mkorofi ila nashukuru siku hizi hicho hicho kidogo tunagawana japo nahisi huwa ananiletea hizo story zake sababu namnyima game kwahiyo anafanya kama kunikomoa na mimi nishamwambia afanye anachotaka wala asidhani ntampa game ili atunze mwanae haipo. Nitampa kwa ashki zangu na si zaidi ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani akikuoa? Kama hajakuoa huyo mtoto ni wa kwako achana na huyo sperm donor. Kama una shida na pesa ya matunzo nicheki PM tehe tehe tehe.

Shida yenu wadada muna penda sana bad boy ndiyo maana yanawakuta mambo. Husikubali kuvua chupi yako kabla ya ndoa.
 
Watoto sita jamani? Haoni aibu? Kuna mtu aliniambia hata iweje haitatokea baba akawapenda watoto kama mama anavyowapenda ndio maana ni rahisi wao kukataa watoto na hawajali kabisa. Hata ujilize ugaregare kama kageuka kageuka.
Mimi baba mtoto wangu mkorofi ila nashukuru siku hizi hicho hicho kidogo tunagawana japo nahisi huwa ananiletea hizo story zake sababu namnyima game kwahiyo anafanya kama kunikomoa na mimi nishamwambia afanye anachotaka wala asidhani ntampa game ili atunze mwanae haipo. Nitampa kwa ashki zangu na si zaidi ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sita na kuna pacha humo humo eti limekimbia cha kumkimbia sasa hamna maana sista mpole kama nini....ila wanaume ngoja niishie hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nawalaumu wanawake katika hilo tu, they are in control of their bodies, wanajua lini wapo safe, lini wanaweza kujiachia, wanaweza kuamua huyu nimpe coz anafaa, huyu hanifai hivyo he won't test my bits.

Ninachoshindwa kuelewa, kwa nini(pamoja na kuwa na full control ya miili yao), kwa nini mtu anabeba mimba ya mtu asiyeonyesha kuwa nae, kwa nini wanategesha mimba? Hiyo weakness kwa dada zetu inawatafuna, wanapata mzigo wa kulea watoto peke yao...so sad!...

Lakini pamoja na hayo, mwanaume kumuachia mwenzako majukumu ya malezi no dhambi kubwa!!
Umeongea point mwanangu ningekuwa karibu ninge kupa tano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnakariri tatizo. Kwanza mtu kama mimi salon siendi na sinaga kumpiga mtu hela kumkomoa hata nikidate mtu Ana mihela kama hajanipa basi sio kumpa invoice za kumkomesha.
Baby daddy wangu ni jipu. Kwao wenyewe wamenyanyua mikono hamna anaemuuliza chochote. Kaka ake aliniambiaga Yule S chizi yule mama mwenyewe anamgwaya achana nae . Nikasema basi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda kuna hatua uliruka kabla ya kumjua huyo kijana, hata hukujua kwamba wazazi wake hawasikilizi. Sasa kama mtu hamsikilizi mama yake, wewe atakusikiliza...

.. uliruka hatua katika mahusiano yako, well life must go on...
 
Watoto sita jamani? Haoni aibu? Kuna mtu aliniambia hata iweje haitatokea baba akawapenda watoto kama mama anavyowapenda ndio maana ni rahisi wao kukataa watoto na hawajali kabisa. Hata ujilize ugaregare kama kageuka kageuka.
Mimi baba mtoto wangu mkorofi ila nashukuru siku hizi hicho hicho kidogo tunagawana japo nahisi huwa ananiletea hizo story zake sababu namnyima game kwahiyo anafanya kama kunikomoa na mimi nishamwambia afanye anachotaka wala asidhani ntampa game ili atunze mwanae haipo. Nitampa kwa ashki zangu na si zaidi ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

My dear, kaza hivyo hivyo, kama hakuna mtu alikusaidia kubeba mimba ya mwanao miezi 9; basi jua una uwezo wa kumlea mwanao hata kama baba atagoma. Mungu atakusustain tu

Nilichokuja kugundua baadhi ya baby daddies wanataka waendelee kuwatumia kingono in the name of kukupa hela ya matunzo ya mtoto, and it perfectly works kwa wanawake wasiojua their worth na kuendekeza dhiki. Ni wachache watakaowatunza watoto wao kwa moyo mmoja ilhali wana "bad intentions" zao ambazo wanaona hazitimii. Mwingine akiona tu umepata boyfriend, anaanza usumbufu wa matunzo, sijui wanatakaga muendelee kuwa single tu while wao wamemove on na familia zao.

Stay strong, it's just a matter of time..... Tena hata akiuchuna usisononeke moyoni, its not good. Kila ukipitia changamoto ya matunzo, em kumbuka ni watu wangapi wanastruggle kupata watoto, Ila wewe Mungu amekupa kiurahisi tu. Unamwambia Mungu ahsante kwa zawadi hii, nguvu za kufight zinakuja. I understand hata wale wanao-assume kuwa baba mtoto amefariki, inakupa moyo unaanza kumlea mwanao ukijua huna msaada, wewe ndo baba na ndiyo mama ake. Maisha yanaendelea vizuri tu.
 
Let say sikua smart mimba ikaingia, bado nitakua nastahili kulea mtoto peke yangu sababu sikua smart kuzuia mimba?
Halafu sio kila mimba inaingia mtu akiwa anajua leo inaingia au leo lazima nimbebee mimba huyu. Nyingine zinaingiaga bahati mbaya hata ukijitahidi vipi kuizuia. Mimi yangu nilihakikisha mwanaume amevaa kinga sababu hatukua serious kiasi cha kusema niwe comfortable nae kumuachia tu bila kinga lakini at the end of the day nilijikuta mjamzito, sasa kwa kuwa nilimuona hatuna future ningeenda kuitoa ile mimba?
Unajua hata mama awe tajiri kama Folorunsho na baba awe kama matonya lakini ile hali ya baba kumnunulia mtoto hata pipi tu huwa inafariji. Kweli kipato changu sio kikubwa kusema kinanitosha kuishi na kusave lakini bado haikua sababu ya mimi kutoa kiumbe kilichoingia sababu sijajipanga ungekua ni ubinafsi.

Kumbe mtu aweza tumia kinga na akapata mimba?
Basi huenda jamaa deep inside of him huenda anazani labda huyo mtoto si wake!

Kidogo kama ina ukakasi flani na tashwishwi kubwa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom