Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 750
- 1,327
Katika mazingira kama haya unampendaje mtoto wako?
Rashid ni rafik yangu aliyenipa taarifa za kujifungua kwake
Wanawake hasa wenye ajira wana matatizo sana
Inavyoonyesha ulimtesa sana huyo mwanaume just imagine unafikia wakati kumweleza mtoto kuwa baba yake alikufa! Jirekebishe
Na sisi wadada tusigawe uchi kwa kutegemea kuolewa ama jifunze kujua siku upo mwezini,ni sayansi ndogo ukishindwa tumia Kondom,zipo za kike na za kiume!
Huyu mtoa mada ni wale wale. Siamini mwanaume anaweza kuitelekeza sperm yake bila maudhi Na kashfa SA wewe si saizi yangu. Una kibamia ambacho hakiwezi kunizalisha etc. Sasa kaishasahau na mashambulizi kwa wingi Mzigua90
WANAWAKE WANA MATATIZO SANA
wakati nakuwa nilikuta wazazi wangu wametangana
Nikapata malezi ya upande mmoja ambayo ni ya mama
Kwa kiasi flani mama alijaribu kunijengea chuki dhidi ya baba.........
Na kweli alifanikiwa nilimchukia sana baba
Nikajiapiza katika maisha yangu sitakuja kuruhusu mwanangu apitie maisha niliyopitia........
Mwaka jana mwezi wa nne nilifanikiwa kumpatia ujauzito mwanamke ambaye nimedumu nae katika mahusiano kwa zaidi ya miaka mitano na niliamini ange kuwa mke wangu siku moja
Mkasa ukaanza wakati wa huo ujauzito nimetukanwa matusi ambayo sikuwahi kutukanwa kabla na sitakuja kutukanwa tena
Wazee wakaniambia yamkini mimba yake imekuchukia ishi nae kwa umakini sana............
To shorten story jana kanizalia mtoto wa kiume lakin sina hamu ya kumuona huyo mtoto sina mapenz nae amenitoka moyoni kutokana na maneno machafu ya mama yake
Nilipopata taarifa kajifungua nikamtext kumpa hongera lakin jibu nililopewa lilifanya niamini kile nilichokuwa nakiamini enzi akiwa mjamzito
NB; Nilijitahid kumsupport financially licha sikuwa nikiishi nae
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana.
Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa. Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani? Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.
Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?
KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.
Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.
Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa marekani/dunia.
Kaboom katika ubora wako. Umesema vizuri sana.Makosa yanaweza kuwa ya mwanamke,mwanaume au wote wawili lakini athari kubwa inakuja kwa mwanamke na mtoto..So wadada muwe makini..Sio kila mlowekaji ni mfuaji..Wengine wanaloweka tu na kuendelea na shughuli zao..
nimekupenda bure. ila badilisha avatar.Mimi sio tu mstaarabu mkuu, huwa sipendi kusumbuana na watu. Ndio maana natafuta sehemu kama huku nakuja kutoa machungu yangu. Huwa namaliza hasira zangu zaidi kwa kulia. Sipendi vurugu na watu kabisa yani.
Habari ya sikukuu.. Haupiki pilau Leo??Kaboom katika ubora wako. Umesema vizuri sana.
kwani Magu anaifahamu hii sikukuu? napika pilau kwenye sikukuu zinazofahamika na Magu only.Habari ya sikukuu.. Haupiki pilau Leo??
hahahah mzigua unanikata stimWote tulikua na tamaa mkuu. Na ndio wote tutumikie matunda ya tamaa zetu sasa
Anaitambua ndo mana watumishi wake hawajaenda makazini..Haya kanunue Mchele fastakwani Magu anaifahamu hii sikukuu? napika pilau kwenye sikukuu zinazofahamika na Magu only.
ohoooo ngoja niende faster, waja saa ngapi ili nifanye faster faster.Anaitambua ndo mana watumishi wake hawajaenda makazini..Haya kanunue Mchele fasta
That's it, that's it BrotherMimi nawalaumu wanawake katika hilo tu, they are in control of their bodies, wanajua lini wapo safe, lini wanaweza kujiachia, wanaweza kuamua huyu nimpe coz anafaa, huyu hanifai hivyo he won't test my bits.
Ninachoshindwa kuelewa, kwa nini(pamoja na kuwa na full control ya miili yao), kwa nini mtu anabeba mimba ya mtu asiyeonyesha kuwa nae, kwa nini wanategesha mimba? Hiyo weakness kwa dada zetu inawatafuna, wanapata mzigo wa kulea watoto peke yao...so sad!...
Lakini pamoja na hayo, mwanaume kumuachia mwenzako majukumu ya malezi no dhambi kubwa!!