Wana Jf salaam
Nikipita pita kwenye mitandao naona wanaume wengi tunajifariji tukisema mwanaume anakubalika zaidi na wadada akiwa na miaka 30 kwenda juu, ila that's not a case, hata wanaume mvuto wetu huanza kupungua sana tukifika miaka 30+
Mwanaume utakua na soko kwenye miaka 30's kwenda mbele kama una hela nyingi, au kimuonekamo bado uko in good shape, otherwise wanaume wengi kwenye hio miaka upara ushaanza, vitambi vishachomoza, uso ushaanza kukomaa
Kiuhalisia soko la mwanaume linakua kubwa pale mwanaume anapoanza kubalehe kuelekea miaka 18 hadi 24, hicho ndo kipindi kizuri cha kutafta mke, zaidi ya hapo ni uwe na hela, otherwise ni ngumu kupata mwanamke atakaekupenda bure bure
Wenye akili wamenielewa.
Nikipita pita kwenye mitandao naona wanaume wengi tunajifariji tukisema mwanaume anakubalika zaidi na wadada akiwa na miaka 30 kwenda juu, ila that's not a case, hata wanaume mvuto wetu huanza kupungua sana tukifika miaka 30+
Mwanaume utakua na soko kwenye miaka 30's kwenda mbele kama una hela nyingi, au kimuonekamo bado uko in good shape, otherwise wanaume wengi kwenye hio miaka upara ushaanza, vitambi vishachomoza, uso ushaanza kukomaa
Kiuhalisia soko la mwanaume linakua kubwa pale mwanaume anapoanza kubalehe kuelekea miaka 18 hadi 24, hicho ndo kipindi kizuri cha kutafta mke, zaidi ya hapo ni uwe na hela, otherwise ni ngumu kupata mwanamke atakaekupenda bure bure
Wenye akili wamenielewa.