kwakuwa wewe Michelle ni mwanamke,
najua umeniuliza hili swali kwa mitego tu!
Anyway, si wanaume wote ni wavumilivu,
pindi wanapozungushwa once wakimtongoza mwanamke,
kwahiyo kama itatokea mwanamke akaonyesha tabia ya sitaki nataka kwa sana,
anaweza kumkosa yule mwanaume ambae si mvumilivu wa kusubiri!
ndipo hapo nasema signs nyingine are not realistic,
mwanamke anakuzungusha sana ili aonekane machoni kwako sio mrahisi kiivyo,
kumbe na yeye amependezwa nawe,
anakuja kusema YES, wakati kidume umeshachukua maamuzi mengine!!!!!!(kwa wale wasio na uvumilivu)