Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 42
Acheni uzinzi. Subiri muolewe ndipo mmegwe. Mnahangaikia nini? Mwanaume hana akitafutacho zaidi ya *kukutusua* na akigundua *uchi* wako ni wa kawaida kama wengine anajiona mjinga alivyokuwa anahangaika kabla ya kukupata na anakudharau wewe uliyekuwa unamzungusha. Kama utapenda kuendelea kugawa uloda kabla ya ndoa, basi mtu akikuomba usimzungushe, mpe mara moja.
Hayo maneno kwenye nyota si mchezo!
Mapenzi mengi hua hayana uhalisia....hiyo ni moja wapo yakuoneshana ubabe na kutokua na upendo wa dhati.
Hivyo hakuna haja ya kulalamika.
Mapenzi ya kiafrika bana....vioja ni vingi kweli.
Kumbe unagawa ili ugande hapo?
Mgande alie-broken.