afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Ukweli ndo huo michelle,
na ni vizuri uupokee kama ulivyo,
ninapokuwa nina mke, kisha nikawa natafuta infi,
sio kwamba nimempenda sana huyo infi kuliko wife,
la hasha, ni katika kuwakilisha uanaume wetu,
na kama nikiendelea na huyo infi katika mahusiano,
basi, either mchezo wake anajua kuucheza vizuri, otherwise nitaondoka kwa spidi kali baada ya kukidhi haja yangu!
wanawake wanoelewa hii falsafa wala huwa hawasumbuki kabisa,
cha msingi atakuwa anatafuta namna ya kuucheza mchezo katika fair play,
ili akuonyeshe kuwa mambo ipo kwake tu!!!!!!!!!!
Pole Michelle!!!!!!!!
mmmhh mama mia Bacha duuuuuuhhhhh
naona umeamua kufumua haswa..