Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Nani atanipa profile yako....maana Lady doctor kajitolea kukusimulia kuhusu mie....
Huyo huyo Lady doctor atakupatia
Last edited by a moderator:
Nani atanipa profile yako....maana Lady doctor kajitolea kukusimulia kuhusu mie....
Malkia wangu usione nimekaa kimya, najaribu kuwaza nitumie kimiminika au kitu gani kigumu chenye ncha kali kwa watu kama hao hapo juu.
Heaven on Earth malkia wangu usihofu, amefuta kauli yake kwa siri, hukumuelewa amesema hafuti kaluli, lakini kauli ameshafuta.Ukipenda chongo bana hata kengeza hutaona kabisa
Yaani kwa vile unampenda grafani11 ndo unamtetea hivyo
Sifuti kaluli na wala simuanzishii thread maana namjua huyo jamaa ni kiwembe balaa
Hivi kumgegeda mwanamke ni kumkomesha eenh?
huyo huyo Lady doctor atakupatia
Hivi unaweza kuikomesha ile kitu kwa kuigegeda kweli? Maana kuna jamaa yangu tukiwa A LEVEL Tosa Boys aliwahi kunipa stori:Hivi kumgegeda mwanamke ni kumkomesha eenh?
Mwanamke unamashairi matamu wewe, hebu ongeza na mashairi ya ule wimbo wa Lady Jaydee, Yahaya mamana naona kuna watu humu hawaeleweki wanapoishi lakini kwa mikogo yao wanataka kuninyang'anya wewe. Hahahaaaaaaaa..... hawajui tulianzia wapi na hata tutakapomalizia tunajua wenyewe.kupendwa raha jamani,hasa ukipendwa na grafani11,
muda mwingine kuwa najiuliza mbona hatukujuana mapema!!!!!
Malkia wangu Heaven on Earth ona walivyojishikisha wenyewe, kwanza sisi toka tuwe wote hatujawahi kutumia basi kwenye safari ndefu. Mpango mzima ndege Precision Air au Fastjet kama vipi tunatumia mkoko wetu binafsi.Kwani nimedanganya sasa Heaven on earth we muulize mambo yake akupe siri yake akiwapakia kwenye Dar Express wanajaa na kubaki reserve wengi tuu
Lady doctor aliolewa na huyu mtu anaitwa Arushaone, huna habari!!!!!!!Mbona hajaonekana mitaa hii mpaka muda huu....alishaolewa nini?
Kwani nimedanganya sasa Heaven on earth we muulize mambo yake akupe siri yake akiwapakia kwenye Dar Express wanajaa na kubaki reserve wengi tuu
Mwanamke unamashairi matamu wewe, hebu ongeza na mashairi ya ule wimbo wa Lady Jaydee, Yahaya mamana naona kuna watu humu hawaeleweki wanapoishi lakini kwa mikogo yao wanataka kuninyang'anya wewe. Hahahaaaaaaaa..... hawajui tulianzia wapi na hata tutakapomalizia tunajua wenyewe.
wadada mpoooooooo.....