WANAUME: Nimewainulia mikono!!

WANAUME: Nimewainulia mikono!!

Mkuu Vin Diesel habari za masiku bana
Umepotea sana aise nikajua mhusika wa story hapa ni wewe maana uliaga unaenda mtwara
Ila kwa wadada ukituringia sana naingia na gia ya kukuoa mwisho unaishia kama wa dada yetu hapa Heaven on earth mwambie Ngalikihinja huwa unanimiss bana asiweke kinyongo moyoni

Ngalikihinja I miss you,ila mambo ya kuniweka Pending weekend uyaache.......
Mr Rocky itanidi nipunguze kuringa,
 
Last edited by a moderator:
charminglady ana mambo yake naaona siku hizi kaamua kuja na visa vya mtaani kwao na inaekelea mtaa wao una visa balaa
Sasa hiyo gesi mbona hatuioni Vin Diesel au uliiacha njiani

Nimefurahi kurudi na kumkuta charminglady....yupo anagonga like bila kusema chochote juu ya ujio wangu....
Hii inaitwa heka heka ya Amani aka Mr Rocky....gesi haitoki mkuu....
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapo nani wa kumlaumu?Mbona unalaumu upande mmoja tu?Hivi unadhani yule mwanaume wa kwanza aliyeachwa kwa sababu ya umaskini wake ana maumivu kiasi gani?Chanzo cha yote ni huyo msichana kumtosa mchumba wake wa siku nyingi na kukumbilia huyo gudede!Huyo mwanaume wa kwanza aliyeachwa naye atakuwa anasema"Wanawake nimewainulia mikono'' Acheni tamaa mabinti,eboo!
 
Nimeipenda hii.
Vipi hajaenda kwa sangoma kusafisha nyota?

Huko ndo atakoma......anaweza kuambiwa dawa inapakwa kwenye njengo alafu amuingize ndo nyota inasafishika.Hapo tayar ushagongwaaaaaa!!!!!!
 
Mashetani huwa wanakuwa na uhusiano na mashetani wenzao, sasa kama wewe ni binadamu ya nini kudeal na viumbe ambao si Kingdom yako? Na ukiona hawakupi usingizi kwa kuwainulia miguu yote miwili basi tambua na wewe ni mwenzao.

Asanteeee
 
Last edited by a moderator:
Kadalikwa sasa akalale nachooooo-kombolela hilo butua mchezo uishe!!!!!!!

Mwanaume mwingine ukijifanya mgumu hata kwa baba yako anakwenda na mali anatoa,akikuhakikishia hayo tu basi umelamba joker na mchezo umeisha.!!!!

ukiona kaenda hadi kwenu, na kalamba halafu kaacha ujue kapiga hesabu 1+1=11 !!!! atasamehe hata kama katoa mahali... yaani kakuta tofauti na aliyoyategemea..... Mma kibaaao sasa itakuwaje?
 
Afadhali maana tulijua sehem ya pili mpaka mwakani
Ila jamaa wa kimakonde kaachwa solemba inawezekana hata kuonja hakuonja kisa anasubiri siku ya kumuona mrembo wake kakosa mwana na maji ya moto hapo

jamaa wa kimakonde alikuwa anajipakulia bana... Ila Aman alibaniwa ndo maana akatafuta mbinu ya kumkomoa!!!!!!
 
........aaaah!! we nani uliekuja kuniandika huku? au ni yule rafiki yake na Tumaini?
 
Mashetani huwa wanakuwa na uhusiano na mashetani wenzao, sasa kama wewe ni binadamu ya nini kudeal na viumbe ambao si Kingdom yako? Na ukiona hawakupi usingizi kwa kuwainulia miguu yote miwili basi tambua na wewe ni mwenzao.

My king naona umeamua kuingilia kati hapo!!!!!!!
 
Huyo Amani naye hata siyo mchumi ,kutoka ntwara mpaka shinyanga na upotevu wote wa muda kwaajili ya papuchi bila hisia
 
Back
Top Bottom