Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,029
Reaction score
52,507
Wanaume wanapenda ngono, wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo. Nawashauri wanawake tuwe makini sana kama mtu hataki mkapimane achana nae maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?

Inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.

Kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama.

Siku njema wadau sitaki ugomvi tena mimi mtu mzima.
 
wanaume wanapenda ngono
wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo.
nawashauri wanawake tuwe makini sana .kama mtu hataki mkapimane achana nae .maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?
inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.
kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama
siku njema wadau sitaki ugomvi tena mi mtu mzima

You are having sex, don't you?
 
ni wanawake wachache sana wana hamasisha matumizi ya kondomu, na hata ukikataa kutumia huwa hawana shida zaidi ya kuishia kusema "shauri lako"

kubwa huwa wanaogopa mimba na sio UKIMWI kama unavyo sema
 
Ohioan vi Marion vinavyopenda kulelewa kama una ki life hawa hali hata kama wako + watakuja tu katika maisha yako
 
wanaume wanapenda ngono
wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo.
nawashauri wanawake tuwe makini sana .kama mtu hataki mkapimane achana nae .maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?
inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.
kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama
siku njema wadau sitaki ugomvi tena mi mtu mzima
Ila hapo bold kwenye wanaume hawapendi kutumia kinga...ni kweli ila na wanawake hawawezi ku-negotiate safer sex matokeo yake anakwenda kwa mwanaume alafu habebi zana za kazi yaani kila kitu anamwachia mwanamume
 
wanaume wanapenda ngono
wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo.
nawashauri wanawake tuwe makini sana .kama mtu hataki mkapimane achana nae .maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?
inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.
kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama
siku njema wadau sitaki ugomvi tena mi mtu mzima
dah mbona twatiana genye asubuh asbuh lakin kwan wanaume huwa tunafanya mikono yetu nn nawe si unakubaligi
 
wanaume wanapenda ngono
wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo.
nawashauri wanawake tuwe makini sana .kama mtu hataki mkapimane achana nae .maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?
inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.
kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama
siku njema wadau sitaki ugomvi tena mi mtu mzima
Mara papuchi yako hutoi mpaka uolewe... mara shetani akikuingilia unakubali... Hueleweki Miss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom