Jovvan
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 284
- 447
Ndo wako hivyo mzee, hata ukimsalimia saa 8 usiku atakwambia njaa inauma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo wako hivyo mzee, hata ukimsalimia saa 8 usiku atakwambia njaa inauma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Mara ya nne hiyo ndani ya wiki moja
Sina mpango naye. Halafu Mimi ni Kama Chizi Maarifa sipendagi wanawake wenye mentality za hivyoIla mkuu ukijua unachokitaka kwa huyo manzi nadhani haiwezi kusumbua kichwa….. kama chapa ilale weka mazingira ya yeye kupata hela kwa malipo, kuku lazima uitupie mchele mchele kwanza kabla haijaingia bandani unless achana nao.
Ukiona hizi ishu ndogo hivi mnaiwekea mada kisa umeombwa 10k tu ya kula,kausha mahusiano sio lazima kabisa si kuna wale wanaojiuzaHana akili. Ameenda Arusha kutembea anakosa pesa ya kula? Angekaa home aniambie hana pesa ya kula hamna wateja ofisini ngemwelewa.
Bora huyo elfu kumi mimi elfu 5 nikapiga kimyaElfu 10 tu hujibu sms
Kuna wanawake wanapitia changamoto za ajabuBora huyo elfu kumi mimi elfu 5 nikapiga kimya
Kila mtu atafute za kwakeKuna wanawake wanapitia changamoto za ajabu
Ungempa hela ya kula binti wa watu,sioni hoja ya kuja kusema huku. Kutoa ni moyo, acha ubahili chizi.Hili swali najiuliza kila mara sielewi. Nikijitazama nipo fresh tu na wala huwa sipendelei show off au sijui nini.
Nina bahati mbaya na mademu. Binafsi napenda mademu wenye hips na makalio. But napenda pia wawe na akili. Hapo ndo changamoto kubwa sana.
Nlianza urafiki na binti mmoja jumatano dk 7 tu. Akanipa na namba nk. Nlimkuta ofisini kwake. Nikampenda sababu ni mzuri na anajishughulisha.
Juzi nlimsalimia dk chache tu. Na leo asubuhi akani flash (kitu ambacho pia huwa sipendi) but sikutaka kesi.nikampigia akaniambia yupo safarini to Arusha. Tukaongea kidogo na kuamua tuchat.
Hizi ndo msgs zake whatsapp.
View attachment 2441763
Tayari ameanza nitangazia njaa. Kweli mtu utatoka Dar uende Arusha usifikirie kama njiani utakula? Usijipange njaa ikiuma utafanyaje? Hizi ni roho za Kimaskini. Mimi sipendi cheap women wa namna hii. Huyu nlitamani tuwe karibu then nimwongezee hata mtaji au biashara yake ikue but amenivunja moyo sana.
Sasa najiuliza napokuwa natafuta girlfriend nakosea wapi? Kwa nini kila naokutana nao wananitangazia shida? Mi natamani sana kuwe na Upendo. Naombeni ushari wenu please.
Badilikeni bana, pesa ngumu sana siku hiziKaribu wote ndo tupo ivo sa itakuwaje?
Kweli tukielewa tuna aibu kuomba, kuna raha yake upewe hela bila kuomba, ila kuna viumbe mwaka unakata hajiongezi hata hadi unapata makasiriko.Wanaume tunaamini dem anayejielewa na anayekuelewa hawezi kukuomba hela hovyo hovyo
Wanawake wanaamini mwanaume anayejielewa na anayekuelewa ukimwomba hela mda wowote atakupa hawezi kukunyima
Sema twendeni tutafuka tu
Sawa haina shida mkuu,Badilikeni bana, pesa ngumu sana siku hizi