Ukiona mtu ana comment kwenye ishu ndogo ujue ndo anataka kuibukia hapo akidhani itamsaidia.Ukiona hizi ishu ndogo hivi mnaiwekea mada kisa umeombwa 10k tu ya kula,kausha mahusiano sio lazima kabisa si kuna wale wanaojiuza
Safi Sana. Hatupalilii ujingaBora huyo elfu kumi mimi elfu 5 nikapiga kimya
Sasa kati ya huyu binti na mleta uzi nani fala?KOSALAKO KUBWA NI UBAHILI...TAFUTA WA HADHI YAKO
Tutafute pesa tu hakuna namnaSasa awe anajua kuteseka basi, kuna wengine kavuuu sana,…..ila kama hajui chukulia kama unaitoa sadaka anyway mwanaume unatakiwa kuwa na budget ya kuhonga per month.
Safi Sana. Hatupalilii ujinga
Kweli tukielewa tuna aibu kuomba, kuna raha yake upewe hela bila kuomba, ila kuna viumbe mwaka unakata hajiongezi hata hadi unapata makasiriko.
Ukifanya hivyo utapata faida gani?Kijana, Mtumie hiyo hela anayotaka alaf mkaushie kabisa yaani mfute ktk akili, mie ndio nafanya hivyo siku zote. Mpe hela then pita kushoto bila kuomba game hii itamtesa sana.
Sio kila kitu kiwe na faida kwa wakati huo , faida zingine zinakuja baadae. (hutaweza nielewa)Ukifanya hivyo utapata faida gani?
Mwanamke unaombaje elfu 10? Yaani hapo wametumia hiyo sms watu kama 10 hivi, anajua atapata maboya kama 3 wa kumtumiaElfu 10 tu hujibu sms 😂
Yaani huwa siko comfortable kabisa kumuomba mwanaume hela. Toka tukiwa wadogo tumefundishwa kutokula kwa watu na kuombaomba hela. Hiyo nimekuwa nayo mpaka sasa. Usitake hela ambayo hujaifanyia kazi unless otherwise ni professional mdangaji. Hata kama ni mpenzi wako, wote mnaenjoy kufanya mapenzi why uombe ombe. Kuna shida zinatokea kama vile ugonjwa etc hizo ndio za kusaidiana lakini sijui kusuka etc, mwili wako unataka eti mtu aupendezeshe ambaye hata sio mumeo chaa.Yuko safarini anaenda Arusha matembezi
Mwache abaki na njaa yake
HUYU DADA AJENGEWE MNARA DAR ES SALAAM , DODOMA, MWANZA,MBEYA, ARUSHA NA TANGA. NA HILI DARAJA LA TANZANITE LIITWE KWA JINA LAKE KABISA. SIKUJUA KUNA WANAWAKE WA NAMNA HII DUNIA YA SASA.Yaani huwa siko comfortable kabisa kumuomba mwanaume hela. Toka tukiwa wadogo tumefundishwa kutokula kwa watu na kuombaomba hela. Hiyo nimekuwa nayo mpaka sasa. Usitake hela ambayo hujaifanyia kazi unless otherwise ni professional mdangaji. Hata kama ni mpenzi wako, wote mnaenjoy kufanya mapenzi why uombe ombe. Kuna shida zinatokea kama vile ugonjwa etc hizo ndio za kusaidiana lakini sijui kusuka etc, mwili wako unataka eti mtu aupendezeshe ambaye hata sio mumeo chaa.
Wanawake kama nyie wamebaki wachache sana wengine ndo Tamaa za maisha kutaka kuishi kama mastar wa bongo mwisho wa siku wanaishia kudanga na kuwa masingo maza #APPRECIATE TO YOU UNA AKILI SANAYaani huwa siko comfortable kabisa kumuomba mwanaume hela. Toka tukiwa wadogo tumefundishwa kutokula kwa watu na kuombaomba hela. Hiyo nimekuwa nayo mpaka sasa. Usitake hela ambayo hujaifanyia kazi unless otherwise ni professional mdangaji. Hata kama ni mpenzi wako, wote mnaenjoy kufanya mapenzi why uombe ombe. Kuna shida zinatokea kama vile ugonjwa etc hizo ndio za kusaidiana lakini sijui kusuka etc, mwili wako unataka eti mtu aupendezeshe ambaye hata sio mumeo chaa.
Ili nalo mkalitizame