Wanaume na Wanawake mnishauri mi mwenzenu nakosea wapi? Nifanye nini? Mbona nakutana na mabalaa hivi?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,274
23,050
Hili swali najiuliza kila mara sielewi. Nikijitazama nipo fresh tu na wala huwa sipendelei show off au sijui nini.

Nina bahati mbaya na mademu. Binafsi napenda mademu wenye hips na makalio. But napenda pia wawe na akili. Hapo ndo changamoto kubwa sana.

Nlianza urafiki na binti mmoja jumatano dk 7 tu. Akanipa na namba nk. Nlimkuta ofisini kwake. Nikampenda sababu ni mzuri na anajishughulisha.

Juzi nlimsalimia dk chache tu. Na leo asubuhi akani flash (kitu ambacho pia huwa sipendi) but sikutaka kesi.nikampigia akaniambia yupo safarini to Arusha. Tukaongea kidogo na kuamua tuchat.

Hizi ndo msgs zake whatsapp.
Screenshot_2022-12-10-13-06-51-386_com.whatsapp~3.jpg

Tayari ameanza nitangazia njaa. Kweli mtu utatoka Dar uende Arusha usifikirie kama njiani utakula? Usijipange njaa ikiuma utafanyaje? Hizi ni roho za Kimaskini. Mimi sipendi cheap women wa namna hii. Huyu nlitamani tuwe karibu then nimwongezee hata mtaji au biashara yake ikue but amenivunja moyo sana.

Sasa najiuliza napokuwa natafuta girlfriend nakosea wapi? Kwa nini kila naokutana nao wananitangazia shida? Mi natamani sana kuwe na Upendo. Naombeni ushari wenu please.
 
Hili swali najiuliza kila mara sielewi. Nikijitazama nipo fresh tu na wala huwa sipendelei show off au sijui nini.

Nina bahati mbaya na mademu. Binafsi napenda mademu wenye hips na makalio. But napenda pia wawe na akili. Hapo ndo changamoto kubwa sana.

Nlianza urafiki na binti mmoja jumatano dk 7 tu. Akanipa na namba nk. Nlimkuta ofisini kwake. Nikampenda sababu ni mzuri na anajishughulisha.

Juzi nlimsalimia dk chache tu. Na leo asubuhi akani flash (kitu ambacho pia huwa sipendi) but sikutaka kesi.nikampigia akaniambia yupo safarini to Arusha. Tukaongea kidogo na kuamua tuchat.

Hizi ndo msgs zake whatsapp.
View attachment 2441763
Tayari ameanza nitangazia njaa. Kweli mtu utatoka Dar uende Arusha usifikirie kama njiani utakula? Usijipange njaa ikiuma utafanyaje? Hizi ni roho za Kimaskini. Mimi sipendi cheap women wa namna hii. Huyu nlitamani tuwe karibu then nimwongezee hata mtaji au biashara yake ikue but amenivunja moyo sana.

Sasa najiuliza napokuwa natafuta girlfriend nakosea wapi? Kwa nini kila naokutana nao wananitangazia shida? Mi natamani sana kuwe na Upendo. Naombeni ushari wenu please.
"Nimeachwa sitaki tena maswali, naenda beach kula upepo wa bahari"
Jimbo lipo wazi sema nitakubali😂
 
Hili swali najiuliza kila mara sielewi. Nikijitazama nipo fresh tu na wala huwa sipendelei show off au sijui nini.

Nina bahati mbaya na mademu. Binafsi napenda mademu wenye hips na makalio. But napenda pia wawe na akili. Hapo ndo changamoto kubwa sana.

Nlianza urafiki na binti mmoja jumatano dk 7 tu. Akanipa na namba nk. Nlimkuta ofisini kwake. Nikampenda sababu ni mzuri na anajishughulisha.

Juzi nlimsalimia dk chache tu. Na leo asubuhi akani flash (kitu ambacho pia huwa sipendi) but sikutaka kesi.nikampigia akaniambia yupo safarini to Arusha. Tukaongea kidogo na kuamua tuchat.

Hizi ndo msgs zake whatsapp.
View attachment 2441763
Tayari ameanza nitangazia njaa. Kweli mtu utatoka Dar uende Arusha usifikirie kama njiani utakula? Usijipange njaa ikiuma utafanyaje? Hizi ni roho za Kimaskini. Mimi sipendi cheap women wa namna hii. Huyu nlitamani tuwe karibu then nimwongezee hata mtaji au biashara yake ikue but amenivunja moyo sana.

Sasa najiuliza napokuwa natafuta girlfriend nakosea wapi? Kwa nini kila naokutana nao wananitangazia shida? Mi natamani sana kuwe na Upendo. Naombeni ushari wenu please.
Kijana, Mtumie hiyo hela anayotaka alaf mkaushie kabisa yaani mfute ktk akili, mie ndio nafanya hivyo siku zote. Mpe hela then pita kushoto bila kuomba game hii itamtesa sana.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom