Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,741
- 17,992
Elfu 10 tu hujibu sms 😂
Kwahiyo ukizalisha unaleaje wakati elfu 10 ya yeye kula huna?Ndio maana vijana siku hizi hatuoi. Tunazalisha tunalea watoto tu. Mwanamke njaa njaa namna hiyo ukisema umuweke ndani hakuna rangi utaacha kuona. Ndio hao ukifulia chap anamrudia bwana ake wa zamani
Ni Mara ya nne hiyo ndani ya wiki mojaElfu 10 tu hujibu sms 😂
Yeah unajipindua kwa ajili ya one night stand tu hapo lakini sio kuoa!Kama Ni mtamu Haina tatiz kabisa
Una assume unalipwa tu huduma
Kuna wakati unatakiwa umsaidie mwanamke kama binadamu wa kawaida pasipo any consideration in returnHili swali najiuliza kila mara sielewi. Nikijitazama nipo fresh tu na wala huwa sipendelei show off au sijui nini.
Nina bahati mbaya na mademu. Binafsi napenda mademu wenye hips na makalio. But napenda pia wawe na akili. Hapo ndo changamoto kubwa sana.
Nlianza urafiki na binti mmoja jumatano dk 7 tu. Akanipa na namba nk. Nlimkuta ofisini kwake. Nikampenda sababu ni mzuri na anajishughulisha.
Juzi nlimsalimia dk chache tu. Na leo asubuhi akani flash (kitu ambacho pia huwa sipendi) but sikutaka kesi.nikampigia akaniambia yupo safarini to Arusha. Tukaongea kidogo na kuamua tuchat.
Hizi ndo msgs zake whatsapp.
View attachment 2441763
Tayari ameanza nitangazia njaa. Kweli mtu utatoka Dar uende Arusha usifikirie kama njiani utakula? Usijipange njaa ikiuma utafanyaje? Hizi ni roho za Kimaskini. Mimi sipendi cheap women wa namna hii. Huyu nlitamani tuwe karibu then nimwongezee hata mtaji au biashara yake ikue but amenivunja moyo sana.
Sasa najiuliza napokuwa natafuta girlfriend nakosea wapi? Kwa nini kila naokutana nao wananitangazia shida? Mi natamani sana kuwe na Upendo. Naombeni ushari wenu please.
Sasa hivyo vitu ni vyake nami mpaka sasa sijazungumzia kama nipo inteeested navyo .Sasa wewe unafikiri hizo hips na matako vipo hapo kwa bahati mbaya. Unadhani hakutumia fedha kutunisha hivyo vitu alafu wewe unataka mserereko. Toa pesa wewe mtoto wa kiume acha kulialia, unadhani humu watakupa mchango ili ukaendeleze uzinzi.
Oooooh....hili nimelipata kwako leo.Punguza vigezo... You cant have it both ways
Mdada mzuri hata akiwa na akili hatumii 😂😂😂 hazina kazi
Daah....hiii ni changamoto. Nlipata mpaka branch manager mmoja bank flani posta. Anataka meetings zetu ziwe Serena Hotel kila wakati. Mara ya kwanza ya pili. Nikamwambia No. Siwezi. Wakati chakula chake mwenyewe anakula Black/Brakepoint. Ila cha offer anataka Serena. Siku hizi amerudi ananilalamikia namkwepa. Namchunia....inaonekana uko na standard flan kwahiyo mwanmke wa ushwahilini anahis wewe una pesa sana wakati wewe ni wa kawaida.
Soln la hilo jambo ni kutafuta mwanamke wa hadhi yako ambae ni smart kuwa makini asiwe slay queen
Mapenzi ya dhati hayapo kwa Mwanamke mwenye dhiki
Hana akili. Ameenda Arusha kutembea anakosa pesa ya kula? Angekaa home aniambie hana pesa ya kula hamna wateja ofisini ngemwelewa.Mwenzako ana njaa hata ka 20k tu si ungemtoa she needs your financial support
Kijana, Mtumie hiyo hela anayotaka alaf mkaushie kabisa yaani mfute ktk akili, mie ndio nafanya hivyo siku zote. Mpe hela then pita kushoto bila kuomba game hii itamtesa sana.