Wanaume na Wanawake mnishauri mi mwenzenu nakosea wapi? Nifanye nini? Mbona nakutana na mabalaa hivi?

Screenshot_20221210-141119.png
 
Ndio maana vijana siku hizi hatuoi. Tunazalisha tunalea watoto tu. Mwanamke njaa njaa namna hiyo ukisema umuweke ndani hakuna rangi utaacha kuona. Ndio hao ukifulia chap anamrudia bwana ake wa zamani
Kwahiyo ukizalisha unaleaje wakati elfu 10 ya yeye kula huna?
 
Hili swali najiuliza kila mara sielewi. Nikijitazama nipo fresh tu na wala huwa sipendelei show off au sijui nini.

Nina bahati mbaya na mademu. Binafsi napenda mademu wenye hips na makalio. But napenda pia wawe na akili. Hapo ndo changamoto kubwa sana.

Nlianza urafiki na binti mmoja jumatano dk 7 tu. Akanipa na namba nk. Nlimkuta ofisini kwake. Nikampenda sababu ni mzuri na anajishughulisha.

Juzi nlimsalimia dk chache tu. Na leo asubuhi akani flash (kitu ambacho pia huwa sipendi) but sikutaka kesi.nikampigia akaniambia yupo safarini to Arusha. Tukaongea kidogo na kuamua tuchat.

Hizi ndo msgs zake whatsapp.
View attachment 2441763
Tayari ameanza nitangazia njaa. Kweli mtu utatoka Dar uende Arusha usifikirie kama njiani utakula? Usijipange njaa ikiuma utafanyaje? Hizi ni roho za Kimaskini. Mimi sipendi cheap women wa namna hii. Huyu nlitamani tuwe karibu then nimwongezee hata mtaji au biashara yake ikue but amenivunja moyo sana.

Sasa najiuliza napokuwa natafuta girlfriend nakosea wapi? Kwa nini kila naokutana nao wananitangazia shida? Mi natamani sana kuwe na Upendo. Naombeni ushari wenu please.
Kuna wakati unatakiwa umsaidie mwanamke kama binadamu wa kawaida pasipo any consideration in return
 
Uchumi umepasua kwenye uwekezaji mpaka mtu mmoja mmoja tusaidiane tu, vizinga vinaimarisha misuli ya kupambana na uchumi wa kati japo
 
inaonekana uko na standard flan kwahiyo mwanmke wa ushwahilini anahis wewe una pesa sana wakati wewe ni wa kawaida.

Soln la hilo jambo ni kutafuta mwanamke wa hadhi yako ambae ni smart kuwa makini asiwe slay queen

Mapenzi ya dhati hayapo kwa Mwanamke mwenye dhiki
 
Sasa wewe unafikiri hizo hips na matako vipo hapo kwa bahati mbaya. Unadhani hakutumia fedha kutunisha hivyo vitu alafu wewe unataka mserereko. Toa pesa wewe mtoto wa kiume acha kulialia, unadhani humu watakupa mchango ili ukaendeleze uzinzi.
Sasa hivyo vitu ni vyake nami mpaka sasa sijazungumzia kama nipo inteeested navyo .
 
inaonekana uko na standard flan kwahiyo mwanmke wa ushwahilini anahis wewe una pesa sana wakati wewe ni wa kawaida.

Soln la hilo jambo ni kutafuta mwanamke wa hadhi yako ambae ni smart kuwa makini asiwe slay queen

Mapenzi ya dhati hayapo kwa Mwanamke mwenye dhiki
Daah....hiii ni changamoto. Nlipata mpaka branch manager mmoja bank flani posta. Anataka meetings zetu ziwe Serena Hotel kila wakati. Mara ya kwanza ya pili. Nikamwambia No. Siwezi. Wakati chakula chake mwenyewe anakula Black/Brakepoint. Ila cha offer anataka Serena. Siku hizi amerudi ananilalamikia namkwepa. Namchunia....
 
Kijana, Mtumie hiyo hela anayotaka alaf mkaushie kabisa yaani mfute ktk akili, mie ndio nafanya hivyo siku zote. Mpe hela then pita kushoto bila kuomba game hii itamtesa sana.

Sasa awe anajua kuteseka basi, kuna wengine kavuuu sana,…..ila kama hajui chukulia kama unaitoa sadaka anyway mwanaume unatakiwa kuwa na budget ya kuhonga per month.
 
Back
Top Bottom