Wanaume na 'kuchezea maisha'.....

Wanaume na 'kuchezea maisha'.....

alinunua viwanja vingi sana, ila sasa alipofilisika na kwa sababu hakuwa na investment nyingine na hakuwa na hela, pamoja na kutaka kuendeleza life style waliyokuwa wanaishi basi waliuza vyoooteeeee kidogo kidogo mpaka akamaliza. hapo sasa ndo akaridhika kuwa kafilisika


Yaani kuna mtu zamani aliwahi sema kuwa kuna aina ya watu
ukiwapa mabilioni na 'kuwa unawachapa viboko kila siku' ukiwakumbusha wasifilisike
haiwezekani still....watafilisika tu mwishowe
 
ha haaaa, ila tuelewane kwanza kuwa uchumi siyo ubahili..... lol! sasa tuendelee
bora awe anakunywa bia peke yake, nyumba ndogo za kumwaga na kutafuta sifa kwa watu bila sababu.....
huwa nawatimuaga mpaka wameshajua, wakija kwangu wakitaka kupata msaada basi wana-foji jambo la dharura, maana najua hilo hawakuwa na control.......
siku hizi nawaambiaga wanatakiwa kuhifadhi angalau 5% ya mshahara kwa ajili ya dharura.....
unajua sasa jina walilonipa? MANGI

Nikopeshe one M pliz, kuna dharula ya mchango wa harusi na birthday ya mshkaji wangu. Si unajua tena maandalizi
na mchango ni muhimu!
 
But all in all......
maisha ya watu wengi sana yakiharibika huwa tunaonewa sana wamama......
kuna kipindi pia huwa naingiaga huu mkenge, kuwa sisi ndo tunapaswa kushika control ya maisha ya familia zetu.
familia nyingi ambazo mama ana vision ya maendeleo huwa inafika mbali sana..... hata kama huyo mama hana kipato kikubwa.
Kuna watu wengi sana wa karibu nami ambao walikuwa na kipato kikubwa sana lakini wameishia kuwa na maisha mabaya sana sababu wake zao walikuwa hawaangalii sana future ya familia, wao ni kuvaa, kula, kunywa........ ananunua vitu vingine havina hata maana, sababu tu mume ana hela......
lakini pia kuna familia ambazo unaona kabisa hawana uwezo kiviiileeee, lakini mama kila siku anafanya juu chini angalau tu future ya familia iwe nzuri.
Naelewa kabisa kuna wababa ambao hawashauriki, hasa na wake zao. lakini mke ana uwezo wa kujua kabisa kuwa mume anapenda sana kusikiliza ushauri wa nani, anaweza kumtumia huyo mtu.
Kuna familia ambayo tunaichukulia kama wazazi wetu. ni watu wazima saana, wastaafu. lakini huyo mume anatusikiliza sana, kila tunachomshauri. Mke wake akitaka kufanya kitu chochote ambacho anajua mumewe ana uwezo nacho huwa anatuomba sisi tumshauri, ni kweli tukiongea naye tu anatoa hela faster, hata kama mkewe alishambishia saaana.
Huwa najifunza mambo mengi sana kwa kuwa karibu sana na watu wazima, haya maisha siyo kama tunavyoyaona kwa nje, kuna mengi yaliyojificha ndani ya nyumba.
usikute mzee wa watu (huyu tunayemjadili) hakuwa na starehe kihiiivyooooo, je alikuwa na mke mshauri?
 
Yaani kuna mtu zamani aliwahi sema kuwa kuna aina ya watu
ukiwapa mabilioni na 'kuwa unawachapa viboko kila siku' ukiwakumbusha wasifilisike
haiwezekani still....watafilisika tu mwishowe
Ni kweli kabisa.... kuna watu wapo hivyo
na hao wala hawajisikii vibaya wakifilisika kusingizia wenzao
 
Kwani tukisema bangi mbaya watu hawaamini,hawa ni baadhi ya vijana wa zamani waliokuwa wanatumia hii kitu,na maisha ya usela,mbona bichuka amejenga na maisha yapo poia na walikuwa wote kwenye stage?
 
Hahaha...
Kuna fursa nyingi mno za kutukomboa kiuchumi huwa tunazipuuzia pengine kwa kutokuwa na uelewa au udumavu wa akili au kutothubutu.
Mathalani Tanzania imejaaliwa ardhi yenye rutuba na yenye kustawisha mazao chungu tele...huu ni mfano mdogo mno wa fursa ambayo sisi Wabongo tunaipuuzia...ni Watanzania wachache mno wenye uelewa au ufahamu wa kilimo chenye tija.

Hivi siku moja tukipata rais ambae ataroa tamko kuwa baada ya mwaka mmoja kijana yoyote asie na kazi anatakiwa either amepata cha kufanya au kama hana aondoke mjini na kwenda kwenye mashamba na kujikusanya vijana angalau wa 5 na serikali iatawapa eneo na penbejeo kwaajili ya kilimo na itawapa mahitaji yote muhimu kwaajili ya chakula na kilimo kwa muda wote watakaokuwa mashambani

Halafu ikaweka sheria kali ya kwenda mijini hovyo na ni marufuku kuonekana kijana anazurula hovyo bila kazi na baadhi wakakkamatwa na sheria ikachgukua mkondo wake unadhani kutakuwa na asie na kazi?

Unadhani kutakuwa na njaa?

Thubutuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!
 
[QYAANI FIXED POINY UMEONGEA POINT,SIJUI NIKUPE ZAWADI,HEBU CHAGUA ZAWADIUOTE=Fixed Point;7288571]But all in all......
maisha ya watu wengi sana yakiharibika huwa tunaonewa sana wamama......
kuna kipindi pia huwa naingiaga huu mkenge, kuwa sisi ndo tunapaswa kushika control ya maisha ya familia zetu.
familia nyingi ambazo mama ana vision ya maendeleo huwa inafika mbali sana..... hata kama huyo mama hana kipato kikubwa.
Kuna watu wengi sana wa karibu nami ambao walikuwa na kipato kikubwa sana lakini wameishia kuwa na maisha mabaya sana sababu wake zao walikuwa hawaangalii sana future ya familia, wao ni kuvaa, kula, kunywa........ ananunua vitu vingine havina hata maana, sababu tu mume ana hela......
lakini pia kuna familia ambazo unaona kabisa hawana uwezo kiviiileeee, lakini mama kila siku anafanya juu chini angalau tu future ya familia iwe nzuri.
Naelewa kabisa kuna wababa ambao hawashauriki, hasa na wake zao. lakini mke ana uwezo wa kujua kabisa kuwa mume anapenda sana kusikiliza ushauri wa nani, anaweza kumtumia huyo mtu.
Kuna familia ambayo tunaichukulia kama wazazi wetu. ni watu wazima saana, wastaafu. lakini huyo mume anatusikiliza sana, kila tunachomshauri. Mke wake akitaka kufanya kitu chochote ambacho anajua mumewe ana uwezo nacho huwa anatuomba sisi tumshauri, ni kweli tukiongea naye tu anatoa hela faster, hata kama mkewe alishambishia saaana.
Huwa najifunza mambo mengi sana kwa kuwa karibu sana na watu wazima, haya maisha siyo kama tunavyoyaona kwa nje, kuna mengi yaliyojificha ndani ya nyumba.
usikute mzee wa watu (huyu tunayemjadili) hakuwa na starehe kihiiivyooooo, je alikuwa na mke mshauri?[/QUOTE]
 
Hivi siku moja tukipata rais ambae ataroa tamko kuwa baada ya mwaka mmoja kijana yoyote asie na kazi anatakiwa either amepata cha kufanya au kama hana aondoke mjini na kwenda kwenye mashamba na kujikusanya vijana angalau wa 5 na serikali iatawapa eneo na penbejeo kwaajili ya kilimo na itawapa mahitaji yote muhimu kwaajili ya chakula na kilimo kwa muda wote watakaokuwa mashambani

Halafu ikaweka sheria kali ya kwenda mijini hovyo na ni marufuku kuonekana kijana anazurula hovyo bila kazi na baadhi wakakkamatwa na sheria ikachgukua mkondo wake unadhani kutakuwa na asie na kazi?

Unadhani kutakuwa na njaa?

Thubutuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!


Haitakiwi kuwa ni amri
kina Bill Gates wanashindana kufungua makampuni ya Technolijia simply sababu wana
'maarifa'
vijana wapewe tu maarifa yatawatoa..
Kijana ana kariri nyimbo 100 za bongofleva
lakini hajui hata aina za maharage,yapi ukipanda kwa kumwagilia yanaota haraka
mavuno kwa eka moja yakoje?nchi zipi zinahitaji maharahe sana e.t.c..
 
Pole sana kila mtu ana woga na 'future'
me included but kuwa na woga ni first step
as long as unaogopa itakusaidia...sanaa

pesa ndo hizi hizi tu
unapandisha nyumba kozi tatu zingine una spend
ukirudi unaongeza kozi nne na una spend kidogo

Jirani yangu aliwahi kunishauri nilipokuwa mdogo kuwa "KULA TANO WEKA TANO"
 
Labda cha kujifunza hapa kwa huyu manju wa muziki ambae anasema amepigika ni na sisi wengine kujipanga na kujiweka sawa ili tusijelalamika kama yeye. Tutafakari na kujifunza kupitia kwake
 
Kwangu mimi hii itakuwa the best thread i have ever read,na si kwasababu inaongelea maisha ya wazee wetu bali kwa jinsi ilivyojaa umakini.
Back to the topic:
Ukiangalia kuna wazee wengi ambao mpaka leo nashindwa kuelewa kwamba nini kilitokea katka maisha yao mpaka mwisho wa siku wanaishia kuadhilika kwa kiasi kibaya,
Kuna wazee wengi ambao nisingependa kutaja majina yao wamekuwa wakiongelewa mara kwa mara kwamba wanahitaji misaada wakati ukiangalia ni watu ambao wamewahi kuwa na majina makubwa hapa nchini na kutambulika hata nje ya mipaka,lakini kwa kukosa umakini wanaishia kudhalilika
 
Kwangu mimi hii itakuwa the best thread i have ever read,na si kwasababu inaongelea maisha ya wazee wetu bali kwa jinsi ilivyojaa umakini.
Back to the topic:
Ukiangalia kuna wazee wengi ambao mpaka leo nashindwa kuelewa kwamba nini kilitokea katka maisha yao mpaka mwisho wa siku wanaishia kuadhilika kwa kiasi kibaya,
Kuna wazee wengi ambao nisingependa kutaja majina yao wamekuwa wakiongelewa mara kwa mara kwamba wanahitaji misaada wakati ukiangalia ni watu ambao wamewahi kuwa na majina makubwa hapa nchini na kutambulika hata nje ya mipaka,lakini kwa kukosa umakini wanaishia kudhalilika


Usiogope kutaja majina yao
ndo tunatakiwa tujue historia zao tujifunze tusirudie makosa
 
sio wanaume tu,hata wanawake, tofauti wanawake wengi huolewa na ma-crush wao wenye mali kidogo.
 
ni kwelli Mkuu lakini cjapata data kwamba anahitaji msaada?Je kwa kipindi chake chote alikuwa anahitaji gari?kwa sababu gari ni sawa na bakuli so inawezekana alikuwa haoni umuhimu wa kuwa nalo.Inahitaji BIG THINKING Kujipanua kimaisha na kimiradi:cheer2:
 
Kwangu mimi hii itakuwa the best thread i have ever read,na si kwasababu inaongelea maisha ya wazee wetu bali kwa jinsi ilivyojaa umakini.
Back to the topic:
Ukiangalia kuna wazee wengi ambao mpaka leo nashindwa kuelewa kwamba nini kilitokea katka maisha yao mpaka mwisho wa siku wanaishia kuadhilika kwa kiasi kibaya,
Kuna wazee wengi ambao nisingependa kutaja majina yao wamekuwa wakiongelewa mara kwa mara kwamba wanahitaji misaada wakati ukiangalia ni watu ambao wamewahi kuwa na majina makubwa hapa nchini na kutambulika hata nje ya mipaka,lakini kwa kukosa umakini wanaishia kudhalilika
karibu sana....
hizi ndo nyuzi za MMU original.....
tunashukuru The Boss katurudisha enzi za ujana wetu.
Natamani sana kuwasikia Kaunga, AshaDii, BAK, nyumba kubwa wanatusimulia nini kuhusu hili
 
Last edited by a moderator:
kunatatizo la kuona kwamba kesho itafika na nitapata tena bila kujali kwamba umri unasonga, nguvu zinapungua, na wako wengi wanaipigania nafasi uliyonayo usiku na mchana
 
Back
Top Bottom