Ngumu kumeza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 577
- 354
Hamchelewi kubadilisha maamuzi ndio maana tunafanya hivyo.Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Tupo kwa ajili y kumwabudu Mwenyez Mungu ayo mambo mengn y ziadaAnd i love you mahondaw wangu... Even i, whenever we meet lazima to duu.. Hatujawahi kaa na kuchill tuu...
But kiuhalisia hapa duniani tupo kwa mission tatu tuu...
1. Kuzaliwa
2. Mapenzi
3. Kifo.
Kama Mimi eti unique mpaka tuende church ndo nakujuaNi kuomba mungu usikutane na gume gume tu otherwise mhmmhmhmhmhmhmhmh balaa....
Pia Kuna wanaume wanajitambua sana nao kumi kwa mmoja... Kumpata sasa....
Cc Smart911
Hata siku tatu sitaki kusikia kama umeshakubali
Muhimu sana kujua hali ya jimbo mapema ili kujipanga kwa uwekezaji zaidi.
Mapenzi bila kugegedana ni undugu
Kama kweli nakupenda nimejitahidi sana siku Mbili, ila ukiona Wiki imekata jua nakuibia kwa hiyo sikutegemie[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama Mimi eti unique mpaka tuende church ndo nakujua
Mrudie Mungu mkuu utaweza kuyashinda "to God nothing impossible"Kama kweli nakupenda nimejitahidi sana siku Mbili, ila ukiona Wiki imekata jua nakuibia kwa hiyo sikutegemie[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ulichezea bahatiMkuu hata angekuwa mzuri kiasi. Nitongoze leo halafu unipe au useme unakuja home kulala. Ha ha ha nitakuwa namashaka na uanamke wake.
Nakumbuka kuna binti baada ya kupiga verse akaniambie niende room kwako kwasbb roommates wake walikuwa wameenda class. Duh niliogopa ila baadae alihairisha. Nilishukuru
Tatizo hamtabiriki naweza kuvumilia kumbe nafanya kazi ya kuhifadhia asali kwenye mzinga wenye nyuki wakati najua kuwa chakula cha nyuki ni asali kama tumeridhiana sioni sababu ya kutesana eti tuu kwa kuonyesha kuwa Nawez kuvumilia hakunaga hiyo mkuu[emoji15] [emoji15]Mrudie Mungu mkuu utaweza kuyashinda "to God nothing impossible"
Yani mwanaume akikubaliwa tu siku hiyohiyo anataka issue
Ukikubari lazima uliwe hakuna namna kwani umeambiwa ameomba kuaa brother and sister...Yani mwanaume akikubaliwa tu siku hiyohiyo anataka issue
Haya mkuuNtakujibu siku nyingine. Ngoja nilale
Hakuna kusubiri ni pale pale hata kama tuko bafuniAngalau muwe mnasubir zipite siku kadhaa
Rungu lazima isafishwe itapata kutukumbe huna upendo wewe ni msafisha rungu