Usafi ni Tabia ya mtu na siyo jinsia, katika mechi zangu za ugenini nimeshawahi kukutana na msichana mzuri kuliko yeyote ambaye niliwahi kukutana naye, yaani i mean kila idara alinivutia, isipokuwa akiwa necked unataka kupiga game basi ni bora hata ukae ferry kwenye uvundo wa samaki kuliko K yake.
I see bado sielewi hili swala likoje kwa Wanawake na tatizo ni nini!! ila kwa Mwanaume kunuka ni kujitakia na ni tabia mbovu, wapo wanaume ni bora ukalale kwenye zizi la mbuzi utavumilia harufu kuliko kukaa naye dakika kadhaa tu. Deodorant mpaka buku 5 unapata sijajuwa tatizo liko wapi.