Wanaume muwe wasafi basiiii khaaaaa

Wanaume muwe wasafi basiiii khaaaaa

ulikutana na unayefanana naye....badilika kijana uchafu cyo ishu....inavaa nguo hadi inacopy na kupaste harufu ya mwili its too much....

Kipenda roho bana hivi unajua kuna nguo za bahati? Kwani katiba inakataza kuvaa nguo wiki?
 
na ukiivua tu naiweka kwa maji! Ukinunua jeans ukaona unaipenda, kesho yake nenda dukani kanunue kumi kama msukuma. Staki uvundo mie, ntaificha ndo ukome!
Jeans huwa inafuliwa mara moja kwa miezi sita! unafikiri mchezo!
 
hapa hatuongelei mwanaume kunukia bali kuwa msafi, kwamaana ya kuoga regularly, kuvaa nguo safi, kutorudia nguo moja kwa wiki nzima..n.k

Kama ndo hivyo mafundi gereji wangekuwa wanapendeza
 
... Wabongo na binadamu kwa ujumla tunapenda sana kuwapa watu wangine 'labels'. Yaani tunapenda kauli kama "watu wafupi wanahasira", "wanaume wachafu", "wahaya ni malaya" n.k. Huu ni ubinafsi (kujiona wewe ni bora, au kundi lako ni bora) na ni uvivu wa kufikiri na kupembua mambo kwa kina. Juzi nilikuwa nimepanda daladala, nimekaa kwenye siti huku jirani kuna dada kasimama, alikuwa anatema aibu (ananuka sehem ya uzazi). Je ni sahihi kwa mimi kuwahukumu wanawake wote kutokana na tukio lile? Tuache uvivu wa kufikiri.
 
Kipenda roho bana hivi unajua kuna nguo za bahati? Kwani katiba inakataza kuvaa nguo wiki?
Ha aha aha Hili swala la usafi na mavazi itabidi lijadiliwe kwenye katiba mpya!
 
Usafi ni Tabia ya mtu na siyo jinsia, katika mechi zangu za ugenini nimeshawahi kukutana na msichana mzuri kuliko yeyote ambaye niliwahi kukutana naye, yaani i mean kila idara alinivutia, isipokuwa akiwa necked unataka kupiga game basi ni bora hata ukae ferry kwenye uvundo wa samaki kuliko K yake.

I see bado sielewi hili swala likoje kwa Wanawake na tatizo ni nini!! ila kwa Mwanaume kunuka ni kujitakia na ni tabia mbovu, wapo wanaume ni bora ukalale kwenye zizi la mbuzi utavumilia harufu kuliko kukaa naye dakika kadhaa tu. Deodorant mpaka buku 5 unapata sijajuwa tatizo liko wapi.

Hii ndo ilivyo wanawake wazuri K zao lazima ziwe na kasoro kama sio kutoa harufu kali mpaka mbu wanazimia basi kuna bwawa aka bwamba unashangaa mpaka korodani zimezama ndani.
 
Ha aha aha Hili swala la usafi na mavazi itabidi lijadiliwe kwenye katiba mpya!

Hawa wanawake wanaishia kulia lia hapa wkt tume ya katiba inakusanya maoni wapeleke huko maoni yao ili litungiwe sheria mpya.
 
mabo ya gereji ayaache gereji cyo kuyaleta mpaka homu....

Mi kawaida jeans napiga mwezi mzima ndipo nifue maji huwa kama maziwa naogopa isije ikafubaa na kupoteza control ya kutembea
 
Usishangae hapa Dar mijibaba mingi haizingatii usafi wa mwilini. Utakuta mtu kwa siku anachapa demu mbili lakini haogi anajifuta tu shahawa na kwenda kwa mwingine ili aoshwe kwa kinywa (Yes, analazimisha kulambwa koni). Sitaji majina lakini kuna jamaa zangu nawajauwa fika wako hivi na wanajisifia kuwa wanalambwa koni na nyumba ndogo hivyo si lazima waoge. Hapo tu bado harufu ya jasho la mk.undu na kwapa. Yaani sie binadamu tuna mambo.

hahahahh nimeipenda hii...loh wanaume khakhakhaaa
 
We huna nguo au kiatu unacho kipenda? Ndo hivyo mtu inatokea kipenda roho hula nyama mbichi.

hata kama nakipenda hairuhusu kuvaa kikiwa kichafu. Kwani hujawahi kufua nguo ukaianika kwenye feni? There is a baby inside every person, muhimu ni jinsi ya kujicontrol.
 
Jeans huwa inafuliwa mara moja kwa miezi sita! unafikiri mchezo!

hahaha, mnaniudhi nyie! Mtu akiketi, akiamka unatafuta pa kuhemea! Kwani isipopauka kiwanda si kitafungwa! Na ikichanika unapokanyagia uache kuivaa!
 
Mwingine akikatiza jirani yako utadhani mbuzi beberu la kule Vingunguti linakatiza.
 
Mimi nimechukia kwakuwa umegenerolizi kwanini usiseme baadhi ya wanaume??Kuna wana wanaume Wengine ukituoana wewe BADILI TABIA utatamani kila siku niwe na ku hug!!
 
khaaaaaaaaaa
Labda tu nikueleweshe kuhusu Jeans inawezekana huelewi kitu na Jens za wanawake na za wanaume ni tofauti Material yake.

Mfano mimi nina Jeans kama pea 5 tu kwa sababu muda mwingi navaa kama State Man, kwahiyo kwa kuwa leo ni weekend napiga casual wear Tshirt na Jeans.

Sasa kwa utumiaji wa Style is possible mimi Jeans zangu zifuliwe baada ya miezi miwili, maana Jeans si vazi la mvao mmoja na kufuwa bali Jeans inavaliwa mivao kadhaa ndio inafuliwa kama unavyoona suti. hakuna mtu mwenye jeuri ya kuvaa suti mvao mmoja tu na kupeleka Dry Cleaner. Ila swala la kunuka napinga kabisa maduka ya Cosmetics kama SH AMON yapo kwa ajili yetu ili tusinuke.

Tena namshukuru Mungu sabuni ninazotumia mimi ni medicated soap na zina harufu nzuri sana, kwahiyo hata siku nikisahau kujipulizia marashi kwa sababu ya haraka bado sabuni huwa inanukia mwilini mwangu.

Tip kwa Wanaume: Acheni ubishi wa kijinga mimi kuna Dada mmoja kila akiniona huwa ananipenda eti kisa nanukia vizuri, jitahidini kununuwa Pafyumu nzuri mtaamini haya niyasemayo, wanawake hawana tofauti na majini harufu tu peke yake ina maajabu makubwa kwa Mwanamke kuliko mnavyoweza kudhani.
 
Back
Top Bottom