Wanaume muwe wasafi basiiii khaaaaa

Wanaume muwe wasafi basiiii khaaaaa

Matola, hongera kwa kunukia. Ila hapo kwenye kufua jeans wala sikubaliani na wewe. Na uvaaji wa suit na kufua inategemea na hali ya hewa. Siwezi kukuachia uvae suti na majoto ya dsm, unaenda harusi ukumbi wa makuti. Ukivua shati lote mgongoni limelowana, afu niitundike ikauke? Kazi ya hela ni matumizi, tutakata budget ya bia tuwekeze kwenye usafi baba. Binafsi, under very rare circumstances inahalalisha kurudia nguo. Usafi wa ulipokuwa na pengine hali ya hewa rafiki.
 
Last edited by a moderator:
Matola, hongera kwa kunukia. Ila hapo kwenye kufua jeans wala sikubaliani na wewe. Na uvaaji wa suit na kufua inategemea na hali ya hewa. Siwezi kukuachia uvae suti na majoto ya dsm, unaenda harusi ukumbi wa makuti. Ukivua shati lote mgongoni limelowana, afu niitundike ikauke? Kazi ya hela ni matumizi, tutakata budget ya bia tuwekeze kwenye usafi baba. Binafsi, under very rare circumstances inahalalisha kurudia nguo. Usafi wa ulipokuwa na pengine hali ya hewa rafiki.
Ukutaka kunielewa sasa hata niongee vipi hautonielewa. Jeans haivaliwi mvao mmoja PERIOD.
 
hahaha, mnaniudhi nyie! Mtu akiketi, akiamka unatafuta pa kuhemea! Kwani isipopauka kiwanda si kitafungwa! Na ikichanika unapokanyagia uache kuivaa!

Jeans tofauti na flana au shati haitakiwi ifuliwe saaaana unaharibu hata show yake
 
Sasa ukute huyo mwanamke anayenuka...unaweza kuanza kuugua homa! acheni hizo bana usafi ni muhimu kwa wote,

avatar17192_11.gif
avatar17192_11.gif
avatar17192_11.gif

Du hii Avatar sijui Dole gumba au miwani yangu lakini linatakiwa usafi
Kwa msisitizo tu umesisitiza usafi ni kote na hasa migodini lazima kushughulikiwe ila sio MWANAUME kuweka PERFUME, UDI, nk hapo unataka ufuatwe na usimlaumu mtu.
Mwanamme Deodorant inatosha na kuoga asubuhi na usiku, au kama umetoka room ya faragha (Kikao)
 
Hahaha mbona kuna wanawake ambao wasafi juu juu wananukia wakivua utadhani umefungua ndoo ya samaki kutoka feri

Hapa kweli umewakamata wengi, si unaona walivyokaa kimya, Ndoo ya samak sio mchezo. Anyway usaf muhim kwa wote ili kuepuka ubeberu kwenye vikao na wale wa ndoo ya samak kwenye naniii...!!
 
Mkaka hii thread ni special kwa wanaume, wanawake thread zipo nyingi za usafi na mambo mengineyo. Hivyo wewe sit back, relax tuendelee kuongelea usafi kwa wanaume.





Hivi kweli mpaka issue ya usafi mke amuhimize mume? mbona ni kitu ambacho kila mtu anatakiwa ajitambue kwa hili?!! yaani mtu hawezi feel ananuka mpaka mkewe? au aoni anarudia sana nguo mpaka mkewe aone? khaah!! wanawake mbona kazi ipo.

Kuna kaka mmoja tulimpa live ofisini, alikuwa imezidi harufu si mdomo si mwili...kweli siku hizi amebadilika na fukuto limeisha pia hakuweka uadui..kijana handy ila alikuwa anatema vibaya mno.

dada BelindaJacob unataka watu watumie nguvu kubwa kutafuta hizo sredi zinazohimiza mjisafishe vyema wakati hata hapa tunaweza kulitekeleza hilo cuz both men n women wanapitia hii sredi,nimeamua kufanya hivyo kwasababu binadamu tuna tabia ya usahaulifu hivyo ni jukumu letu sote kukumbushana yatupasayo kufanya,MSIJAFISHE NA NYIE WANAWAKE,kwasababu mnatupa wakati mgumu mno wakati wa mchana na jioni kwenye daladala,sijui mkitumika lunch time kwenye guest bubu zetu hamkogi?
 
Last edited by a moderator:
na ukiivua tu naiweka kwa maji! Ukinunua jeans ukaona unaipenda, kesho yake nenda dukani kanunue kumi kama msukuma. Staki uvundo mie, ntaificha ndo ukome!


Mmmh King'asti tuombe radhi bwana au nimwite dada Kongosho?Dada Kongosho n Kaunga njooni Mtutetee kaka zenu tunazodolewa huku.Lakini kama kitu unakipenda si mbaya kuwa navyo vingi
 
dada BelindaJacob unataka watu watumie nguvu kubwa kutafuta hizo sredi zinazohimiza mjisafishe vyema wakati hata hapa tunaweza kulitekeleza hilo cuz both men n women wanapitia hii sredi,nimeamua kufanya hivyo kwasababu binadamu tuna tabia ya usahaulifu hivyo ni jukumu letu sote kukumbushana yatupasayo kufanya,MSIJAFISHE NA NYIE WANAWAKE,kwasababu mnatupa wakati mgumu mno wakati wa mchana na jioni kwenye daladala,sijui mkitumika lunch time kwenye guest bubu zetu hamkogi?

Kaka yangu Kibol umesomeka..ila kila kitu kina wakati wake na mahala pake..
cheki hapa https://www.jamiiforums.com/mahusia...embo-kunuka-kinywa-kwakweli-inasononesha.html
wewe unafanya kazi saa ngapi kama kila mchana na jioni uko kwenye daladala jamani? au na wewe unatoka short time?? muogeeeee huko!!
 
Jeans tofauti na flana au shati haitakiwi ifuliwe saaaana unaharibu hata show yake

Mpwa Fidel80 hii avatar yako huyo jamaa ana tatizo gani? hebu rudisha ile ya zamani bana...
 
Last edited by a moderator:
khaaaaaaaaaaaaa! mie nimepita tu hapa, mmeongea kila kitu!
 
na usirudi casico
 
Last edited by a moderator:
Madame B ,hivi umeelewa nilichoandika au umekurupuka?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom