Wanaume muwe wasafi basiiii khaaaaa

Wanaume muwe wasafi basiiii khaaaaa

Nani amewaambia kuna uhusiano wa kusoma na kujitambua?Haya ndo matatizo ya kuhusisha shule na kujitambua.
Mi nadhani angekua ni mtu ambae hajenda shule ana toa harufu hivyo isingekua ishu hapa,na hii inatokana na ujinga wetu wa kudhani kuwa asiesoma ni less humana,shame on us!

Kujitambua ni hatua muhimu katika maisha ya binadamu na itamsaidia kujua majukumu yake ikiwa ni pamoja na usafi wa mwili wake.
Tuache kuishi kwa mazoea!
 
Aihuuuuu babu weeeee.
Mwanaume utafikiri gari la taka.
Afu ukute ananuka ule uvundo wa chini ya mapumb.u,utatamani utapike.
kijasho + kikwapa + soksi + mdomo= Kutapika tu hapo.

Afu utakuta mwengine ana mke wake,huwa najiuliza anampandaje mkewe kifuani ilhali mwili wake wote umeozaaaa?????
Jirekebisheniiiiiiii

Hasa nyie mabachela uchwara.
Nitakuwa siji ghetto kwako.

Nadhani uzi huu umekuwa ni kama weak area hivi, kila mtu atasema lake.

Labda niwasaidie kitu kimoja, kuna watu wanavikwapa kama vya asili hivi. Na hii haipo kwa wanaume peke yake bali hata wanawake. Unaweza kukuta hata mwanaume afanye nini bado shombo la harufu yake bado litabaki kunuka!!!!! Group hiyo siiongelei maana hao wanahitaji msaada wa kipekee au darasa lao maalumu.

Group la pili ni lile la watu ambao ni wavivu wa kujipenda, yaani hawajali. Group hili ndiyo linatakiwa kupelekewa shutma zote hizi.

Mtu akiamua kubadilika anakuwa msafi kabisa lakini uvivu ndiyo unamponza. Na wengi wanaonasa katika group hili ni wale ambao wanaona hawana la kupiteza, kama ni mke anae an kama GF anae na haoni haja ya kujiremba au kupendeza kwa sababu huyo alienae kashakubaliana na uozo huo!!!!!

Inasikitisha lakini ndiyo ukweli.
 
Unakuta kidume kinanuka kama bata,mdomo mbona hujasema?.hawa wa midomo tena ni hodari wa kunong'oneza wenzao
 
Nani amewaambia kuna uhusiano wa kusoma na kujitambua?Haya ndo matatizo ya kuhusisha shule na kujitambua.
Mi nadhani angekua ni mtu ambae hajenda shule ana toa harufu hivyo isingekua ishu hapa,na hii inatokana na ujinga wetu wa kudhani kuwa asiesoma ni less humana,shame on us!

Kujitambua ni hatua muhimu katika maisha ya binadamu na itamsaidia kujua majukumu yake ikiwa ni pamoja na usafi wa mwili wake.
Tuache kuishi kwa mazoea!


Mjinga mwenyewe na tena ukome, amekuita nani?, au nawe ndo walewale wa kibeberubeberu?
Mfyuuuuuuuuuuuuuu.........!!!!!!!
 
Hahaha mbona kuna wanawake ambao wasafi juu juu wananukia wakivua utadhani umefungua ndoo ya samaki kutoka feri

BADILI TABIA kakosea kidogo,angewachamba wote,yani wanaume kwa wanawake kwasababu hata sisi tunapata tabu sana kwenye daladala hapa mjini ukikuta mwanamke ananuka kwetu pazuri,hata wanawake wajirekebishe na wasafishe vizuri kunako
 
Last edited by a moderator:
yaaani unakuta shati kavaa siku 3 ana anakuja nalo job sasa sijui huwa haonagi haibu na isitoshe una kuta mwingine anaye mke sasa cjui huyo mke wake huwaga anaridhika na hiyo halai jamani ,hebu wanawake tulio kwenye ndoa tuwajali waume zetu kwa kuwahimiza kwa kuwafanyia usafi maana aibu mmmmmmmmm
 
BADILI TABIA kakosea kidogo,angewachamba wote,yani wanaume kwa wanawake kwasababu hata sisi tunapata tabu sana kwenye daladala hapa mjini ukikuta mwanamke ananuka kwetu pazuri,hata wanawake wajirekebishe na wasafishe vizuri kunako

Mkaka hii thread ni special kwa wanaume, wanawake thread zipo nyingi za usafi na mambo mengineyo. Hivyo wewe sit back, relax tuendelee kuongelea usafi kwa wanaume.



yaaani unakuta shati kavaa siku 3 ana anakuja nalo job sasa sijui huwa haonagi haibu na isitoshe una kuta mwingine anaye mke sasa cjui huyo mke wake huwaga anaridhika na hiyo halai jamani ,hebu wanawake tulio kwenye ndoa tuwajali waume zetu kwa kuwahimiza kwa kuwafanyia usafi maana aibu mmmmmmmmm

Hivi kweli mpaka issue ya usafi mke amuhimize mume? mbona ni kitu ambacho kila mtu anatakiwa ajitambue kwa hili?!! yaani mtu hawezi feel ananuka mpaka mkewe? au aoni anarudia sana nguo mpaka mkewe aone? khaah!! wanawake mbona kazi ipo.

Kuna kaka mmoja tulimpa live ofisini, alikuwa imezidi harufu si mdomo si mwili...kweli siku hizi amebadilika na fukuto limeisha pia hakuweka uadui..kijana handy ila alikuwa anatema vibaya mno.
 
Asante BT kwakuwa chachu ya kubadilisha tabia kwenye jamii yetu, lazima tukubali usafi ni afya.

Hata vitabu vya dini vinahimiza swala la usafi kwa mili yetu.

Kweli usafi ni afya

Asante BT
umofia kwenu.....

Nimekaa nalo hili toka mchana......

Kaka zetu vipi jamani? Hata kujipenda kidogo?
Unakuta mwanaume, msomi na masters yake ananuka uvundo? Ananuka kutu? Ananuka kama maharage yaliyochacha?

Hivi hamjinusi?
Au hiyo harufu mnadhani ni perfume?
Mwanaume unavaa shati moja siku tatu?

Imagine mko kwenye kikao, mwanaume kichwani zinachaji anatema pointi ila mweeee harufuuuuuu.....ptuuuuuuuu unatamani kutapika.... Mwili unatema harufu kaliii

Tena wale mliooa msiseme wake zenu hawawaandai, usafi ni hulka ya mtu, kama ni msafi hutosubiri kusafishwa na mkeo.....

Please please jamani.......
Wanaume , Mtu ni afya, jali afya yako,
koga angalau mara mbili kwa siku, nguo hata kama ni kauka nikuvae ifue iwe safi, nyoq makwapa, nyoa mnarani, paka perfume, hata deorodanti zipo za bei nafuu mfano za fa, si lazima upake expensive.....

Jipende na jijali......

Nawatakia usiku mwema....

 
Hao ni wachafu kutoka moyoni!


Duh... me huwa nashangazwa na wanaume waliooa kutokuwa smart... hivi kweli anawezaje kuondoka nyumbani kwake akiwa rafu??? mkewe huwa yuko wapi???
 
Kuna jamaa ana mke amesoma na mrembo lakini socks anazovaa vidole vyote nje lakini safi na anayezifua ni mkewe, basi hata nikikutana na mkewe kapendeza vipi huwa namdharau sana, hata kama mmeo hajipendi unatakiwa kumbadilisha pesa jamaa ipo ila yuko bize sana na pesa ipo.
 
Hahahahahahaha


hahahahahahahah Asprin my hubby naelewa hilo, kuna baadhi ya wanawake wananuka pia, ingawa sikutaka kulizungumzia hilo...........laiti kama sheria za kazi zingelazimisha wanaume waoge loh
 
Last edited by a moderator:
Unataka mwanaume awe msafi na anukie ili iweje? Shoga au bwabwa na wanawake ndio wanao nukia.
 
Hahahahahahahahaha
hapo kwenye gari la taka duuuuuuuuuuuuuu

Aihuuuuu babu weeeee.
Mwanaume utafikiri gari la taka.
Afu ukute ananuka ule uvundo wa chini ya mapumb.u,utatamani utapike.
kijasho + kikwapa + soksi + mdomo= Kutapika tu hapo.

Afu utakuta mwengine ana mke wake,huwa najiuliza anampandaje mkewe kifuani ilhali mwili wake wote umeozaaaa?????
Jirekebisheniiiiiiii

Hasa nyie mabachela uchwara.
Nitakuwa siji ghetto kwako.
 
Hahahahahahahahahah
usafi ni afya

LEO WANAUME TUNAWAPA BEG PARTY.
Tumewachoka na miuvundo yenuuuuuu.
Unavaa shati siku 5, Huijui perfum wewe, huijui deodorant wewe, Huijui body sprash wewe,
Upo upo tuu kama fundi saa aliyepoteza nati.

Afu na miuvundo yako unakuja kunitongoza.....weeeeeeeeeee........!!!!!!!!!!!
Tokomea hukoooooooooo.............,
Mwanaume utafikiri usiku ulilala kwenye banda la Mbuzi.

Unafika ofisini asubuhi unajiuliza, kwani humu ndani ya ofisi leo, Mzee Juma alikodisha ofisi kuja kulaza mbuzi wake usiku?????,
Kumbe walaaa ni lijanaume limekaa pembeni yako lanuka Kibeberu beberu.
Loooohhh..... maskini Mwatilishaaaa.
 
Daaaa usafi ni afyaaa!

Asprin hubby najua wewe hauchit.......
Sikutaka kuunganisha mada na usafi wa wadada maana wanaume wengi husingizia wake zao......wanasahau wao wakiwa wasafi automatikale mke atakufanya uwe msafi zaidi ( kumbuka sijakataa mchango wa mke ktk kumsopusopu mumewe)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom