Ha ha ha ugomvi!!??Sasa unategemea nani atamuoa??? Yaani bikra umtoe alafu sisi tuje kula matapishi??? So sad, wewe oa tu, tena nasema oa...
Binafsi nakushauri muoe haina jinsi Mkuu
Wewe oaaaaaaaaaaaaaa, nasema oaaaaaa haraka sana
Usiumie bhana... unajua ukiumia wewe nami naumia moyoni?Nimeumia aki....
Hivi naachaje kuumia lakini,sio kwa jibu lile.... Tuumie wote tuu kwa kweliUsiumie bhana... unajua ukiumia wewe nami naumia moyoni?
ahahahaa Mkuu Ubarikiwe....ila usinilaani bhanaulaaniwe wewe haiwezekani mtu kakupenda kwa kiasi hicho afu unakuja kusema huku. nakuhakikishia utakuja kumpata mtu ambaye utaomba Mungu akurudishie huyu afu hutapata tena na dunia itakuenjoy. Kumbuka malipo ni hapahapa duniani.
Mimi mwnyewe katika kukua kwangu nilitka kufanya kosa kama hilo nikakaa na kutafakari coz niliomba kwa miaka mingi kupata mwanamke bikra kwa kweli nilimpata. baada ya kukutana naye baadaye nilitaka kumwacha nafsi ilinisuta sana lakini hadi leo naendelea naye nilifunga naye ndoa 7 yrs now. Kumbuka duniani hata uzunguke vipi you will never get a pefect human being. utapata mwenye akili lakini malaya. ni vema upate mjinga lakini anajitambua kukupa huduma zote hadi unakuja kusimulia hapa. Think twice utakuja kujuta sure am telling you. Usimwache huyo mwanamke na kikubwa mpe mapenzi ili asije kujaribu kuonja nje coz atakuja kukudharau kama perfomance yako kitandani ni poor. Kumbuka wakti wote mke wako mtombe hadi akojoe kila wakati unampokutana naye. kama hakojoi ikija ikatokea akapata mtombaji utajuta kuzaliwa na wanawake wakiguswa kidogo sehemu wanazotaka they are very simple to fall into real love.
Kwanza ulifeli somo la mwandikoHabari za jioni hii wana MMU, baada ya shughuli ya siku nzima nimekuja tena kwenu hapa!
Ee bwana ishu ya leo ni huyu binti ambae kwa sasa ni mpenzi/demu wangu, nimekuwa nae kwa miaka kama mi 4 sasa
huyu binti alipoteza usichana wake kwangu na kwa uzuri alionao sikuwahi kuamini kama angekuwa bikra lakini ilikuwa ivo!
Aaah sasa ishu ni kwamba uyu mwanamke ananidekeza kinoma, kila ninachotaka nakipata yaani sisumbuki sumbuki yaani.....kitu ambacho nadoubt uwezo wake wa kufikiri!
Kiukweli sina Mpango wa Kumuoa huyu Mwanamke Maana hajameet Criteria yangu ya kuwa na high au angalau Normal inteligence!
ishu kubwa ni hio yaani amejirahisi sana kwangu na hilo ja,bo halinipi amani maana nashindwa kumtaftia kosaa na mimi sina future nae kabisaa...so inaniwia vigumu kumuacha.
Sasa wale wenye experience nisaidieni Mwanamke wa dizaini hii Namuachaje? Maana sihisi tena ule upendo niliokuwa nauhisi kwake mwanzo! na kibaya she believes in me the most.....naona sometimes anatumia mda wake mwingi kuniombea na hilo jambo linanikosesha amani.
Nisaidieni Mazee!
Usifanye hivyo bhana... nimemjibu vile kwa kuwa kaniudhi bhana..Hivi naachaje kuumia lakini,sio kwa jibu lile.... Tuumie wote tuu kwa kweli
Hapana Mkuu, sasa mtu anaeshimiwa bado analeta mbwembwe. Akipata anayemuitaji atasimulia timbwili lakeHa ha ha ugomvi!!??
Nakuambia ni comment yako ndo imenileta hapa aki, sijasoma juu nimebaki mdomo wazi!!!Usifanye hivyo bhana... nimemjibu vile kwa kuwa kaniudhi bhana..
Umeisoma thread lakini?
Mama angu leo ndio leo sikuachiiahahahahaaa mbona umekuja kunletea tena fujo huku?? ahahahaa turudi kulee bhanaa
Tunasema utavuna ulichopanda ...kwanini unasema Karma is a bitch