DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Hilo tangazo limelipiwa VAT ???
Nije wapiNjoo uchukue
Hahahahhahahhahaha nambie tu nakuombaUsingenicheka ningekuambia.
Kama unamkaribia huyu chagua unapotaka twende weekend hii.
Personally nikiwa sina hela siwezi kuwa involved na kiumbe anaitwa mwanamke. Hii ni amri yangu ya 12.
Ndi ndi ndiiMwanamke akikuhonga pesa au kukusaidia, atajisifia kwa rafiki mpk habari zitakufikia na haitoshi mkiachana atakusema na kupata aibu kwa kila alichokusaidia hata kama ni mara chache mno.
-nilikuwa najinyima kisa yeye
-vocha namtumia mimi anaongea na wanawake zake
-mimi mbona nipo fair hata bf wa zamani tukitoka out mimi ndo nalipia maranyingi
-mimi sipo hivyo bf akiwa hana namtumia najua kuna kusaidiana.
-kama ingekuwa sio yeye ningekuwa mbali sasa hivi, nimepoteza pesa nyingi sana kwa ajili yake.
**wakati mwingine kutumia hela ya mwanamke ni kutumia hela ya mwanaume mwenzio.
KwanguNije wapi
da !! ila una roho ngumu…!!Bado. Unataka kujitolea au unataka kwenda kuwashtua TRA?
aiseeKwangu
Au unataka nikwambie tukutane gesti bubu zenye kamera?!aisee
Wanaume mbona hamjioni nyie ndo huwa mstari wa mbele kusema nahudumia kila kitu ila....Mwanamke akikuhonga pesa au kukusaidia, atajisifia kwa rafiki mpk habari zitakufikia na haitoshi mkiachana atakusema na kupata aibu kwa kila alichokusaidia hata kama ni mara chache mno.
-nilikuwa najinyima kisa yeye
-vocha namtumia mimi anaongea na wanawake zake
-mimi mbona nipo fair hata bf wa zamani tukitoka out mimi ndo nalipia maranyingi
-mimi sipo hivyo bf akiwa hana namtumia najua kuna kusaidiana.
-kama ingekuwa sio yeye ningekuwa mbali sasa hivi, nimepoteza pesa nyingi sana kwa ajili yake.
**wakati mwingine kutumia hela ya mwanamke ni kutumia hela ya mwanaume mwenzio.
Hahahhahahhahahahahhahahahahhaha yote ya nnAu unataka nikwambie tukutane gesti bubu zenye kamera?!
Acha uzururaji kama huna nauli..unaweza ukachi nyumbani piaHuu upuuz wa kujitesa kisa umemtaman dem au dem anaejua ww unapesa kumbe huna ni mbaya sanaaa
Ila afadhali tumepitia na.kujifunza
Kiukweli siwez kwenda na dem out alafu alipie yeye hapo ukija kutoswa ni kelo balaa
Vilevile siwez kukutoa out leo alafu kesho nilale na njaa bora nipige nyeto tuu
Maana nimepitie hayo mambo ya kutokuwa na pesa
Kwa mfano kuna day nilitoka zangu external nikaenda mliman city,huku mfukon na buku tano,
Usafir kwenda unakatwa 500,ikabaki 4500/=
Nikakutana na papai pale mliman city limeivaa balaa,totozz la linasoma ardhi,
Nikamlia targert,nikapata kumsemesha,kumchekesha mwisho wa siku nikamtell tukapozee koo
Ka pub tulipo poz bint redball 3500 nami maji 1000..tayar nikawa empty mida ya saa sita flan tukapiga story mpk saba flan......then tukaachana
Mbongo nilianza mdogo mdogo na jua onfoot toka mliman city mpk external
Mbaya zaid,nilichofwata zikutimiza
Ila alikuwa mtamuuu mnooooooooo
Vijana tusake pesa tuu,hawa wanadharau sana ukiwa huna pesa
Ila.nwdays waelew sana ,wanaelewa sana uongo kuliko ukweli,kiufupi wanatafunika