marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Duniani hakuna mwanaume asiye na pesa...labda amezungumzia mabeberu.Nasubiri majibu ya wanaume wasio na pesa jamani .
Duniani hakuna mwanaume asiye na pesa...labda amezungumzia mabeberu.Nasubiri majibu ya wanaume wasio na pesa jamani .
Hakuna mwanaume asiye na pesaNgoja Tuwasubiri Shirika La Wanaume Wasiokuwa Na Pesa Tanzania(SHIWAWAPETA) Waje Watoe Maoni Yao Juu Ya Hili
Hakuna watu wasio na pesaKumbe wasio na pesa bado tuna pa kukimbilia! Nimekupenda bure.
Yaani wanawake mngekuwa hivyo..halafu mkaondoa manywele ya marehemu na mikatani kichwani...mkabaki na nywele zenu asilia...mkabaki na ngozi yenu asilia...sisi wanaume tungeiona dunia nusu pepo.Upendo ndo wa muhimu, pesa zinatafutwa tu na sio adimu kama upendo. Umuache mtu anakupenda kisa pochi?
Hii ni physics mkuu labda kama ulisoma physics with chemistry enzi za Mungai (RIP)Kama nimemwelewa mtoa mada vile!
Kwenye chemistry kuna theory moja ya heat inasema unapochanganya kitu cha moto na cha baridi pamoja, kile cha moto kitapoteza joto lake kwa kiwango sawa na kile cha baridi kitakavyogain joto
When two or more objects at different temperatures are brought together in an isolated environment, they eventually reach the same temperature by the process of heat exchange. That is, warmer materials transfer heat to colder materials until their temperatures are the same.
Ndo maana unakuta watu wanasema chemistry haijakubali, ina maana mwenye joto kagoma kugawa joto lake, au mwenye baridi kagoma kupokea joto.
We unazo ngapi had sasaPesa unayozungumzia ni sh ngap?!
Mbona unalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweeeh
Hii ni physics mkuu labda kama ulisoma physics with chemistry enzi za Mungai (RIP)
Nyingi tuWe unazo ngapi had sasa
wanawake mkiwa na pesa dharau nyingi sanaNa inaelekea una sheria balaa
Ninachokiona hapa, unajipigia debe maji yameanza kuonesha dalili za kuzidi unga!Wanaume wengi, hasa wa JF wanalalamika sana kuwa wanawake tunataka wanaume 'wenye pesa' au waliofanikiwa tu. Pia kuonesha hii (kukubalika bila kuwa na pesa au kuhonga) ndio concern kwa wanaume wengi ni pale nyimbo nyingi za Kitanzania message ni hiyo hiyo, mfano: "Japo sina kitu,......", "Ukawaacha wenye pesa......" Tukilala njaa......"
Nikirudi kwenye mada, Kukosa pesa sio tatizo!!!!!
Mimi ni mtu ninayependa finer things in life. Napenda vitu vizuri na sisubirii mtu anipe. Kwenye kujipa raha sinaga subira wala uoga, najigharamia. Halafu kingine ni kuwa I am generous, sio mchoyo kabisa. Kuwa na mimi na utaexperience kila ninachoexperience. Ukiwa mtu wangu automatically ntakuinclude nikienda shopping, movies, nikipanga safari ya bata nakujumuisha na kila kitu.
Sasa unakuta uko kwenye mahusiano na mtu, akishajua jinsi unaendesha maisha yako anataka kujitutumua kukuimpress. Anataka kukupa huduma zile zile unazojipa mwenyewe au hata zaidi kwa pesa ambazo hana ili tu umuone bora zaidi. Inatia huruma!
Unakuta unamuinvite mtu out anataka kulipa wakati unajua kabisa hawezi kuafford, kwanini mnajitesa wanaume. Mtu ukishapendwa usiwe na hofu, ujue umekubalika ulivyo. Matokeo yake inabidi nishushe hadhi ya starehe zangu ili mpenzi aweze kuafford, ni kuikatili nafsi huko!!!!
Na mwanaume wa hivi atake kulipia kitu halafu umwambie hapana Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....mnuno wake hauishi leo. Atakuaccuse vitu kibao. Baada ya siku kadhaa unamkuta anakula karanga na kijoti, kisa kulipa Ankara zisizo zake.
Ndio maana wadada wanaishia kwa wenye nazo ili kuondokana na hali ya kuona huruma kila siku.
Mjirekebishe!!!!!!!!
Asante kwa kunisaidia kutangaza zaidi. Sijui nikulipee"Halafu kingine ni kuwa I am generous, sio mchoyo kabisa. Kuwa na mimi na utaexperience kila ninachoexperience. Ukiwa mtu wangu automatically ntakuinclude nikienda shopping, movies, nikipanga safari ya bata nakujumuisha na kila kitu."
For Promotional Use Only.
Inategemea munaenda wapi,kula na kunywa nini,lakini kwa tahadhari kama huna atm card basi uwe na laki 3 kama ni wawili tuhivi ukitoka out bill kubwa sana ni sh ngapi? kwa watu wawili
Hahahahaha....maji yakizidi unga si nakoroga tu uji. Tatizo liko wapi? Wewe kwanza kwa ulivyo mwanamke kama mimi utanisoma tu JF. Roho mbaya haijengi!Ninachokiona hapa, unajipigia debe maji yameanza kuonesha dalili za kuzidi unga!
Wanawake mpo wa aina nyingi km wewe labda uwe mchepuko tu kuhusu ndoa siwezi kuoa mwanamke anayependa yeye ndiyo aonekane simply tu sina pesa kumzidi.