Wanaume mnataka mgundue nini

Wanaume mnataka mgundue nini

EVERY MAN CHEATS... Ni mwanamke mpumbavu tu ndio ata kaa naku jinadi mwanaume wangu is soo faithful hana wanawake nje ni mimi tu ... sioni ishara yoyote ya yeye kua na mwanamke nje... okay listen “mwanaume anae m respect mwanamke wake wa ndoa kamwe hawezi kujiachia kihasara hasara ili ajulikane ana piga show nje” kama mwanaume haku heshimu ndio atakuonyesha habari picha kabisa kwamba bana mimi na piga show nje.
 
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Kwa iyo unakaka kusema papuchi ya miaka 18 na papuchi ya miaka 54 zote ziko sawa?
 
tunawasaidieni nyinyi maana mko wengi mno, unakuta kinondoni ila dume 600,000 , kike 1,500,000 , na katika wanaume 600,000 ondoa watoto+mashoga+mahanithi+ED apa unabakia na 300,000 ivi!
inabidi mshukuru sa ingine
 
Yaahhh akuchukue jumla tu sio kuniibia ibia wakati Mimi ndo nakutunza !!...

Akuchukue ,,namm niende kwa Kapeace Wangu
Bora Kapeace Wangu mzungu sana..hanipi presha wala hanaga cha kunificha!!.

Kapeace I miss you baby Wangu
Basi mtagi aje anipege pole mwenzie nishapewa kibutiiii hivyooov
Bora Kapeace Wangu mzungu sana..hanipi presha wala hanaga cha kunificha!!.

Kapeace I miss you baby Wangu
Haya basi nitagieee kapeace aje ashuhudie navyopigwa kibuti mwenziwwe ....nitagie kapeace
 
Kwani hilo nalo la kushangaza. Mbona kawaida yetu sisi madume tuliokamilika? "Wanaume wote wa baba mmoja mama tofauti "
 
Basi mtagi aje anipege pole mwenzie nishapewa kibutiiii hivyooov

Haya basi nitagieee kapeace aje ashuhudie navyopigwa kibuti mwenziwwe ....nitagie kapeace
Aaaahhh yule hanaga muda kabisa !.. Kwanza akija ataniuliza tuu .....ndo nitamwambia usiwe nahofu wewe baki na na mwanadar es salama ...mie nibaki namuhaya wangu supu supu !!!.kishikaji yaaani.
Amen chief.
 
Kawaida tu. Ulitaka nikukute wewe ukiwa na kibenten au kibabu saizi ya kaka yangu? Pengine hata ww hiyo hela ya shopping ulipewa na shugadady. Ww njoo tu nyumbani tule sikuu pamoja, cha ajabu nn hapo mwanangu? Si bora umwambie mama yako kuliko kunitangaza jf.
 
Back
Top Bottom