Mima white cute
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 740
- 1,305
- Thread starter
- #81
Na Mimi nitaitwa mwanamke wa dar maana nasikiaga humu wanaume wa darKumbe uko dar mkuu?!!ebwana eeehh..
Na Mimi nitaitwa mwanamke wa dar maana nasikiaga humu wanaume wa darKumbe uko dar mkuu?!!ebwana eeehh..
Akikujibu naomba unitagWivu tu wa mama yak we umetoka na wazee wangapi?
Nyama daima ni tofauti ndio maana na nyie mnahama kutoka bucha moja hadi nyingine kila siku.Mtamaliza bucha nyama ile ile
Haswaaaaaaa....Na HazibaniIna maana wote wawili hakuna mwenye utamu
sijawahi kutoka na mzee nimejibia hapa ili usipate tabu ya kutagiwa....sasa Mimi mzee hiyo nini yake yenyewe ishaanza kukunjana mi ya kazi ganiAkikujibu naomba unitag
Nawaona nawaona ..sasa hivi nitaharibu hali yahewa ..mnakoelekea mtaanza ..Mimi nipo kinondon.. Mara nipo mwenge !!!!Na Mimi nitaitwa mwanamke wa dar maana nasikiaga humu wanaume wa dar

its not that easy chief, mahusiano yanakuwaga na vitu vya ajabu ajabu sana sometimesMaisha hupotezi ila cha moto lazima ukione , raha inazidi mpaka unahisi mwili kuishiwa nguvumie niwako tuuu ....... Jichunge mama kamwe sipendi ije itokee hii![]()
![]()
![]()
napokua nmekosea ,,wee nifungukie tuuu ,nichane laivu tena kwamakavu laivu ,yote kwayote usikae kimya nikawa MTU wakujiuliza maswal kama huyu chaliii![]()
![]()
.... Weeee nichane laivu tuuu ili mradi mwisho wasiku mambo yawe yetu yawe hivi![]()
![]()
Basi hataangaika Sana'a kwa style hivyooo kwa hiyo mtoto yote wakati anawatotolesha anategemea ibaneee kama alivyokuwa bintiHaswaaaaaaa....Na Hazibani
Weeeee baby tuliza nafsi nipo imara kama chuma cha puaNawaona nawaona ..sasa hivi nitaharibu hali yahewa ..mnakoelekea mtaanza ..Mimi nipo kinondon.. Mara nipo mwenge !!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Absolutely true Chief .....kikubwa na kukubaliana na mambo yanavyokuja yenyewe.its not that easy chief, mahusiano yanakuwaga na vitu vya ajabu ajabu sana sometimes
hahaha! Hatarious.Ngoja nikae kimya, hizi ID fake jf waweza upigwe biti na mwanao ukanywea au umuite Mkuu.
sureAbsolutely true Chief .....kikubwa na kukubaliana na mambo yanavyokuja yenyewe.
Imeeandikwa oeni wanne au watatu mpaka wawili ikibidi oa mmoja,maana yake mwanaume kamili anatakiwa aoe waane kwa nguvu alizonazo akiwa hana uwezo basi ndio ataoa mmoja.Mwache mzee 'afaudu'.Haluu.wakulaumiwa sio mzee ni huyo binti kwa kumkubali muhenga.Nani anatamaa hapo?Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.
Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.
Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu
Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
ha ha ha haaaaa miaka tisini unipe talaka niende wapiiiii khaaa tutakufa wote tu kwa kweliMmmhhh baby ...sitaki kukuchakaza ,,nakutumia taratibu taratibu kwamatumizi ya baadaeee kwamiaka 90 tu alafu ndo tutapeana talaka![]()
Ooohhhh sawa ,,nachokupendea unaniambiaga ukweliWeeeee baby tuliza nafsi nipo imara kama chuma cha pua
jichunge mama.