Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Merry Christmas mkuusure
Merry Christmas mkuusure
ha ha ha haaaaa miaka tisini unipe talaka niende wapiiiii khaaa tutakufa wote tu kwa kweli
sihuwa mnapenda talaka jaman ????
Najichunga mnoo si unajua utamu wangu kwako hakuna nafasi zaidiOoohhhh sawa ,,nachokupendea unaniambiaga ukweli![]()
![]()
jichunge mama.
Huyu ni mdogo wako kwa Mama yako mwingine, umenifikiria vibaya tu Mwanangu, nilikuwa namfanyia nae ka-shopping...!Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.
Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.
Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu
Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Sio kwa talaka ya miaka tisini hii sio sawa na ni unyanyasaji wa kijinsia nipe hapa hapa tu kwenye 20/28 lakini tisini noooo nitavumiliaaa tu tumalizie shida na raha zetu![]()
![]()
![]()
sihuwa mnapenda talaka jaman ????
sema kwaulivyo mchalu .....tutazikana tu mama.![]()
oh!Merry Christmas mkuu
thank you Chief.
Sasa mbona ulimshikilia kuinooo na mibebishooo jamaniiiiHuyu ni mdogo wako kwa Mama yako mwingine, umenifikiria vibaya tu Mwanangu, nilikuwa namfanyia nae ka-shopping...!
Aya km niivyo wacha nifikirie ombi lako ,ikiwezekana nikupe angali mapemaSio kwa talaka ya miaka tisini hii sio sawa na ni unyanyasaji wa kijinsia nipe hapa hapa tu kwenye 20/28 lakini tisini noooo nitavumiliaaa tu tumalizie shida na raha zetu

Sawa mkuu humu kuna jamaa anajiita boloyoung. Ebu ngoja akuje anisaidie ikikunjamana inafanana aje....sijawahi kutoka na mzee nimejibia hapa ili usipate tabu ya kutagiwa....sasa Mimi mzee hiyo nini yake yenyewe ishaanza kukunjana mi ya kazi gani

Thanks sanaaa Mkuu ...Mungunatusaidie tumalize namwaka vzuri.. Naterehe km hiz 2018 tuwe hai piaoh!thank you Chief.
Merry Christmas!![]()
Nyama ya kuku ni tofauti na ya ng'ombe, mbuzi n.kMtamaliza bucha nyama ile ile
Tusipeane majonziiio sikukuuu yoteee hii naomba usubiri mwaka uishe kwanza😀😀Aya km niivyo wacha nifikirie ombi lako ,ikiwezekana nikupe angali mapema![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umejuaje kwamba zinakunjanasijawahi kutoka na mzee nimejibia hapa ili usipate tabu ya kutagiwa....sasa Mimi mzee hiyo nini yake yenyewe ishaanza kukunjana mi ya kazi gani
Wacha sikukuu iishe ...nifanye mawasiliano na Jembe LA mkono !!.Tusipeane majonziiio sikukuuu yoteee hii naomba usubiri mwaka uishe kwanza😀😀
Ha haaaaa anichukueee jumla jumlaa auWacha sikukuu iishe ...nifanye mawasiliano na Jembe LA mkono !!.
Amen chief.Thanks sanaaa Mkuu ...Mungunatusaidie tumalize namwaka vzuri.. Naterehe km hiz 2018 tuwe hai pia
Nyama zinatofautiana dada, nyinginr inamafuta mengi nyingine stek, kwaio inategemea na chaguo la mtuMtamaliza bucha nyama ile ile
Yaahhh akuchukue jumla tu sio kuniibia ibia wakati Mimi ndo nakutunza !!...Ha haaaaa anichukueee jumla jumlaa au
Sio kweliMtamaliza bucha nyama ile ile