Wanaume mnataka mgundue nini

Wanaume mnataka mgundue nini

Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Labda ni mwanae kwa mke wake wa tatu…maana inawezekana huwafahamu wake wote wa baba yako wa kufikia, usimalize yote bila kuwa na uhakika!
 
Muache baba wa kambo akusanye uzoefu kwa ajili ya mama. Unajua vibinti huwa vinaangalia na senema vinakuja na mapigo mapya mapya.
 
Ni kitu kizuri kwa kweli...

Kama utatuelewa sisi wanaume, huwezi kupata shida na sisi
 
Heeeeee hutaniwi aiseeee kupendwa Raha ,,toka nipendwe weee nikiboko yao ,,unajua kunipenda mpaka najiogopa mpenzi... nataka jion Leo nikubebe ivi
e272a87aae89af35b4e466525d429908.jpg
alafu nikuzungushe kuanzia gongo lamboto ...mbagala ,kibiti ,,kinsevule hapo vipi mpenzi ??.
 
wanaume by nature ni watu wa kumiliki mizigo mingi,hii ya man mmoja na mwanamke mmoja ni uzungu tuu ila ukija kwenye rality 95% ya men ni wachepukaji au wamewekeza tamaa zao kwenye ngono
 
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Mimi nilikuona ulivyosutuka ila ikabidi ujikaze tu. Nilijaribu kukukonyeza ubane kwangu huku ili nasi time kampani. Hata hivyo hatujachelea. Drop your n. P M tuanze namna ya kuliamsha dude. Karibu.
 
Tuanzie kwa mama ,kipi kilimsibu mpaka hakuendelea kuwa na baba yako mzazi.Hata wewe mwenyewe jiulize unataka kugundua nini na list yote hiyo uliyo nayo ya ma-uncle.
 
Kama wote ni 18+ no offence japo kimaadili inaleta ukakasi.

Ukimwi upo na unaua.
 
Smart911 my king yaeza kuwa sawa kwamba anataka mke wa tatu but ili agundue nini!? what's new there kwahuyo wa 2!?!

Alishagundua almasi akaiweka ndani, akagundua dhahabu kaiweka ndani, sasa anataka kugundua makinikia...
 
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Hako kabinti, kalikuwa na tukunyema lenye maana au?
 
Back
Top Bottom