Wanaume mnataka mgundue nini

Wanaume mnataka mgundue nini

Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Wewe una miaka mingapi kwani, na ilivyo kawaida baba akichepuka tunampongeza na ni sifa kwa familia lakini mama akichepuka ni aibu kwa familia.

Mwache baba ajipigie ngozi changa
 
Heeeeee hutaniwi aiseeee kupendwa Raha ,,toka nipendwe weee nikiboko yao ,,unajua kunipenda mpaka najiogopa mpenzi... nataka jion Leo nikubebe ivi
e272a87aae89af35b4e466525d429908.jpg
alafu nikuzungushe kuanzia gongo lamboto ...mbagala ,kibiti ,,kinsevule hapo vipi mpenzi ??.
hapo poa sanaa alafu nikupe kile nilichowaficha wengine kisichoonekana hivyo hovyo ......lakini mpaka ukinifikisha kibiti ndio utapata ...sio usihie mbagara useme umechoka😀😀😀
 
hapo poa sanaa alafu nikupe kile nilichowaficha wengine kisichoonekana hivyo hovyo ......lakini mpaka ukinifikisha kibiti ndio utapata ...sio usihie mbagara useme umechoka😀😀😀
Mmmhhh weee mwenyewe unanijua ,, sasa kukuweka kwa mgongo had I hapo kibiti nishindwe baby ???? Haaaaa wapi ,,hata km ukisema mpaka mtwara ,,nitakupeleka tu mama ,,ili mradi unipe !!!.
 
Mkuu,mwache Mzee ale k2 roho inapenda
Nitamletea Mzee wako na hii zawadi hapa chini
747b1e0e72d0083c55e46c875d15313e.jpg
 
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?

Nawe umezidi Aise wivu mpaka baba yako, acha ushamba huo aise.
 
Mwanamme Utafiti hauishi unaendelea,ile ladha inayopatikana mule ndani kunauwezekano mule ndani zikawa k zaidi ya moja,ndio maana kautafiti kanaendelea
 
Masoud Kipanya: Hakuna mwanaume Anayeridhika na Mwanamke mmoja. ....Ukiona katulia na mmoja basi ana matatizo au uchumi umekaa vibaya

“Hakuna mwanaume anaependa kuwa na mwanamke mmoja,na hiyo ndiyo huruka ya uanaume,tunajizuia tu kwa sababu!! hivyo kwa mfano kwa wenzangu wakristo utaratibu unawazuia lakini angalia vidumu vilivyo nje unaona eeehh??"
Ckuiz mtu akishakuweka ndani walaa hupambani naee ndoa yenyewe katolikii aaahh...kero ikizd na wewe una kiben10 chako siku zinaendaa..
 
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Kukiwa na warembo 100, mwanaume akiambiwa achague mmoja atafanya hivyo. Lakini moyoni itamuuma wale wengine 99
 
Back
Top Bottom