Khaaaa
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.
Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.
Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu
Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Asikudanganye mtu kwa hyo kauli, kuna ngombea wa Aina mbalimbali kwahyooo hata nyama zaoo piaa zitakuwaa mbalimbali
Hahaha mkuu taratibu anaweza kujinyonga mtoto wa watu muulize kwanza kabila ganiAcha Wivu,,, Ukitaka kujua wanaume wanataka kugundua nn, ni pale anapokuja kwako tena kuomba mchezo wetu ulee, Ukikataka tuu, anakwambia kwanza sio mwanangu halisii, atakupa ahadii nyingiiii utakubali, hapo ndo utajua "No one can stop reggae"
~~Ukiona hajakufata ujue we ni zombiii, huna vigezo kwakee
je tangu tukio hilo litokee hajaliongelea kamwe...Yap ....ameniona ndio
Hapana hajaliongelea nani pia sijaendaje tangu tukio hilo litokee hajaliongelea kamwe...
Hahah acha utani, kwahio mi nimepigwa kipapaiUkiona mwanaume ana mwanamke mmoja fahamu ashapigwa kipapai huyo
mhmh ebu nenda unaweza kuta kakuwekea bonge la zawadi kukunyamazisha usimwage mboga...Hapana hajaliongelea nani pia sijaenda
Tena android zenye internetzingine zina tv
hilo swali kamwulize msando.....kwa umri ule na mke mzuru yule bado anashika mbunyye ya gigy money mbele ya kamera...wanawake naomba toeni msaada mkampe opportunity msando ashike nyeti za wanawake rundo hadi achoke ili ushamba umtoke.Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.
Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.
Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu
Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Kuna nyama ya mbusi na kitifireeeMtamaliza bucha nyama ile ile
Nyama ni ile ile lakini mapishi tofautiMtamaliza bucha nyama ile ile