logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,553
Usipokubali hapa hapa jukwaani mbele ya jf members basi una roho ngumu...we kiboko si kwa mbebisho huu mwenzio hoiiiii hukuu 😉

Usipokubali hapa hapa jukwaani mbele ya jf members basi una roho ngumu...we kiboko si kwa mbebisho huu mwenzio hoiiiii hukuu 😉

Yahni Mimi kwa michapio kiboko nachapiaga hadi naona aibu mwenyewe.....wats up ndio balaaa...Unakumbuka ....**** tank..tank .Haaaaaaaaaaa wewe unachapiaga sanaaaa hata wasap unachapiaga sanaaa unaishia kusingizia simu ngoja nikuchekeejamaaaaan nmecheka mpaka mbav zinaumaaa![]()
Aisee umejuaje ...hapa imeisha.Haaaaaaaa mkuu Penzi nipopote...
Embu njoo kwanza tupate kifungua kinywa![]()
Naunga mkono hoja...Ngoja nikae kimya, hizi ID fake jf waweza upigwe biti na mwanao ukanywea au umuite Mkuu.
Hayo baby yanaitwa mahaba niweke ndani ya jaba nifunike ,, watu wengine wasinione tofaut naww !!!..Kabisa kwa nini tujibanee....mapenzi yetu wenyeweeeee bhanaa
Mwambie aliona wapi jogoo akawa na jike moja au la umri wake pekee.Huyo msichana alokua nae yupo sahihi kuwa na mwanaume umri wa baba yake? By the way km baba yako ni wa iman ile... Labda anataka kuongeza mke wa tatu bado yupo kwenye uchumba na huyo binti
Akaaaah mwenzangu najikubalia hapa hapa maana ile mibebisho hatariiii mkuu...full kulainika hata kama vyuma vimekazaaa au hata kama ulifura unajukuta unacheka Cheka kama chizi aloona ndugu zake......mibebisho ya huyu bwana acha tuu.Usipokubali hapa hapa jukwaani mbele ya jf members basi una roho ngumu...![]()
![]()
![]()
Akaaaah mwenzangu najikubalia hapa hapa maana ile mibebisho hatariiii mkuu...full kulainika hata kama vyuma vimekazaaa au hata kama ulifura unajukuta unacheka Cheka kama chizi aloona ndugu zake......mibebisho ya huyu bwana acha tuu.Usipokubali hapa hapa jukwaani mbele ya jf members basi una roho ngumu...![]()
![]()
![]()
Sawa nyama ni ileile. Ila kumbuka kitimoto sio sawa na nyama ya mbuzi, halafu mbuzi si sawa na ng'ombe na pia zipo nyama za pori. So acha dingi abadilishe ladha kidogo.Mtamaliza bucha nyama ile ile
Wera weraaaa waambriiieeeeWake wengi awe nao mbuzi na kuku, akiwa nao mwanadamu tatizo? Dume ni dume tu
Sawa nyama ni ileile. Ila kumbuka kitimoto sio sawa na nyama ya mbuzi, halafu mbuzi si sawa na ng'ombe na pia zipo nyama za pori. So acha dingi abadilishe ladha kidogo.Mtamaliza bucha nyama ile ile
Mambo ya mke Wangu Mima ......kanambiaje *baby embu mkaribishe rafikio kifungua kinywa *Aisee umejuaje ...hapa imeisha.
Kumbe uko dar mkuu?!!ebwana eeehh..Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.
Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.
Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu
Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Hayo baby yanaitwa mahaba niweke ndani ya jaba nifunike ,, watu wengine wasinione tofaut naww !!!..
Almaarufu km Mahaba ,, nachokipata ule wewe hats nikishinda njaaa ,hata nikibaki mifupa wewe nenepa[/QUOTE mahaba niteketezeee mie nichakaze niwe nyang'anyang'a.....hatariiiii![]()
Hamna namna ,namm nitaendelea kukuumbua tuuYahni Mimi kwa michapio kiboko nachapiaga hadi naona aibu mwenyewe.....wats up ndio balaaa...Unakumbuka ....**** tank..tank .
Alafu nashtuka nishatuma.
Tuvumiliane tuuu...hakuna namna
