Wanaume mnataka mgundue nini

Wanaume mnataka mgundue nini

Haaaaaaaaaaa wewe unachapiaga sanaaaa hata wasap unachapiaga sanaaa unaishia kusingizia simu ngoja nikuchekee
9ee5eb6509fb37863e0b4ff9b835f442.jpg
jamaaaaan nmecheka mpaka mbav zinaumaaa
Yahni Mimi kwa michapio kiboko nachapiaga hadi naona aibu mwenyewe.....wats up ndio balaaa...Unakumbuka ....**** tank..tank .
Alafu nashtuka nishatuma.

Tuvumiliane tuuu...hakuna namna
 
Kabisa kwa nini tujibanee....mapenzi yetu wenyeweeeee bhanaa
Hayo baby yanaitwa mahaba niweke ndani ya jaba nifunike ,, watu wengine wasinione tofaut naww !!!..

Almaarufu km Mahaba ,, nachokipata ule wewe hats nikishinda njaaa ,hata nikibaki mifupa wewe nenepa
6c0a331b63af58e44825c187810971b3.jpg
 
Huyo msichana alokua nae yupo sahihi kuwa na mwanaume umri wa baba yake? By the way km baba yako ni wa iman ile... Labda anataka kuongeza mke wa tatu bado yupo kwenye uchumba na huyo binti
Mwambie aliona wapi jogoo akawa na jike moja au la umri wake pekee.

Tatizo ni u beijingi kujifanya hawajui ASILI YA BINADAMU HASA BINADAMU DUME.
 
Usipokubali hapa hapa jukwaani mbele ya jf members basi una roho ngumu...
Akaaaah mwenzangu najikubalia hapa hapa maana ile mibebisho hatariiii mkuu...full kulainika hata kama vyuma vimekazaaa au hata kama ulifura unajukuta unacheka Cheka kama chizi aloona ndugu zake......mibebisho ya huyu bwana acha tuu.
 
Usipokubali hapa hapa jukwaani mbele ya jf members basi una roho ngumu...
Akaaaah mwenzangu najikubalia hapa hapa maana ile mibebisho hatariiii mkuu...full kulainika hata kama vyuma vimekazaaa au hata kama ulifura unajukuta unacheka Cheka kama chizi aloona ndugu zake......mibebisho ya huyu bwana acha tuu.
 
Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Kumbe uko dar mkuu?!!ebwana eeehh..
 
Back
Top Bottom