ukweli unawauma tatizo hawakubali ukweli mfumo dume bado ni tatizo
Unamuona ana mfume dume kwa sababu KAFULIA au vipi?,angekuwa bado ana fedha hata humu jukwaani tusingekuona kabisa,ungekuwa unamkaangia mavuzi ili azidi kukupenda au vipi? wanawake acheni unafiki bhana coz mnaangamiza dunia hii kwa maslahi yenu,akiwa na pesa ooh my honey,akiwa kafulia ooh mchafu,mvivu,ananitumia bure tu,hana maana,kwanza ana sura mbaya,ananitesa tu,napoteza umri wangu bure tu,yaani nachoka kuhudumia jitu kama hili,nashindwa hata kuchamba matako yangu ,lijitu linalala na kulewa tu,hana hisani namlelea mtoto wake,mama yangu kasema nimkimbie,baba yangu kasema nakaa na jambazi,mimi mwanamke natamaniwa na wanaume wengi,ananipotezea nafasi ya kupendwa na wanaume wa maana,matajiri wananitaka,juzi nimetongozwa na mtoto wa tajiri,kwanza siku hizi hasimamishi kabisa anantia vidole tu,mimi mwanamke nahitaji mwanume wa kunitolea nyege zangu,huyu amelegea kazi kuomba omba kwa marafili etc,etc,etc,,,.,...,....,....forever,wanawake mmelaanika na mtaendelea kulaanika na mwisho mnaishia kuuza vitumbua au kuwa jamvi la wageni,au kutombwa tombwa na walevi wa gongo,sababu ni wabaya mwanaume AKIFULIA,.,.,.,.,.perioooooood