Wanaume mnapenda sana kubembelezwa eee!!!!

Wanaume mnapenda sana kubembelezwa eee!!!!

Habar ya jion wapendwa bila shaka mko poa

Hapa nimekuja na hii mada ya hawa wanaume zetu.
Kuna hii kitu huwa inaniboa sana eti wao wawe wanabembelezwa weee ndio wanachotaka asa hawajui kama kuna mambo mengi ya kufanya na sio kubembelezana. Inasemekana nyie wanaume mko wachache eti....
Kwaio kama mko wachache sisi tupo wengi ndio mnataka mkiwa na mwanamke awabembelezeni kama anamnyamazisha mtoto mdogo??? Kwa maana kwamba hawezi kupata mwanaume mwingne au
Shit sifanyi huo ujinga, hata kama mko wachache me napiga chini sina mda wa kubembeleza mtu, mda mwingne mnatumia udhaifu wetu kwamba tunahuruma sijui tunasamehe haraka sijui me sielewi. Basi mwanaume akijua ndio anaekuweka mjini ndio baaasi tena anataka akuendeshe weeee kama gari bovu. Heheheeee hapa utajuta kwenda zako kule......
Hii tabia mjirekebishe. Unakuta mwanaume anatamba kwa rafiki zake eti "huyu demu HAKUNJUI hapa" kwamba nguvu za kukunjua sina au? Acheni sifa za kijinga mda mwingne amefanya kosa yeye lakin anataka umuombe msamaha wew looo!!!! Hii siielewi hata kama ndio mahaba niue hapa BIG NO!!. Acheni kutuone jaman

Kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu, wewe unakonda na kutoa povu jf yeye ananenepa
 
Red bolded statements zinaonyesha vitu 2
1. U are socially frustrated, kuna yaliyokukumba na ndo mana wataka wamislead wenzako ambao ndoa zao zinatiririka kwa furaha upendo na amani, na kubembelezana ni sehemu ya hayo.
Kama haujakumbwa na makubwa then;
2. Una perceptions hasi na love war mentality, kwamba kuna watu naturaly wanachukulia mapenzi ni vita kati ya mwanaume na mwanamke, although wanaweza kupenda ila ever wataishi kivita vita kwenye nyumba.

So analysis yangu inaonyesha ni kati ya hayo mawili but the second ndo nalipa nafasi zaidi kutokana na ID yako, kama kweli wewe ni Manka, hivi ndivyo wasichana/wanawake wa kibosho/machame mlivyo naturally unless mfanye kazi sana kuchange hili, na wengi wenu linawatesaga sana lakini hamtakagi kukubali ukweli na kufanya kazi against that sort of nature. Ila siku hizi wengi wamejitambua na wanapigana sana na hii nature except wachache kama wewe.

Cure
Kwanza pole kwa kuwa victim then fanyia kazi mentality yako, au kuondokana na past experience yako as far as love is concerned, kwani kwa ilivyo sasa ni either utamtesa utakayekuwa naye kwani atakomaa coz anakupenda, au atatafuta mapenzi n u know what I mean.

Angalizo
Ni ngumu sana kuukubali huu ukweli ila ndo hivyo, work on that MankaM

ohoooo honi imepigwa.
Hii ID imekuwa gumzo au kibebeo cha hoja ama??
Maana hoja hii haiendani na kile mnachokihusisha bt any way umeeleweka sana i wll try 2 work on dat even if its hard iwll do the best i can. Woohhh mmmmhh.
 
Last edited by a moderator:
Kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu, wewe unakonda na kutoa povu jf yeye ananenepa

wewe mzaziaged wewe
naomba nieleweke sijaachwa bt some sort of distabansi nsizozipenda ni kama hizo khaaa mbona kunijungukia jaman
 
Habar ya jion wapendwa bila shaka mko poa

Hapa nimekuja na hii mada ya hawa wanaume zetu.
Kuna hii kitu huwa inaniboa sana eti wao wawe wanabembelezwa weee ndio wanachotaka asa hawajui kama kuna mambo mengi ya kufanya na sio kubembelezana. Inasemekana nyie wanaume mko wachache eti....
Kwaio kama mko wachache sisi tupo wengi ndio mnataka mkiwa na mwanamke awabembelezeni kama anamnyamazisha mtoto mdogo??? Kwa maana kwamba hawezi kupata mwanaume mwingne au
Shit sifanyi huo ujinga, hata kama mko wachache me napiga chini sina mda wa kubembeleza mtu, mda mwingne mnatumia udhaifu wetu kwamba tunahuruma sijui tunasamehe haraka sijui me sielewi. Basi mwanaume akijua ndio anaekuweka mjini ndio baaasi tena anataka akuendeshe weeee kama gari bovu. Heheheeee hapa utajuta kwenda zako kule......
Hii tabia mjirekebishe. Unakuta mwanaume anatamba kwa rafiki zake eti "huyu demu HAKUNJUI hapa" kwamba nguvu za kukunjua sina au? Acheni sifa za kijinga mda mwingne amefanya kosa yeye lakin anataka umuombe msamaha wew looo!!!! Hii siielewi hata kama ndio mahaba niue hapa BIG NO!!. Acheni kutuone jaman

Haya we ishi peke yako usipate shida.

Ya nini kujisumbua kitu hupendi?
 
Habar ya jion wapendwa bila shaka mko poa

Hapa nimekuja na hii mada ya hawa wanaume zetu.
Kuna hii kitu huwa inaniboa sana eti wao wawe wanabembelezwa weee ndio wanachotaka asa hawajui kama kuna mambo mengi ya kufanya na sio kubembelezana. Inasemekana nyie wanaume mko wachache eti....
Kwaio kama mko wachache sisi tupo wengi ndio mnataka mkiwa na mwanamke awabembelezeni kama anamnyamazisha mtoto mdogo??? Kwa maana kwamba hawezi kupata mwanaume mwingne au
Shit sifanyi huo ujinga, hata kama mko wachache me napiga chini sina mda wa kubembeleza mtu, mda mwingne mnatumia udhaifu wetu kwamba tunahuruma sijui tunasamehe haraka sijui me sielewi. Basi mwanaume akijua ndio anaekuweka mjini ndio baaasi tena anataka akuendeshe weeee kama gari bovu. Heheheeee hapa utajuta kwenda zako kule......
Hii tabia mjirekebishe. Unakuta mwanaume anatamba kwa rafiki zake eti "huyu demu HAKUNJUI hapa" kwamba nguvu za kukunjua sina au? Acheni sifa za kijinga mda mwingne amefanya kosa yeye lakin anataka umuombe msamaha wew looo!!!! Hii siielewi hata kama ndio mahaba niue hapa BIG NO!!. Acheni kutuone jaman

Weka na kapicha angalau kusindikiza uzi wako!kama we hubembelezi wapo wabembelezaji hata usihangaike mwaya!
 
Mh mwanaume ni kama mtoto, mbembeleze, mpetipeti,muweke kifuani apate joto lako huku unamuambia maneno laini ya kimahaba, mlee kama unavyomlea mtoto

"no matter how great or respected a man is he is still a baby to the woman he loves"


Kama hutaki kumbembeleza wapo watakao kusaidia

Usije tu kutuanzishia thread Hata, eti ooh anatoka njee

The earlie u understand this the better

Waambie hao mama
 
Habar ya jion wapendwa bila shaka mko poa

Hapa nimekuja na hii mada ya hawa wanaume zetu.
Kuna hii kitu huwa inaniboa sana eti wao wawe wanabembelezwa weee ndio wanachotaka asa hawajui kama kuna mambo mengi ya kufanya na sio kubembelezana. Inasemekana nyie wanaume mko wachache eti....
Kwaio kama mko wachache sisi tupo wengi ndio mnataka mkiwa na mwanamke awabembelezeni kama anamnyamazisha mtoto mdogo??? Kwa maana kwamba hawezi kupata mwanaume mwingne au
Shit sifanyi huo ujinga, hata kama mko wachache me napiga chini sina mda wa kubembeleza mtu, mda mwingne mnatumia udhaifu wetu kwamba tunahuruma sijui tunasamehe haraka sijui me sielewi. Basi mwanaume akijua ndio anaekuweka mjini ndio baaasi tena anataka akuendeshe weeee kama gari bovu. Heheheeee hapa utajuta kwenda zako kule......
Hii tabia mjirekebishe. Unakuta mwanaume anatamba kwa rafiki zake eti "huyu demu HAKUNJUI hapa" kwamba nguvu za kukunjua sina au? Acheni sifa za kijinga mda mwingne amefanya kosa yeye lakin anataka umuombe msamaha wew looo!!!! Hii siielewi hata kama ndio mahaba niue hapa BIG NO!!. Acheni kutuone jaman

hakuna muda wa kumbembeleza mwanaume..manka M tafuta pesa ndo heshima yetu pesa ndo kipaumbele cha mchaga,,mwanaume anakuja nyuma ..ukianza kuhangaika nao sahizi utakufa na presha bure ..mi nazisaka hela mwisho wa siku familia yangu na wanangu waje waenjoy..umesikia mankM badilika dear wangu,,hela kwanza mwanaume badae
 
hahaa MankaM utakua umetoka kuchefuliwa,,aya unibakizie povu nkafulie sox zangu
 
hakuna muda wa kumbembeleza mwanaume..manka M tafuta pesa ndo heshima yetu pesa ndo kipaumbele cha mchaga,,mwanaume anakuja nyuma ..ukianza kuhangaika nao sahizi utakufa na presha bure ..mi nazisaka hela mwisho wa siku familia yangu na wanangu waje waenjoy..umesikia mankM badilika dear wangu,,hela kwanza mwanaume badae
Hao watoto (wanao) utawapata vipi kama humbembelezi mwanaume??
 
Habar ya jion wapendwa bila shaka mko poa

Hapa nimekuja na hii mada ya hawa wanaume zetu.
Kuna hii kitu huwa inaniboa sana eti wao wawe wanabembelezwa weee ndio wanachotaka asa hawajui kama kuna mambo mengi ya kufanya na sio kubembelezana. Inasemekana nyie wanaume mko wachache eti....
Kwaio kama mko wachache sisi tupo wengi ndio mnataka mkiwa na mwanamke awabembelezeni kama anamnyamazisha mtoto mdogo??? Kwa maana kwamba hawezi kupata mwanaume mwingne au
Shit sifanyi huo ujinga, hata kama mko wachache me napiga chini sina mda wa kubembeleza mtu, mda mwingne mnatumia udhaifu wetu kwamba tunahuruma sijui tunasamehe haraka sijui me sielewi. Basi mwanaume akijua ndio anaekuweka mjini ndio baaasi tena anataka akuendeshe weeee kama gari bovu. Heheheeee hapa utajuta kwenda zako kule......
Hii tabia mjirekebishe. Unakuta mwanaume anatamba kwa rafiki zake eti "huyu demu HAKUNJUI hapa" kwamba nguvu za kukunjua sina au? Acheni sifa za kijinga mda mwingne amefanya kosa yeye lakin anataka umuombe msamaha wew looo!!!! Hii siielewi hata kama ndio mahaba niue hapa BIG NO!!. Acheni kutuone jaman
we unakutana na wavulana
 
Kama kweli unampenda toka moyoni utabembeleza tu,yaani hata akikukosea utaomba msamaha,alaf ndo wanachopenda,na ukitaka umkamate vizuri we bembeleza tu mbona hawa viumbe hawanaga ujanja mbele yetu,bembeleza tu mmy ndo raha yao.
 
Back
Top Bottom