Wanaume mnaozama chumvini ujasiri huo mnautoa wapi?

Wanaume mnaozama chumvini ujasiri huo mnautoa wapi?

Ndio maana mimi siku zote ushauri kwa mtu ambae mkewe kachepuka ni kuachana nae..
Imagine mkeo anakuwa anakutana na huu uhuni kwa mchepuko , anarudi kwako kajikausha kama hakuna lilitokea kumbe kafanyiwa mambo ya ajabu na mchepuko kama hivi.
Mwanamke akichepuka ni kumpiga chini tuu, maana huko hujui jamaa kama kamshika jicho, kanyonya jicho au kafanya ma vitu gani na mkeo ambayo wewe huwezi yafanya kwake hata uwe umelewa.

Nikupiga tuu chini mwanamke akisha chepuka
 
Back
Top Bottom