Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,265
Hapo hata angekuwa Utopolo FC asingetoboa.Take a risk ...Raha ya Mnyanduano ni yeye kulamba Koni.....ila sio wewe kwenda uvinza
But makolo wanarudi lini tz??
Kama alishindwa kumfunga Ihefu, Al Ahly angeweza?
Utopolo ilipangwa Champion League ikashindwa kuifunga Al Hilal ikatolewa champion League.
Tusiandikie mate, Al Ahly watakuja bongo tena kucheza na Utopolo FC, tuone tambo zao zinaishia wapi.
Kaa hapo hapo kwa kutulia tuone mtawafunga kama Ihefu?