Wanaume mnaozama chumvini ujasiri huo mnautoa wapi?

Wanaume mnaozama chumvini ujasiri huo mnautoa wapi?

Ahahaha. Mkuu wanakua wamepewa bure, sasa ukiwa hulipii inabid ujiongeze kuonyesha unajali 😂😂😂
 
Kwa wale wazee wa uvinza mnawezaje kwenda kule maana kwa kweli mi nimeshindwa hii kitu.

Huwa mnazamia mkiwa mmeshtua kidogo au mnajilipua tu mkiwa timamu maana ile kitu mwonekano wake plas yale majimaji kule si mchezo yataka moyo sana aisee

Mnawezaje wakuu
Watu tunatafta uhuru wa kuabudu wewe unawaza chumvi, watu wanalia ndugu zao huko wanatekwa wewe unawaza chumvi!

Mshahara wa dhambi ni mauti ndugu .... Mshike sana Mungu katika ujana wako...ujana unaweza ukaamaanisha mshike Mungu ungali na afya yako ndugu! Achama na machumvi

Andiko linasema siku zote mwili hushindana na roho!

Mwili wako unawaza chumvi lakini roho yako inakataa! Unakuja kuuuliza humu!

Kijana pokea uponyaji katika jina la Yesu
 
Hao ni watu wenye upungufu wa nguvu za kiume sasa wanajaribu ku compliment na ulimi.

Ukweli unabakia pale pale kwamba SI Unit ya K ni mshedede tu.
 
Mwanaume mpumbavu ndio huzama huko chumvini,
Kwanza wanawake wenyewe huwa wanawashangaa!!! Yani huko palivyo halafu mtu unapeleka ulimi wako really???
Ukitaka kujua wanawake wenyewe wanaona kinyaa, chovya na kidole huko halafu mwekee mdomoni kama atakubali!!
Si chovya 😂😂😂
 
Back
Top Bottom