Wanaume mnajiamini sana aisee

Wanaume mnajiamini sana aisee

Haha..huo sio ujasiri, ni chemical reactions na hormones zinakuwa zinafanyakazi - ubongo unakua haufanyikazi hapo, sio wewe tena. Akikojoa ndo hapohapo resett mode inafanyika anaanza kujiuliza nini kafabya.
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ushauri mzuri sana kwa wakware.
 
Aisee mleta mada umenikumbusha Iringa road ,kuna lodge moja ina mavyumba makubwa balaa na sebule yule mtu wa mapokezi hatari sanaa yaani alikuwa ananiletea mashibombo kwa bei elekezi hadi rahaa.Siku moja akachemka akaniletea libibi kizee nikataka kulifukuza weee ,linaniambia leo lazima unipige dudu ni bora uninyime hela huwezi kunisumbua kijinga kijinga.
Na mimi namaliza kama yule jamaa wa juu huko alivyomaliza ,yaani humu tuu.
Oiii.
 
Usijaribu!cheza game pewa Hela ya mboga maisha yasonge!!!Huwezi Jua anayoyapitia,usione tupo smart moyoni tunaungua sana!

Huyo ndio mumeo uliopewa Kwa usiku huo!Kuna wale unakutana nao unapiga nao stori Hadi unawaza huyu mtu uliumbiwa nini!!?kumbe umekutana nae usiku mmoja!!
Jamaa umeona nipo serious apo ama 😹😹😹🙌🏾
 
Hayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
🤣🤣🤣🤣
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ahahahahaaaa..!!
BTW, kwa mfano, huyo anayetafutwa ili "akaliwe" na huyo mwanaume, ni wewe, je.!! Una hizo UTI, gono, kaswende etc???
 
Huu uzi umekuja kinyumenyume. Ujasiri wa mwanamke kukubali kuingia chumbani na mwanaume usiyejua katokea wapi. Wanaume wengine wamekimbia noma kubwa kama za mauaji au kutoroka jela lakini mnakuwa comfortable kujifungia naye chumbani, tena mnalala chali na kutanua miguu, hamuogopi kuchinjwa? fear who don't fear women.
Ukisikia counter attack, ndo hii sasa..!!
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Hata sisi wanaume tunashangaa huo ujasiri tunatoa wapi.

Lakini pia tungekosa huo ujasiri wamama wa bar na wasio na waume wasingepata watoto. Waoneeni huruma.

Halafu ujue nini, ni kwanini anaenda kumwambia mhudumu amtafutie. Anaweka tahadhari ili likitokea la kutokea anaanza na mhudumu. Akifa basi hana aibu yeye si amekufa!!!😎, Maiti anapataje aibu sasa.
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Pesa tutafute kwa jasho halafu nisile maisha,nakula mbunye safi hayo mapepo yatakimbia yenyewe
 
Hayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂eti kibabu
 
Aliekuambia hao wake zetu Wana time na sisi nani!!?
Aliekuambia hai wake zetu Wana muda kutuwaza na kufikiri namna kutufanya TU relax nani!!?

Wanajua kutafuta visa na kuomba hela plus michambo!

Mwanamke unaongea kama cherehani plus mambo ya chibi chini kama jasusi!!

Nakuambia machangudoa ndio watu pekee wenye mapenzi ya dhati Tena ya moyo mkuu kuliko hayo makombora tulioyatunza ndani muda wowote yanalipuka!!

Mwanamme analindwa na mungu TU yeye ndio wa kutuonea huruma na ssio nyinyi visirani plus mtimanyongo!!

Nawaombea Sana machangudoa coz wapo real wanatafuta pesa kuliko nyie mnaotafuta pesa na uwekezaji binafsi Kwa mgongo wa ndoa!!

Unakuta make anajenga Kwa siri huku unaishi nae ndani !huku mtoto mmoja TU kabebesha baba kama watatu Ili apate kampani ya mishe zake!!

mungu wabariki machangudoa na ma baa made na ayalaani manamake yalioolewa kumbe majasiriamali kutumia ndoa!!!
duh inatisha sana Mwenyezi Mungu atusamehe sisi wakosefu
 
Huu uzi umekuja kinyumenyume. Ujasiri wa mwanamke kukubali kuingia chumbani na mwanaume usiyejua katokea wapi. Wanaume wengine wamekimbia noma kubwa kama za mauaji au kutoroka jela lakini mnakuwa comfortable kujifungia naye chumbani, tena mnalala chali na kutanua miguu, hamuogopi kuchinjwa? fear who don't fear women.
Great thinker of the month.
 
Back
Top Bottom