Ushauri mzuri sana kwa wakware.Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Jamaa umeona nipo serious apo ama 😹😹😹🙌🏾Usijaribu!cheza game pewa Hela ya mboga maisha yasonge!!!Huwezi Jua anayoyapitia,usione tupo smart moyoni tunaungua sana!
Huyo ndio mumeo uliopewa Kwa usiku huo!Kuna wale unakutana nao unapiga nao stori Hadi unawaza huyu mtu uliumbiwa nini!!?kumbe umekutana nae usiku mmoja!!
Sipo serious kihivyo!mambo ya humu hayana to uhalisia!Jamaa umeona nipo serious apo ama 😹😹😹🙌🏾
🤣🤣🤣🤣Hayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
😌😌😌Mwanaume naye hana hili wala lile naumia sana akija kutoka kazini analala tu
Ahahahahaaaa..!!Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Wala kusingekuwa na "wanyonyaji". Halafu, siku zote, ma-risk takers ndo wanao-win..!!Cha msingi anarudi nyumbani,
Tungekuwa waoga, maghorofa yasingejengwa, ndege zisingeruka, kusingekuwa na divers.
Kwa kifupi sisi ni risk taker
Ukisikia counter attack, ndo hii sasa..!!Huu uzi umekuja kinyumenyume. Ujasiri wa mwanamke kukubali kuingia chumbani na mwanaume usiyejua katokea wapi. Wanaume wengine wamekimbia noma kubwa kama za mauaji au kutoroka jela lakini mnakuwa comfortable kujifungia naye chumbani, tena mnalala chali na kutanua miguu, hamuogopi kuchinjwa? fear who don't fear women.
Hata sisi wanaume tunashangaa huo ujasiri tunatoa wapi.Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Pesa tutafute kwa jasho halafu nisile maisha,nakula mbunye safi hayo mapepo yatakimbia yenyeweUnaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂eti kibabuHayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
duh inatisha sana Mwenyezi Mungu atusamehe sisi wakosefuAliekuambia hao wake zetu Wana time na sisi nani!!?
Aliekuambia hai wake zetu Wana muda kutuwaza na kufikiri namna kutufanya TU relax nani!!?
Wanajua kutafuta visa na kuomba hela plus michambo!
Mwanamke unaongea kama cherehani plus mambo ya chibi chini kama jasusi!!
Nakuambia machangudoa ndio watu pekee wenye mapenzi ya dhati Tena ya moyo mkuu kuliko hayo makombora tulioyatunza ndani muda wowote yanalipuka!!
Mwanamme analindwa na mungu TU yeye ndio wa kutuonea huruma na ssio nyinyi visirani plus mtimanyongo!!
Nawaombea Sana machangudoa coz wapo real wanatafuta pesa kuliko nyie mnaotafuta pesa na uwekezaji binafsi Kwa mgongo wa ndoa!!
Unakuta make anajenga Kwa siri huku unaishi nae ndani !huku mtoto mmoja TU kabebesha baba kama watatu Ili apate kampani ya mishe zake!!
mungu wabariki machangudoa na ma baa made na ayalaani manamake yalioolewa kumbe majasiriamali kutumia ndoa!!!
mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa hiyo hakuna mbinguni ni kusifu milele😁😁😁unawaza na mbinguni tena utakuta ngono aisee wewe kiboko
Great thinker of the month.Huu uzi umekuja kinyumenyume. Ujasiri wa mwanamke kukubali kuingia chumbani na mwanaume usiyejua katokea wapi. Wanaume wengine wamekimbia noma kubwa kama za mauaji au kutoroka jela lakini mnakuwa comfortable kujifungia naye chumbani, tena mnalala chali na kutanua miguu, hamuogopi kuchinjwa? fear who don't fear women.
Hakika mkuu hawa wanaowaza mabikra 72 wana matatizombinguni hakuna kuoa wala kuolewa hiyo hakuna mbinguni ni kusifu milele
Noma sana!Sijaelewa kabisa!.
Au mpaka niende VETA?