Mademu wa Dodoma wanatembea na ganda kwa ajili ya kunyunyizia ili usinzie hatari sana hawa watu.Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
😁😁😁unawaza na mbinguni tena utakuta ngono aisee wewe kibokohahaha tunawahi seat nyie jichelewesheni tu, afu kuna mabikra 72 😀 naskiaga wapo
Asituchoshe aiseeDada Huna lolote kapumzike
hahahaunawaza na mbinguni tena utakuta ngono aisee wewe kiboko
Kwamba ngono itafutwa! 😀unawaza na mbinguni tena utakuta ngono aisee wewe kiboko
Sio kweli au sio woteUkweli mchungu, wanaume wengi hawajijali wala hawathamini afya zao wametanguliza ngono mbele sana
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.
Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .
Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.
Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.
Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.
Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .
Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.
Goodevening Equation x
Mbinguni hakuna hizo mkuuKwamba ngono itafutwa! 😀
Nimesema wengi sijasema woteSio kweli au sio wote
afadhaliMbinguni hakuna hizo mkuu
Umepatia.Nimesema wengi sijasema wote
Muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio. Tafadhali usimdhuruKuna mmoja apa nasubir nimpe tukio kaja na kibriefcase et kesho anasafiri 😹😹😹 Kuna mtu anauza sembe tumlaze jamaa uyu
Lazima niumize hii njemba 😹😹😹Muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio. Tafadhali usimdhuru
Please, namuombea msamaha, usimdhuru mwache aende zake.Lazima niumize hii njemba 😹😹😹