Wanaume mnajiamini sana aisee

Wanaume mnajiamini sana aisee

Ndo umuhimu wa kusoma na madada wengi,mkimaliza kila mkoa unakua na koloni lako,ukifika tu,unalipanga linamtoroka mumewe unalilamba wee linarudi kwa mumewe au kuna wengine ni singo mothers, unashtua tu huyu hapa,unajilia hadi siku unaondoka.
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x

Uzi ulitakiwa uanze na 'Baadhi ya wanaume' umekosea sana kuwajumuisha baba yako na kaka yako kwenye uzi mmoja
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Mwanamme hekaheka. Ukipoa una boa
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ungekua mwanaume ungeelewa inavyokua kwanza ujue starehe namba moja ya mwanaume ni papuchi hasa ikiwa mpya kwake ni kitendo cha kufurahisha moyo unapokutana na tundu jipya.
Pili wanaume wako makin hasa wanaonunua malaya kinga kwanza au upime maana hali mbaya labda uwe mwanaume ziro brain.

Tatu ni sababu za nature wanawake wa nne wanawaza kuingiliwa na kutawaliwa na mwanaume mmoja ila mwanaume mmoja kwa mwanamke mmoja hatoshi
 
Kuna mmoja apa nasubir nimpe tukio kaja na kibriefcase et kesho anasafiri 😹😹😹 Kuna mtu anauza sembe tumlaze jamaa uyu
Usijaribu!cheza game pewa Hela ya mboga maisha yasonge!!!Huwezi Jua anayoyapitia,usione tupo smart moyoni tunaungua sana!

Huyo ndio mumeo uliopewa Kwa usiku huo!Kuna wale unakutana nao unapiga nao stori Hadi unawaza huyu mtu uliumbiwa nini!!?kumbe umekutana nae usiku mmoja!!
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ukweli unauma sana sana sana aisee....
 
Back
Top Bottom